Uchaguzi 2020 Yaliyojiri katika Kampeni za Tundu Lissu Jijini Mwanza

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri katika Kampeni za Tundu Lissu Jijini Mwanza

Hizi ni akili mgando....kutokwenda kwenye mkutano sio dalili ya kuchoka chama..Chadema wengi ni wasomi na wafanya biashara na sio jobless...watu wametingwa na majukumu ila Kura tunampa Lissu....
Mmeanza kusalim amri wenyewe 😂😂, nyie kubalini tu kuwa Kanda ya ziwa hawana mpango na nyie, eti chadema sio jobless, hayo malalamiko ya ajira mnayatoa ya Nini kila siku🤔?
 
Yaani kusema ukweli Chadema hamna sera zenye mashiko. Mambo mnayobeza leo ni hayo hayo mliyokuwa mnapigia kelele. Magufuli ametekeleza karibu yote, nakumbuka mwaka 2016 walipoona Magufuli anatekeleza hayo waliyokuwa wanayapigia kelele wakadai eti ameigilizia ilani ya Chadema.

Ziko wapi hoja zenu za ufisadi, rushwa, nchi kutokuwa na ndege, upatikanaji wa maji safi na salama, masoko ya uhakika kwa wakulima n.k.
Leo hoja zenu zimejificha kwenye haki na uhuru wa mwananchi, hoja ambayo kwa mtanzania wa kawaida siyo rahisi kukuelewa.

Wananchi wakawaida hasa waishio vijijini wanahitaji vitu vinavyoonekana Kama barabara, huduma za afya, maji safi na masoko ya bidhaa zao za kilimo. Mtu Kama huyo ukimwambia haki na uhuru sidhani Kama atakuelewa.
Sera za nini? Tumechoka u dikteta.
 
John Mnyika, Katibu Mkuu wa Chadema amesema “ Leo Magufuli amefika Ikungi nyumbani kwa kina Lissu na kusema atamtafutia Lissu kazi ndogo ndogo aachane na Urais, na sisi tunamjibu Magufuli kuwa Urais sasa baasi kuanzia 28/10/2020 Rais atakua ni Ndugu Tundu Antipas Lissu.
Mnyika anajiotesha ndoto.

Lisu kura laki mbili na nusu hafiki
 
Kaka tusubiri october maneno ya nini

Chini ya rais huyu na tume hii isiyo huru ya uchaguzi, hakuna uchaguzi bali kuna maonyesho ya kipimo cha ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
 
Hapo ndo unapofeli mzee....Yaani kama magufuli ameweza kuwa rais kwa miaka hii mitano, basi nchi hii mtu yoyote anaweza kuwa rais hata Mimi na wewe
Kweli kabsa kwani magufuli hakuwa na kipawa cha Urais lakini kaweza kuwa Rais sembuse wengine?
 
We ni mtu ovyooo.
Nakufananisha na mkasi ambao ili utende na kuongea vema lz ushikwe kwa ustadi backward.......uku......
Wenye akili nazani waliielewa comment yangu vizuri sana na wala haipo hivyo kama unavyo fikiria ila yote kwa yote asante kwa kunitukana mkuu.
 
Back
Top Bottom