Yaliyojiri kesi ya Mbowe na Wenzake: Upande wa Mashtaka waendelea kutoa ushahidi. Kesi yaahirishwa mpaka Septemba 24, 2021

Uuguzi huko wodini huwa unautumikia saa ngapi....ridhika na huo mshahara viti maalum vinahitaji Mapisi makali....
Niko off leo. Mshahara nimeridhika nao na kazi nnazofanya nazipendaa wala sijawahi wazia teuzi.

Au kuna mahali niliwahi sema haunitoshi au nahitaji viti maalum???
 
naona Carlo anakuchemsha, namii nagonga hapo hapo 😀 😀 😀 😀 😀 pole mama D naona Carlo amekuamkia
Kumbe wewe ni yule kichaa aliyekua anakimbia uchi halafu anawaita wanaotaka kumvisha nguo ni vichaa😂😂😂
 
Umenichekesha kweli kweli yaaani kwenye hii kesi mbingu na ardhi zimeikataa serikali hata huko kwenye mitandao na mitaani watu wapo na mboe sijui kwanini serikali haijifanyii tathmini
 
Nchi nyingine huwa wanafanya LIVE coverage ya TV...
 
Well said Mkuu tumsamehe umri umeenda huyo humu anapunguza SITIRESI...
 
Mpe mpe huyo anatafuta viti maalum umri upo LYAMBA ...teh teh
 
Dakika za mwisho unaokota mchoma mkaa kuwa mume hahaha....usimpelekeshe Chalii wa watu teh teh
 
Kuna mtego ambao bado hawajaelewana. Unawaza kudai kwamba walikula hivyo vitu. Je wakati wakiagiza nyama choma, ndizi na Mo Energy walipewa risiti? Na hizo pesa zilifanyiwa retirement kama utaratibu wa malipo ya pesa za umma unavyohitaji? Mwisho wa siku kukosekana kwa vidhibiti (risiti na fomu za retirement) kutaleta shida kwa upande wa mashuhuda walioshuhudia kama mahabusu walikula ama hawajala wakati wakisafirishwa.
 
Mkuu punguza uzito wa MAKOMBORA huyo umri umeenda
 
Nawasalimu nyote,

Jukwaa hili kwetu ndilo tegemeo letu kuu la kupashana habari, fanyeni hima mtupatie update kadri iwezekanavyo, ingawa kutakuwa na changamoto kubwa ya ninyi kupata ruhusa hiyo. ALUTA CONTINUA.
Kesi halali huwa hazina vikwazo shida ni hizi kesi za safari hii hutoboi!
 
SHIDA NI KUWA MNASHANGILIA KESI BADALA YA KUSUBIRI EITHER KUSHANGILIA AU KULIA WAKATI WA HUKUMU MNAONA KESI NI NYEPESI LAKINI MWISHO MTAKUJA KULIA KILIO CHA MBWA MWIZI
Kwa kweli hivyo ndivyo ulivyo wewe.
TAFADHAJI rejea michango yako humu, ambayo mingi ilijaa MPAKA lugha zinazotia kichefuchefu hata kwa shetani.
Hata hivyo huo unabaki kuwa ni uhuru wako ingawaje BADO itakuwa ni busara kwako, kama ungejitahidi kuwa na akiba ya MANENO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…