Uchaguzi 2020 Yaliyojiri katika Kampeni za Tundu Lissu Jijini Mwanza

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri katika Kampeni za Tundu Lissu Jijini Mwanza

Kingine Lisu amekuwa akiongelea kuwa watatoa bima ya afya Bure !! Mwanza ni mkoa mmoja wapo unaoongoza kwa watu wake kuwa na afya hawaugui ugui hovyo Hakuna malaria kule na hata wakiumwa wengi huwa hawaendi hospital wanatumia dawa za kienyeji .Hiyo bima yake ya afya ana kazi ya ziada kuielezea Mwanza waielewe!!!
Hoja yako yaweza kuwa nzuri, lakini hebu kwanza tuwekee hapo nakala ya (huo) utafiti uliyoufanya kuhusu hayo unayosema
 
Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu leo anatarajiwa kuitikisa jiji la Mwanza katika mkutano mkubwa wa Hadhara katika viwanja vya Furahisha.

Tayari maandalizi yamekamilika na maandamano makubwa ya kumlaki yanasubiriwa kuanza wakati wowote kutoka sasa

Tayari mgombea huyo ameshafanya mikutano minne ya kampeni ambapo mitatu ilikuwa jijini DSM na mmoja ulikuwa jijini Arusha hapo Jana.

Chadema katika uchaguzi mkuu huu inatumia kauli Mbiu ya Uhuru,Haki na Maendeleo ya watu.

#UhuruHakiNaMaendeleoyawatu#
#Niyeye2020#
Hawa Makamanda hawachoki???? Yaani ni kupandisha nanga na kushusha tanga.

Wenzao wazee wale mkutano mmoja tu dodoma wamelala siku 10😅😅😅
 
Amekuwa akiponda ununuzi wa Ndege jibu atalipata mwanza Ndege ukiuliza wauza samaki mitaani watakuambia jinsi abiria wa Ndege wanavyobeba samaki kwa wingi.

Hapo akienda na porojo zake za kupinga ununuzi wa Ndege aone wavuvi na wauza samaki watakavyoguna hata Kama Ni Chadema.

Ndege nyingi hufurika Mwanza kubeba samaki kupeleka nje ya Nchi kibao akiponda ununuzi wa Ndege Mwanza hata mtu wa mtaani atamzomea sababu wanajua umuhimu wa Ndege kwenye biashara yao ya samaki
Hahaaa ndege za jpm hazina manufaa yoyote kwa wananchi. UTAJIONEA
 
Anaenda tu kukamikilisha ratiba Mwanza kule huwaambii kitu kuhusu Magufuli. Na kwa kuwa Lisu amekuwa akiponda ujenzi wa reli ya mwendokasi kwenda Mwanza atapata jibu Leo wengi hawataenda mkutanoni

Tena Mwanza mjini linashushwa daraja la nguvu Busisi
Jioni ulete ripoti.
 
Yes, Aendelee kueneza sera zinazoleweka kwa watanzania, sio wale wanatukana wanawake kila siku, wamechanganyikiwa.
Yule mzee wa kutukana na kuongea mambo ya kutiana tu naona pumzi imekata. Mkutano mmoja tu basi hoi bin batani. Kapoteana.
 
Anaenda tu kukamikilisha ratiba Mwanza kule huwaambii kitu kuhusu Magufuli. Na kwa kuwa Lisu amekuwa akiponda ujenzi wa reli ya mwendokasi kwenda Mwanza atapata jibu Leo wengi hawataenda mkutanoni

Tena Mwanza mjini linashushwa daraja la nguvu Busisi
Wewe unaijua Mwanza au umehadithiwa? Muulize hata Sirro alipokuwa RPC 2010 yalimpata mambo gani?
 
Kingine Lisu amekuwa akiongelea kuwa watatoa bima ya afya Bure !! Mwanza ni mkoa mmoja wapo unaoongoza kwa watu wake kuwa na afya hawaugui ugui hovyo Hakuna malaria kule na hata wakiumwa wengi huwa hawaendi hospital wanatumia dawa za kienyeji .Hiyo bima yake ya afya ana kazi ya ziada kuielezea Mwanza waielewe!!!
We kweli kiazi
 
Back
Top Bottom