Uchaguzi 2020 Yaliyojiri katika Kampeni za Tundu Lissu Jijini Mwanza

Hahaa nilitamani iwe hivyo lakini naogopa kuja kuumia moyoni. Baada ya Mavu kuapishwa tena.
 
Ongezea na hii
 
Bila shaka atakuwa ameambatana na wasanii wa kimataifa kama Justine Bieber, Rihanna, Beyonce, Lil Wayne, J zee, Chris Brown, Arnold, Rambo, Jet Lee, Jack chain, na wengine kibao bila kusahau Mr bean.
Na mechi ya Yanga na Simba wakicheza uchi dakika tisini na tisa
 
Bila shaka atakuwa ameambatana na wasanii wa kimataifa kama Justine Bieber, Rihanna, Beyonce, Lil Wayne, J zee, Chris Brown, Arnold, Rambo, Jet Lee, Jack chain, na wengine kibao bila kusahau Mr bean.
Hapo ni yeye na mgombea mwenza na viongozi wenzake tu
 
Mngemjibu kuanzia 28/10 TL ndio atamtafutia kazi ndogo ndogo JPM.🙂
 
Nimezima gari foleni Kali hapa Mwanza. Kuna watu watafika kwao keaho Ni balaaaaaaaa
 
Chadema leo mmeamua kuwabeba watu kwenye malori na mafuso kama wanavyofanya wale wa Magufuli.
Acheni hizo bwanaaaaa

Nimejaribu kuwaza kama MATAGA[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Vipi mkuu hata lb7 mmoja wa kukuunga mkono hamna?

Hapo iko namna.

Na bado!
 
Fuso za Singida zimetia kibindoni fedha ili kuwaburuza wananchi waje kumshuhudia Diamondi Platinumz akihutubia sera za ndege mpya za mizigo
Leo nimemtazama bwana yule, kweli kesha ingiwa na uoga kabisa na hajiamini tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…