Yuko vizuri sana kichwani! Extraordinary intelligent!Huyu mtu anajuwa mpaka anakera
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yuko vizuri sana kichwani! Extraordinary intelligent!Huyu mtu anajuwa mpaka anakera
Hahaa nilitamani iwe hivyo lakini naogopa kuja kuumia moyoni. Baada ya Mavu kuapishwa tena.John Mnyika, Katibu Mkuu wa Chadema amesema “ Leo Magufuli amefika Ikungi nyumbani kwa kina Lissu na kusema atamtafutia Lissu kazi ndogo ndogo aachane na Urais, na sisi tunamjibu Magufuli kuwa Urais sasa baasi kuanzia 28/10/2020 Rais atakua Ndugu Tundu Antipas Lissu.
Ongezea na hiiTundu Antipas Lissu Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amewasili Mwanza kwa kishindo kikubwa.
Akiambatana na Mgombea Mwenza pamoja na Mwenyekiti wa chama Freeman Mbowe mgombea huyo amelakiwa na umati mkubwa wa watu ambapo maandamano yameanzia katika Uwanja wa ndege kuelekea Uwanja wa Furahisha.
Msururu mkubwa wa Bodaboda,magari na watu kujipanga kandokando ya Barabara ndivyo vilivyopamba mapokezi yake.
-------------------
Yaliyojiri mkutanoni Viwanja vya Furahisha
Akihutubia Malaki ya watu mgombea wa Urais Tundu Lissu alilaani serikali ya CCM kwa kumhujumu zao la Pamba ambalo no kitega uchumi Cha watu wa Kanda ya ziwa.
Lissu amesema serikali yake itawajali Wafanyakazi na kila mwaka wataongezewa mshahara kwa mujibu wa sheria za nchi.
Amesema serikali yake inafuata kauli Mbiu ya Uhuru Haki na Maendeleo ya watu.
Amesema serikali yake itaondoa ukandamizaji wa wafanyabiashara ambapo kwa Sasa Mamlaka ya Mapato Tanzania imekuwa sehemu ya kuhujumu na kuua biashara za Watanzania.
Awali Lissu alisema tangu arejee nchini Mapokezi ya Mwanza ndiyo yamevunja Rekodi kwa wingi wa watu
View attachment 1555426View attachment 1555625View attachment 1555626View attachment 1555627View attachment 1555628
Na mechi ya Yanga na Simba wakicheza uchi dakika tisini na tisaBila shaka atakuwa ameambatana na wasanii wa kimataifa kama Justine Bieber, Rihanna, Beyonce, Lil Wayne, J zee, Chris Brown, Arnold, Rambo, Jet Lee, Jack chain, na wengine kibao bila kusahau Mr bean.
Si umuulizeKwahiyo hitimisho kasema atawafanyia nini watu wa Mwanza?
Hapo ni yeye na mgombea mwenza na viongozi wenzake tuBila shaka atakuwa ameambatana na wasanii wa kimataifa kama Justine Bieber, Rihanna, Beyonce, Lil Wayne, J zee, Chris Brown, Arnold, Rambo, Jet Lee, Jack chain, na wengine kibao bila kusahau Mr bean.
Kuna hujuma kama kawaMbona picha hazifunguki?
Hata usipo mpenda wewe mmoja kuna mamilioni wanapendaKaribu mwanza but hautapapenda.
Bwana yule leo kanywea sana pale ikungiGo Lissu, wewe ndie mwenye uthubutu kumnyoshea kidole bwana yule.
Mngemjibu kuanzia 28/10 TL ndio atamtafutia kazi ndogo ndogo JPM.🙂John Mnyika, Katibu Mkuu wa Chadema amesema “ Leo Magufuli amefika Ikungi nyumbani kwa kina Lissu na kusema atamtafutia Lissu kazi ndogo ndogo aachane na Urais, na sisi tunamjibu Magufuli kuwa Urais sasa baasi kuanzia 28/10/2020 Rais atakua Ndugu Tundu Antipas Lissu.
Fuso za Singida zimetia kibindoni fedha ili kuwaburuza wananchi waje kumshuhudia Diamondi Platinumz akihutubia sera za ndege mpya za mizigoOngezea na hiiView attachment 1555642
Ili ikusaidie nini au unataka kujifunza u sniper?wapi live streamed videos?
Chadema leo mmeamua kuwabeba watu kwenye malori na mafuso kama wanavyofanya wale wa Magufuli.
Acheni hizo bwanaaaaa
Nimejaribu kuwaza kama MATAGA[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Leo nimemtazama bwana yule, kweli kesha ingiwa na uoga kabisa na hajiamini tena.Fuso za Singida zimetia kibindoni fedha ili kuwaburuza wananchi waje kumshuhudia Diamondi Platinumz akihutubia sera za ndege mpya za mizigo
Muulize mamakWazungu walijenga kwa maslahi yao, sisi tunajijengea kwa maslahi yetu kama taifa.
Alafu mwambie, uhuru upi anaongelea ilihali tumetumia uhuru wetu kupambana na corona na tukafanikiwa?
Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
Kunapambazuka mbinu zao tunazifahamuHahaa nilitamani iwe hivyo lakini naogopa kuja kuumia moyoni. Baada ya Mavu kuapishwa tena.
Wanja wanajipaka wanawake, unautaka wa Nini?Nilikuwa njee kidogo ya mwanza wanja upi nifike kusikiliza Sera zake