Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Katika Mapokezi ya Tundu Lissu Dodoma na Singida

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Katika Mapokezi ya Tundu Lissu Dodoma na Singida

Ina maana Mimi na familia yangu tutakaompa kura Lisu ni wahutu?.acha ubaguzi dogo nchi sio ya ccm.
Ata,ukiweka tiki kwa Lissu itahama yenyewe kwamiujiza ya Mungu.kale katiki kanahamia kwa JPM tartiiiibu kabisa.
 
Kumbe vile vitambulisho havina ata jina la mtumiaji? kweli baba changa la macho wameliwa watu wengi sana
Ndio hizo wanalipwa Wasanii, kukatia mauno CCM , waliowalipa Wasanii ni mama, baba, Kaka na dada maskini WA Taifa hili.
 
Sasa mmeshiriki kwa nini?
Lisu ashakujibu Hilo swali "Hatuwezi kumwachia nyani shamba japo ananguvu usicheke na nyani utavuna mabua"

Kwa maana iyo ccm ni manyani tukiyachekea yatakula mahindi yote na kutuachia mabua
 
Ww jamaa tumia verified name tu au weka namba ya simu Kama Mayala.
Maana ushapita level ya buku Saba unajituma sana.

Haki huinua TAIFA
Kwa upotolo anaandika humu hawezi kujitambilisha. Haya anafanya ilimuradi watoto waende nanihiiii.
 
Huo ni uwongo wa Chadema mwisho wenu ni October

Rais Magufuli ndio ametoa pesa zote hizo
Sasa kwa hii comment ndo nmepata thinks capacity yako - zero brain aisee au wajumbe ndio

Ila kumbuka shetani Hana rafiki
 
Acheni kuwaumiza CCM
giphy.gif
 
Sasahivi dunia yote macho kwake, mtawezaje kufanya huo ujinga tena? Hamjipendi? Chagua Lissu watoto wako wawe na uhakika wa kuishi, usalama ni muhimu mno kuliko hayo "MAFLIOVER" NA MADARAJA.
😂😂 Dunia yote macho kwake,unaijua dunia wewe🤔?
 
Ndio maana huwa anaenda sokoni na stend ili apate watu wa kupiga nao picha
 
Back
Top Bottom