Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Mzee Lowassa walimpigia deki barabara.Msije kusema mmeibiwa kura,subirini muda ufike
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee Lowassa walimpigia deki barabara.Msije kusema mmeibiwa kura,subirini muda ufike
Hakika kapagawa.Mziki wa Mwanza si wa kitotoBw
Bwasheee umepagawa na mambo ya mwanza
Kaka tusubiri october maneno ya niniKwa tume hii isiyo huru ya uchaguzi, unawezaje kutishia wanaume hiyo October?
Hao wanaoshinda uchaguzi kutoka vyama vya upinzani, tume inakuwa ni nyingine au ni hii hii?.Kwa tume hii isiyo huru ya uchaguzi, unawezaje kutishia wanaume hiyo October?
Yule ni Lowassa na huyu #NiyeyeeMzee Lowassa walimpigia deki barabara.
October 28 baada ya kuapishwa tu kitashofuata ni kumuondolea kinga hasa hasa NdungaiMngemjibu kuanzia 28/10 TL ndio atamtafutia kazi ndogo ndogo JPM.🙂
Watanzania wapi unawasemea?Kwa kuongeza waliojenga ni Watanzania tena bure bila malipo stahiki. TL huu ndio mwisho wake hawezi kuwadhihaki Watanzania kiasi hiki. Yeye aende akatulie huko Belgium apumuliwe vizuri kisogoni.
Mmeanza kusalim amri wenyewe 😂😂, nyie kubalini tu kuwa Kanda ya ziwa hawana mpango na nyie, eti chadema sio jobless, hayo malalamiko ya ajira mnayatoa ya Nini kila siku🤔?Hizi ni akili mgando....kutokwenda kwenye mkutano sio dalili ya kuchoka chama..Chadema wengi ni wasomi na wafanya biashara na sio jobless...watu wametingwa na majukumu ila Kura tunampa Lissu....
Sera za nini? Tumechoka u dikteta.Yaani kusema ukweli Chadema hamna sera zenye mashiko. Mambo mnayobeza leo ni hayo hayo mliyokuwa mnapigia kelele. Magufuli ametekeleza karibu yote, nakumbuka mwaka 2016 walipoona Magufuli anatekeleza hayo waliyokuwa wanayapigia kelele wakadai eti ameigilizia ilani ya Chadema.
Ziko wapi hoja zenu za ufisadi, rushwa, nchi kutokuwa na ndege, upatikanaji wa maji safi na salama, masoko ya uhakika kwa wakulima n.k.
Leo hoja zenu zimejificha kwenye haki na uhuru wa mwananchi, hoja ambayo kwa mtanzania wa kawaida siyo rahisi kukuelewa.
Wananchi wakawaida hasa waishio vijijini wanahitaji vitu vinavyoonekana Kama barabara, huduma za afya, maji safi na masoko ya bidhaa zao za kilimo. Mtu Kama huyo ukimwambia haki na uhuru sidhani Kama atakuelewa.
Mnyika anajiotesha ndoto.John Mnyika, Katibu Mkuu wa Chadema amesema “ Leo Magufuli amefika Ikungi nyumbani kwa kina Lissu na kusema atamtafutia Lissu kazi ndogo ndogo aachane na Urais, na sisi tunamjibu Magufuli kuwa Urais sasa baasi kuanzia 28/10/2020 Rais atakua ni Ndugu Tundu Antipas Lissu.
Kaka tusubiri october maneno ya nini
ccm hujivunia maendeleo kiduchu yasiyoendana na pato la Taifa kwani pesa nyingi hupotelea kwa vitu visivyo vya msingiNadhani atatoa pesa zake mfukoni kama "walivyofanya" wazungu..adanganye hao anaowadanganya
Uonevu wa ccm kwa wapinzani ndiyo kitu kibaya zaidi kwa sasaSera za nini? Tumechoka u dikteta.
Mfano vitu ganiccm hujivunia maendeleo kiduchu yasiyoendana na pato la Taifa kwani pesa nyingi hupotelea kwa vitu visivyo vya msingi
Swali hilo kaa nalo uje umwulize Magufuli ndo mwenye ukabila na ukanda maana hapo ndo kwenyeKwahiyo hitimisho kasema atawafanyia nini watu wa Mwanza?
Kweli kabsa kwani magufuli hakuwa na kipawa cha Urais lakini kaweza kuwa Rais sembuse wengine?Hapo ndo unapofeli mzee....Yaani kama magufuli ameweza kuwa rais kwa miaka hii mitano, basi nchi hii mtu yoyote anaweza kuwa rais hata Mimi na wewe
Mzee Lowassa ni zaidi ya huyu kwa asilimia nyingi tu.Yule ni Lowassa na huyu #Niyeyee
Wenye akili nazani waliielewa comment yangu vizuri sana na wala haipo hivyo kama unavyo fikiria ila yote kwa yote asante kwa kunitukana mkuu.We ni mtu ovyooo.
Nakufananisha na mkasi ambao ili utende na kuongea vema lz ushikwe kwa ustadi backward.......uku......
Kuwe na fair play basi, sasa mnapitisha wabunge bila kilupingwa kisha mnajimwambafay.Mnyika anajiotesha ndoto.
Lisu kura laki mbili na nusu hafiki