Yaliyojiri Kisutu, Dar: Kesi ya Freeman Mbowe, yaahirishwa hadi 13 Agosti, 2021, Mashtaka yasomwa upya

Yaliyojiri Kisutu, Dar: Kesi ya Freeman Mbowe, yaahirishwa hadi 13 Agosti, 2021, Mashtaka yasomwa upya

Familia ya Mbowe, Mnyika, Mrema, Kibatala wote wanao uhakika wa kula vizuri na kusoma lkn wewe ambaye maisha yako ni ya kubangaiza unaishia gerezani unaacha familia yako inateseka. jiongeze, achana na upuuzi tafuta maisha yako uwe na uhakika.

Kula? Ungali unawaza kula? Mbona hata kuku wa kienyeji ala?
 
Yule mwamba shujaa wa wapigania haki atakuwapo Kisutu leo.

Ifahamike kuwa ni kosa kwa mtu yeyote kuvunja sheria kama zilivyoainishwa katika katiba ya nchi.


View attachment 1882238


Ifahamike pia vitendo hivi vya polisi ndivyo vinavyotupa mwamko zaidi wa kudai haki zetu zote kwa mujibu wa katiba.

Tulipo sasa mikakati yetu wa wazi ya kujilinda kama ilivyoainishwa hapa:


Ni muhimu sana katika kupanua wigo wa ushirikina na kumfahamisha Sirro ili kuweza kujitafakari.

Tukutane Kisutu ambako kamanda Mbowe hatakuwa peke yake.

Aluta Continua!
jana kuna mama alikanywaga na polisi naomba mwenye picha inayoonyesha jina na force number ya askari mmojawapo. No lazima tumburuze kwa pilato. Na leo tuhakikishe tunapiga picha za utambulisho wa askari wanyanyasaji. No lazima tushughulike angle zote. Hakikisha JINA NA FORCE NUMBER YA ASKARI VINAPATIKANA KWENYE MATUKIO
 
Wapenda amani kote nchini na wazalendo wa nchi popote pale walipo kamwe tusikubali hawa wahuni wachache wanao jifanya wanadai haki kwa kuvunja sheria watuharibie Amani ya nchi yetu.
tuchukue hatua za kuwafichua na kuwa ripoti popote pale walipo.
sio wafuasi wote wa chadema wanafurahia uhuni huu bali wapo wahuni wachache wenye chembe chembe za Ugaidi/uhalifu/ujanbazi/wizi ndio wanafanya vitendo hivi vya kihuni ili wapate sababu.
Anza na mbwa na majambazi yanavaa sare za kipolisi tulizonunua kwa kodi zetu.
 
Kula? Ungali unawaza kula? Mbona hata kuku wa kienyeji ala?
watoto wa mbowe,mke wake, mke wa mnyika, kibatala, Mrema n.k wametulia tuli nyumbani na familia zao wewe unaenda kuhatarisha maisha yako na mwisho unaenda segera, halafu unadhani eti wewe ni shujaa!! ni upumbavu, jiongeze.
nenda katafute chakula chako na mkeo au na mume wako na watoto wako
 
Familia ya Mbowe, Mnyika, Mrema, Kibatala wote wanao uhakika wa kula vizuri na kusoma lkn wewe ambaye maisha yako ni ya kubangaiza unaishia gerezani unaacha familia yako inateseka. jiongeze, achana na upuuzi tafuta maisha yako uwe na uhakika.
Unadhani familia ya Nyerere na Mandela hazikuwa na uhakika wa kula na kusoma! Au unadhani familia ya Baba wa India Gandhi haikuwa na uhakika wa kula na kusoma!

Hujalazimishwa, kaa kwa shemeji yako tulia fatilia kwenye mtandao.
 
Familia ya Mbowe, Mnyika, Mrema, Kibatala wote wanao uhakika wa kula vizuri na kusoma lkn wewe ambaye maisha yako ni ya kubangaiza unaishia gerezani unaacha familia yako inateseka. jiongeze, achana na upuuzi tafuta maisha yako uwe na uhakika.
 
Familia ya Mbowe, Mnyika, Mrema, Kibatala wote wanao uhakika wa kula vizuri na kusoma lkn wewe ambaye maisha yako ni ya kubangaiza unaishia gerezani unaacha familia yako inateseka. jiongeze, achana na upuuzi tafuta maisha yako uwe na uhakika.
Umri wako tafadhali.

Una mawazo ya kijima, dunia sasa hivi imekua, acha uprimitive wako usitishe watu. Kwendraaaa.
 
utaishia jela, utaacha familia yako inateseka huku familia ya Mbowe ikiwa inakula starehe Dubai!
jiongeze wewe, familia za kina Mbowe, Mnyika, Mrema, Kibatala hawapati tabu, wao maisha yao ni mazuri na wanao uhakika wa kula na kusomesha wewe unaganga njaa.achana na upuuzi huo. hangaikia maisha yako kwanza uwe na uhakika.
Wewe unafikili haki huletwa kwenye sahani. Fikilia wanavyuo wanaomakiza ajira hakuna wanarandaranda mtaani tu kama nchi ni ya wakina ndugai tu. Hawa ndo tunawatetea na wanao pia. Wote tukiwa waoga kama wewe nchi otatumbukia shimoni atakayeumia ni mwanao wew utakuwa umeshakufa. Ubinafsi wako usiwaambukize wazalendo wote
 
Familia ya Mbowe, Mnyika, Mrema, Kibatala wote wanao uhakika wa kula vizuri na kusoma lkn wewe ambaye maisha yako ni ya kubangaiza unaishia gerezani unaacha familia yako inateseka. jiongeze, achana na upuuzi tafuta maisha yako uwe na uhakika.
Tunataka wote wawew na uhakika wa kula siyo akina mbowe peke yake. Ndo mana tunahitoasadaka ili weww baadae ufaidike na uwe huru kifikra. Mawazo yako hayo inaonesha umebanwa na hujui kesho yako. Funguka ndugu
 
Wewe unafikili haki huletwa kwenye sahani. Fikilia wanavyuo wanaomakiza ajira hakuna wanarandaranda mtaani tu kama nchi ni ya wakina ndugai tu. Hawa ndo tunawatetea na wanao pia. Wote tukiwa waoga kama wewe nchi otatumbukia shimoni atakayeumia ni mwanao wew utakuwa umeshakufa. Ubinafsi wako usiwaambukize wazalendo wote
jiongeze, wewe unaejifanya unatafuta haki uliwahi kuona watoto wa Mbowe anakamatwa au mke wake uliwahi kumuona amekamatwa?! au amelala mahabusu?!
uliwahi kumuona mtoto wa Mbowe kashika bango? au uliwahi kumuona mke wa Myika, Mrema au Kibatala kashika bango anaandamana?!
jiongeze, tafuta maisha yako.
 
jiongeze, wewe unaejifanya unatafuta haki uliwahi kuona watoto wa Mbowe anakamatwa au mke wake uliwahi kumuona amekamatwa?! au amelala mahabusu?!
uliwahi kumuona mtoto wa Mbowe kashika bango? au uliwahi kumuona mke wa Myika, Mrema au Kibatala kashika bango anaandamana?!
jiongeze, tafuta maisha yako.
 
Familia ya Mbowe, Mnyika, Mrema, Kibatala wote wanao uhakika wa kula vizuri na kusoma lkn wewe ambaye maisha yako ni ya kubangaiza unaishia gerezani unaacha familia yako inateseka. jiongeze, achana na upuuzi tafuta maisha yako uwe na uhakika.
Ya Samia, Majaliwa na Sirro je?
 
jiongeze, wewe unaejifanya unatafuta haki uliwahi kuona watoto wa Mbowe anakamatwa au mke wake uliwahi kumuona amekamatwa?! au amelala mahabusu?!
uliwahi kumuona mtoto wa Mbowe kashika bango? au uliwahi kumuona mke wa Myika, Mrema au Kibatala kashika bango anaandamana?!
jiongeze, tafuta maisha yako.
Yule ni tajiri tayari na nampapongezi kwa kujitoa mhanga kututetea sisi maskini angeweka kuunga juhudi ti naakaendelea vizuri ila ile ni roho ya kristo mwenyewe. Anakuonea huruma wewe ambaye ccm imekufanya madkini kwa katiba mbovu hii na ukibisha au kujitutumua kutika kwenye umaskini unapigwa virungu a tra au account yako bank inavamiwa kwa nguvu na kuchukuliwa pesa zote unarudi kwenye umaskini. Hivyo mbowe ni mtetezi wa haki zako na za kwangu.
 


Mahakama gani inafunguliwa saa 12:50 asubuhi? Huyu jamaa anaandika ili live updates zijazo ziunganishwe kwenye topic yake.

Huu si uandishi wa wanahabari ni wa wale wa mitandaoni ili awe wa kwanza.
 
Yule ni tajiri tayari na nampapongezi kwa kujitoa mhanga kututetea sisi maskini angeweka kuunga juhudi ti naakaendelea vizuri ila ile ni roho ya kristo mwenyewe. Anakuonea huruma wewe ambaye ccm imekufanya madkini kwa katiba mbovu hii na ukibisha au kujitutumua kutika kwenye umaskini unapigwa virungu a tra au account yako bank inavamiwa kwa nguvu na kuchukuliwa pesa zote unarudi kwenye umaskini. Hivyo mbowe ni mtetezi wa haki zako na za kwangu.
jiongeze, wewe unaejifanya unatafuta haki uliwahi kuona watoto wa Mbowe anakamatwa au mke wake uliwahi kumuona amekamatwa?! au amelala mahabusu?!
uliwahi kumuona mtoto wa Mbowe kashika bango? au uliwahi kumuona mke wa Myika, Mrema au Kibatala kashika bango anaandamana?!
jiongeze, tafuta maisha yako.
 
Kuna mke wa kiongozi aliye fikia kiwango cha Mke wa Dr. Slaa mama Mushumbuzi?
uliwahi kumuona mke wa Mbowe anakamatwa na polisi na kulala rumande?
uliwahi kumuona mke wa Mnyika au Mrema au Kibatala anakamatwa?! jiongeze wewe acha kupoteza mwelekeo wa maisha yako. nenda katafute acha wahangaike wenye uhakika.
 
Back
Top Bottom