Uchaguzi 2020 Yaliyojiri katika Kampeni za Tundu Lissu Jijini Mwanza

Hao wanaoshinda uchaguzi kutoka vyama vya upinzani, tume inakuwa ni nyingine au ni hii hii?.

Wapinzani huwa wanatangazwa washindi baada kujitoa muhanga. Na isitoshe hayo yalifanyika wakati wa JK wakati demokrasia ikiwa na nafuu.
 
Mzee Lowassa ni zaidi ya huyu kwa asilimia nyingi tu.

Lowassa hakuwa mpinzani, bali alikuwa ni tapeli wa kisiasa aliyekosa nafasi ya kugombea urais kupitia ccm, akanunua nafasi hiyo kupitia cdm.
 
Nikweli imetia fola,ila ameishtua anaposema Serikali yangu.......au ndiyo yaleyale kwamba wanasiasa wote sawa....Magu alilaumiwa na kurushiwa Sana mawe hasa aliposema Serikali yangu badala ya serikali ya sisiemu......tuendelee kula mtori nyama tutazikuta chini
 
Chini ya rais huyu na tume hii isiyo huru ya uchaguzi, hakuna uchaguzi bali kuna maonyesho ya kipimo cha ujinga wa mtu mweusi.
Kama unalijua hilo basi usitumie nguvu tulia usiburi october
 
Kwani magu Leo singida kasema atafanya nn?
Nimeshangaa anajitambulisha jina lake wkt hawa mazezeta ya lumumba yanasema hakuna asiyejua magufuli kafanya nn chato
 
Kuwe na fair play basi, sasa mnapitisha wabunge bila kilupingwa kisha mnajimwambafay.
Hao wabunge wa kupita bila kupingwa ndiyo huwa vinara wa kupitisha miswada mibovu bungeni, bunge la kupita bila kupingwa ni Bunge la laana halina baraka za wananchi
 
Lowassa hakuwa mpinzani, bali alikuwa ni tapeli wa kisiasa aliyekosa nafasi ya kugombea urais kupitia ccm, akanunua nafasi hiyo kupitia cdm.
Huyu wa sasa ni hatari kwani ni mtekelezaji wa hoja mbaya zenye agenda iliyojificha.
 
Hao wabunge wa kupita bila kupingwa ndiyo huwa vinara wa kupitisha miswada mibovu bungeni, bunge la kupita bila kupingwa ni Bunge la laana halina baraka za wananchi
Kupita bila kupingwa ni ushahidi kuwa umewavunja nguvu ya apinzani wako.
 
Kama unalijua hilo basi usitumie nguvu tulia usiburi october

Ww ndio unatakiwa kusubiri, mimi sina cha kusubiri maana najua hakuna uchaguzi, bali kuna ushenzi kama ushenzi mwingine.
 
Wapinzani huwa wanatangazwa washindi baada kujitoa muhanga. Na isitoshe hayo yalifanyika wakati wa JK wakati demokrasia ikiwa na nafuu.
Ukijua unawafanyia nini watu na wakakubaliana na unachokifanya, tume hata iundwe na watu kutoka China na Marekani utashinda tu uchaguzi.

Ukiwa na substance katika kila unachokifanya pasipo kupenda siasa za kiuanaharakati hautakuwa na mashaka na tume ya uchaguzi.
 
Lakini mwanza mbona siyo ya wasukuma, fuatilia utajua ukweli
 
Mbona mkoloni mweusi ccm ametawala miaka 60 huunhanishi nguvu kumtoa huku akifanya mambo machafu zaidi ya wakoloni weupe?
 
Uvccm kwa sasa hivi wamehamia kwenye kushindanisha umahiri wa kucheza SINGELI baada ya mgombea wao kuwaruka kwenye sera na kujikuta anaongelea kugongana bila kinga.
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ€ΈπŸ€ΈπŸ€Έ We jamaa wewe ni ful comedian aisee nimecheka balaa
 

Kwa macho yangu nimeshuhudia ushenzi, ukatili na uhayawani wa wazi dhidi vya wapinzani ili ccm watangazwe washindi. Na uhayawani huo ulikuwa ukiratibiwa na tume ya uchaguzi na vyombo vya dola. Usidhani mambo hayo yalipokuwa yakifanyika tulikuwa hatuyaoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…