ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Nenda kashuhudie mwenyewe atakapotua airport.Hivi kisheria Tundu anaruhusiwa kukanyaga ardhi ya Mwanza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda kashuhudie mwenyewe atakapotua airport.Hivi kisheria Tundu anaruhusiwa kukanyaga ardhi ya Mwanza?
Hoja yako yaweza kuwa nzuri, lakini hebu kwanza tuwekee hapo nakala ya (huo) utafiti uliyoufanya kuhusu hayo unayosemaKingine Lisu amekuwa akiongelea kuwa watatoa bima ya afya Bure !! Mwanza ni mkoa mmoja wapo unaoongoza kwa watu wake kuwa na afya hawaugui ugui hovyo Hakuna malaria kule na hata wakiumwa wengi huwa hawaendi hospital wanatumia dawa za kienyeji .Hiyo bima yake ya afya ana kazi ya ziada kuielezea Mwanza waielewe!!!
kamtetea naniMwanza msituangushe.Huyo ndo mtetezi wa kweli wa wanyonge....
aaah mkuuMake wa lissu hapa atajisikia wivu.
Cask (rock city mall)Niko Mwanza.. sehemu gani pazuri pakulia tungi?
Hawa Makamanda hawachoki???? Yaani ni kupandisha nanga na kushusha tanga.Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu leo anatarajiwa kuitikisa jiji la Mwanza katika mkutano mkubwa wa Hadhara katika viwanja vya Furahisha.
Tayari maandalizi yamekamilika na maandamano makubwa ya kumlaki yanasubiriwa kuanza wakati wowote kutoka sasa
Tayari mgombea huyo ameshafanya mikutano minne ya kampeni ambapo mitatu ilikuwa jijini DSM na mmoja ulikuwa jijini Arusha hapo Jana.
Chadema katika uchaguzi mkuu huu inatumia kauli Mbiu ya Uhuru,Haki na Maendeleo ya watu.
#UhuruHakiNaMaendeleoyawatu#
#Niyeye2020#
Tuwakilishe mkuuLazima niende.
Hahaaa ndege za jpm hazina manufaa yoyote kwa wananchi. UTAJIONEAAmekuwa akiponda ununuzi wa Ndege jibu atalipata mwanza Ndege ukiuliza wauza samaki mitaani watakuambia jinsi abiria wa Ndege wanavyobeba samaki kwa wingi.
Hapo akienda na porojo zake za kupinga ununuzi wa Ndege aone wavuvi na wauza samaki watakavyoguna hata Kama Ni Chadema.
Ndege nyingi hufurika Mwanza kubeba samaki kupeleka nje ya Nchi kibao akiponda ununuzi wa Ndege Mwanza hata mtu wa mtaani atamzomea sababu wanajua umuhimu wa Ndege kwenye biashara yao ya samaki
Jioni ulete ripoti.Anaenda tu kukamikilisha ratiba Mwanza kule huwaambii kitu kuhusu Magufuli. Na kwa kuwa Lisu amekuwa akiponda ujenzi wa reli ya mwendokasi kwenda Mwanza atapata jibu Leo wengi hawataenda mkutanoni
Tena Mwanza mjini linashushwa daraja la nguvu Busisi
Yule mzee wa kutukana na kuongea mambo ya kutiana tu naona pumzi imekata. Mkutano mmoja tu basi hoi bin batani. Kapoteana.Yes, Aendelee kueneza sera zinazoleweka kwa watanzania, sio wale wanatukana wanawake kila siku, wamechanganyikiwa.
Lissu na Chadema wametukosha kwenye sera zao. Hasa Afya na biashara.Mwanza msituangushe.Huyo ndo mtetezi wa kweli wa wanyonge....
Wewe unaijua Mwanza au umehadithiwa? Muulize hata Sirro alipokuwa RPC 2010 yalimpata mambo gani?Anaenda tu kukamikilisha ratiba Mwanza kule huwaambii kitu kuhusu Magufuli. Na kwa kuwa Lisu amekuwa akiponda ujenzi wa reli ya mwendokasi kwenda Mwanza atapata jibu Leo wengi hawataenda mkutanoni
Tena Mwanza mjini linashushwa daraja la nguvu Busisi
We kweli kiaziKingine Lisu amekuwa akiongelea kuwa watatoa bima ya afya Bure !! Mwanza ni mkoa mmoja wapo unaoongoza kwa watu wake kuwa na afya hawaugui ugui hovyo Hakuna malaria kule na hata wakiumwa wengi huwa hawaendi hospital wanatumia dawa za kienyeji .Hiyo bima yake ya afya ana kazi ya ziada kuielezea Mwanza waielewe!!!
Shida ya maji ipo mpaka ukerewe.Kabisa mkuu... Ukiwa mikoa mungine unaweza kudhani Mwanza hakuna shida ya maji.... Yani ni aibuuu
Ccm wamechoka wamekua wazee hawana nguvu tenaaaa..... Kimoko tu chaliiii.....Hawa Makamanda hawachoki???? Yaani ni kupandisha nanga na kushusha tanga.
Wenzao wazee wale mkutano mmoja tu dodoma wamelala siku 10😅😅😅
Ni aibu sana yani....Shida ya maji ipo mpaka ukerewe.
Diamond iko kona ya BwiruNiko Mwanza.. sehemu gani pazuri pakulia tungi?
Wanaweza kupelekwa wakata viuno 3000 wakiwa wamevalishwa g thong kutoka DRC hapo Kirumba kiingilio bure ili watu wamkimbie LISSU halafu inakula kwaoLeo hakuna mechi ya bure mwanza?