Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Unavyozidi kuhoji kwa records za nchi hii hii na sheria zile zile haitii tu hasira bali inadhalilisha pia majaj na familia zao!Lema Alivuliwa Ubunge Na Mahakama, Alikata Rufaa Lakini Alifukuzwa Bungeni, Spika Hakusubiri Rufaa Yake Isikilizwe, Wabunge 9 wa CUF Walifukuzwa Uanachama. Walienda Mahakamani Lakini Walitolewa Bungeni, Spika Hakusubiri Kesi Yao Isikilizwe, Je Kwa Kina Halima Sheria Imebadilika?
Waachwe tu jamani..hapo kila mtu anapigania tumbo lake na familia yake
Hiyo Mahakama, bado tu haijapata fundisho kwa Kesi ya ugaidi ya akina Mbowe?
Tumechoka kusikia visingizio vya mashahidi wa Jamhuri kuomba ruhusa ya mara kwa mara, kwenda jisaidia[emoji3064]
Kuna kitu nakiona hapa .... mama SSH anataka kuwatoa hawa covid-19 bungeni kwa kutumia mgongo wa mahakama ili isionekane ni shinikizo ... watch this pace
... nimeilewa sana hiyo observation; wanataka kuwa wabunge wa kutokea hewani? Nikajua la muhimu ilikuwa kwanza kupigania uanachama ili ku-justify ubunge! Ndio mnasema Mdee ni mwanasheria? Kweli ulikuwa ubunge wa Ndugai na Magufuli!
Chadema hawakupewa taarifa ya kusikilizwa hii kesi leo mahakama kuu.
Kama Chadema wasingetokea kwa kuvizia [ baada ya kutuma makachero wao] hapo mahakamani, shauri hili lilipangwa liamuliwe upande mmoja, huku tayari kina Mdee wakienda mahakamani kwa kujificha, CCM na vyote vilivyomo ni najisi kwa hili taifa.
Kwa kibatala watakiona cha moto na jasho kuwatoka, hata kama watabebwa bebwa
Lema Alivuliwa Ubunge Na Mahakama, Alikata Rufaa Lakini Alifukuzwa Bungeni, Spika Hakusubiri Rufaa Yake Isikilizwe, Wabunge 9 wa CUF Walifukuzwa Uanachama. Walienda Mahakamani Lakini Walitolewa Bungeni, Spika Hakusubiri Kesi Yao Isikilizwe, Je Kwa Kina Halima Sheria Imebadilika?
Zaidi ni kutuondoa katika mjadala wa kupanda kwa bei ya mafuta na maisha kwaujumla.Siasa zetu tamu sana
baada ya karibia mwaka kuwa busy na hashtag za kupigania Mbowe kuachiwa
sasa hivi wametengenezewa agenda ya kuwaweka busy hadi mwishoni mwa 2024
Tunashukuru wabunifu wetu
Lema Alivuliwa Ubunge Na Mahakama, Alikata Rufaa Lakini Alifukuzwa Bungeni, Spika Hakusubiri Rufaa Yake Isikilizwe, Wabunge 9 wa CUF Walifukuzwa Uanachama. Walienda Mahakamani Lakini Walitolewa Bungeni, Spika Hakusubiri Kesi Yao Isikilizwe, Je Kwa Kina Halima Sheria Imebadilika?
Wewe ni mpum.avuCDM mliwatumia watoto wa watu kina mdee kuitukana serekali ya ccm kwa kipind lirefu Leo mnakuja kuwataka kuwafukuza Kam mbwa hpn huo ndio uhun
Mdee kanyaga twende
Andika kiswahili wewe, hatukuelewiWakuu Ebu Tufanye argument kidog Kuhusu hii application ya Akina mdee.
.
Sitaki kuamini Adv. Ikupilika na Jopo Lake Wanaweza Kuandaa Misc. Application ambayo Iko defective kiasi Hiki.
.
Applicant Kwenye affidavit Yao hawaoneshi kama wame-affirm or Sworn... Hii ni defective unai-cure Vipi?
.
Sijapata logic Yao Kwenye Main application Kumweka AG na Tume Ya Uchaguzi Wakati Main application yao kuwa maamuzi ya Cc na Baraza la Chadema yalikuwa na unprocedurally.
.
Kwamba maamuzi Yao Yana technicalities Nyingi.
.
Sasa Kwa Nini AG na Tume wawe sehemu ya Respondent Kwenye Main application?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wataumbuka japo watabebwa.
Sasa Spika asubuhi ya leo aliwaruhusu kubaki Bungeni kwa amri ya Mahakama ipi ili hali jioni hii ndio Mahakama inatoa zuio?
Eti huyu ndio msomi wa kiwango cha Phd na ni mwanasheria!
Pathetic!
Umetumia lugha ngumu Sana boss..Wakuu Ebu Tufanye argument kidog Kuhusu hii application ya Akina mdee.
.
Sitaki kuamini Adv. Ikupilika na Jopo Lake Wanaweza Kuandaa Misc. Application ambayo Iko defective kiasi Hiki.
.
Applicant Kwenye affidavit Yao hawaoneshi kama wame-affirm or Sworn... Hii ni defective unai-cure Vipi?
.
Sijapata logic Yao Kwenye Main application Kumweka AG na Tume Ya Uchaguzi Wakati Main application yao kuwa maamuzi ya Cc na Baraza la Chadema yalikuwa na unprocedurally.
.
Kwamba maamuzi Yao Yana technicalities Nyingi.
.
Sasa Kwa Nini AG na Tume wawe sehemu ya Respondent Kwenye Main application?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mbona inaeleweka mkuuUmetumia lugha ngumu Sana boss..
Andika kiswahili wewe, hatukuelewi