Twende na akiki zenu tutawaibiwa na mkileta chokochoko tunafunua mitaro yenu kule nyuma.Siku zote mnashindia wizi.Mwaka huu hamna pa kupenya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Twende na akiki zenu tutawaibiwa na mkileta chokochoko tunafunua mitaro yenu kule nyuma.Siku zote mnashindia wizi.Mwaka huu hamna pa kupenya
2015 mlisema hivyo hivyo hizo propaganda hazina nafasi tena.Tutawapeleka the Hague mkapakatwe na michi ya kizungu huko nyambaf nyie washamba wakubwa
Baada ya tarehe 28/10/3/2020 ...atakuwa Tundu la chooo na siyo lisulu.Tundu Lissu kiboko yao...... Mpaka sasa katembelea vijiji kibao ambavyo Hakuna rais amewahi kufanya hivo.... Bila shaka yupo humu yy au wasaidizi wake watamjulisha.....
Hatutaki tena magufuli dikteta na fisadi mkuu wa taifa na mharibifu wa uchumi wa nchi na watu
We dogo acha upuuzi hiyo siyo picha ya Geita hiyo ni mbagara zakiemi fiester.
wambie hawa wasanii wa socia mediaUnaota.
Hutaamini kitakachotokea October 28, 2020.
Wanaambiwa hawaamini.wambie hawa wasanii wa socia media
Meko huko aliko sukari na shinikizo la damu vimepanda kwa pamoja. Amejuuuta kumtambua mwamba was Singida (Lissu)
Waliokotwa kwenye viroba kama kungekuwa na anayekuhusu usingeandika huo upuuzi. Waliobomolewa nyumba zao pamoja na kuwa mahakama ilizuia ubomoaji wangekuwa wanakuhusu usingeandika huo upuuzi. Ben Saanane, Azory au Lissu mmoja angekuwa anakuhusu usingeandika huo upuuzi. Hayo ni baadhi tu ya maovu chungu nzima ya huyo anayejiita MWENDAWAZIMU.
Hakuna jeshi kubwa kuliko wanannchiWewe una uhakika gani juu ya hilo
Au una jeshi lako?
Kwahiyo una maanisha unamjua muuaji? Kama ushahidi upo kwanini wahusika wasishughulikiwe?
Unataka kusema mauaji yanayotokea kwenye nchi muuaji lazima awe ni rais na serikali yake?
USA wanauwawa watu zaidi ya 100 kwa risasi kila siku na watanzania wakiwemo. Kwa hiyo Trump na serikali yake ndio wauaji? Je hao watetezi wa haki za binadamu huko wameshindwa kulimaliza hilo tatizo?
Swala la watu kuuwawa limekua likitokea kwenye jamii yetu kwa sababu mbalimbali ikiwemo uchumi, sababu za kijamii, kiimani, kiutawala na siasa, na hata na hata wakati mwingine tunashindwa kupata sababu.
Kulikua na mauaji ya professor mwakusa aliuwawa na serikali? Mauaji ya Dr Mvungi je? Uthibitsho upo?
Hakuna anayefurahia mauaji, hakuna aliyefurahia Tundu kupigwa risasi pia. Wacha vyombo vya sheria vifanye kazi vije na majibu. Japo hivyo vyombo vyenyewe vinatukanwa
Tanzania ni nchi huru na yenye demokrasia, kila raia ana uhuru haki na wajibu wa kuchagua au kuchaguliwa pia ila tunahitaji hiyo demokrasia huku tukiheshimu mawazo ya kila mmoja, matusi na chuki hazitufikishi mahali watanzania kama taifa
Kwahiyo una maanisha unamjua muuaji? Kama ushahidi upo kwanini wahusika wasishughulikiwe?
Unataka kusema mauaji yanayotokea kwenye nchi muuaji lazima awe ni rais na serikali yake?
USA wanauwawa watu zaidi ya 100 kwa risasi kila siku na watanzania wakiwemo. Kwa hiyo Trump na serikali yake ndio wauaji? Je hao watetezi wa haki za binadamu huko wameshindwa kulimaliza hilo tatizo?
Swala la watu kuuwawa limekua likitokea kwenye jamii yetu kwa sababu mbalimbali ikiwemo uchumi, sababu za kijamii, kiimani, kiutawala na siasa, na hata na hata wakati mwingine tunashindwa kupata sababu.
Kulikua na mauaji ya professor mwakusa aliuwawa na serikali? Mauaji ya Dr Mvungi je? Uthibitsho upo?
Hakuna anayefurahia mauaji, hakuna aliyefurahia Tundu kupigwa risasi pia. Wacha vyombo vya sheria vifanye kazi vije na majibu. Japo hivyo vyombo vyenyewe vinatukanwa
Tanzania ni nchi huru na yenye demokrasia, kila raia ana uhuru haki na wajibu wa kuchagua au kuchaguliwa pia ila tunahitaji hiyo demokrasia huku tukiheshimu mawazo ya kila mmoja, matusi na chuki hazitufikishi mahali watanzania kama taifa
Bro hapo ni Sengerema?? mbona mnatumia nguvu nyingi sana kupotosha.Sengerema
View attachment 1579510
kamwe huwezi ukamlinganisha na Magu anayeambatana na kundi kuubwa la wasanii...hivi unajua hata Hashim Rungwe angeambatana na kundi kubwa la wasanii kwenye mikutano yake pasingetosha?!.Bado sanaaa kwa magu
Serikali ndiyo inatakiwa ihakikishe usalama wa raia na mali zao. Watanzania wanapotea, miili inaokotwa ufukweni na wengine wanauawa, kutekwa na kuteswa na hakuna uchunguzi. Huhitaji kuwa na Phd ili kujua ni nani mhusika Mkuu wa maovu hayo na kauli zake chungu nzima zinaonyesha hilo.
Nimekuuliza je kila nchi mauaji yanamotokea au kupigwa risasi watu ni rais na serikali yake?
Hiyo tweetvideo nimeiona ila na nimeilewa pia na Membe ndio kashapotezwa ila kila mtu ana uelewa wake anyways
Wetu alikuwa anaangalia SHILAWADU na kuwapigia akina diamond simuHuh, uko nyuma sana.
Na upo kiushabiki, maneno mliolishwa kwa vikao vyenu.
Mwaka huu kazi mnayo wana ufipa, mnaenda kugalagazwa vibaya sana. Ndio mfahamu Magufuli ni nani. View attachment 1578871
Na wewe binti mbona unakuwa taahira hivyo? Mwanza wakati wa Lowassa watu walikuwa Gold Crest lakini walifukuzwa na polisi hawakukaa kwa utulivu kama hivyo!Hee kumbe kweli ya 2015! aibu Sana.
Leo nimemuelewa zaidi huyu bwana