Yaliyojiri Kisutu, Dar: Kesi ya Freeman Mbowe, yaahirishwa hadi 13 Agosti, 2021, Mashtaka yasomwa upya

Yaliyojiri Kisutu, Dar: Kesi ya Freeman Mbowe, yaahirishwa hadi 13 Agosti, 2021, Mashtaka yasomwa upya

Mbowe ni kada wa CCM kama alivyokuwa Marehemu maalim Seif - mikiki mikiki wanayo pitia ni kati ya viapo vyao kwa kazi zao wanazozifanya ili taifa letu lionekane harakati za demokrasia zina endelea na amani inatamalaki!
Ila wafuasi wao hawaabiwi! Mwangalie mzee Mrema kama unabisha. Mbowe ni mpango mzima wa CCM. Wewe danganyika ufate usicho kijua, utalemaa!
Mbowe ni gunia la misumari, kila anayejitwisha lazima atahangaika na kulitua haraka!

Mr Freeman Aikael Mbowe: BWANA akubarikie, na kukulinda; BWANA akuangazie nuru za uso wake, na kukufadhili; BWANA akuinulie uso wake, na kukupa amani; katika jina la Mungu Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu, Amina.

Mbowe uwe na siku njema yenye baraka!
 
Familia ya Mbowe, Mnyika, Mrema, Kibatala wote wanao uhakika wa kula vizuri na kusoma lkn wewe ambaye maisha yako ni ya kubangaiza unaishia gerezani unaacha familia yako inateseka. jiongeze, achana na upuuzi tafuta maisha yako uwe na uhakika.
USHAURI Huo kampe baba ako nyumbani aache kuzalisha hovyo kwa mama ako hali ya uchumi ni mbaya sana hivyo avute subira baada ya uhuru wa pili kupatikana ndipo aendeleze panga lake na uzalishaji
 
Tunakwama sana majirani zetu wiki hii wanajitangaza duniani kwa kunyakua medali Olimpiki huko Japan sisi tunajitangaza Dar es Salaam kwa ugaidi ambayo kimsingi haupo
 
jiongeze, wewe unaejifanya unatafuta haki uliwahi kuona watoto wa Mbowe anakamatwa au mke wake uliwahi kumuona amekamatwa?! au amelala mahabusu?!
uliwahi kumuona mtoto wa Mbowe kashika bango? au uliwahi kumuona mke wa Myika, Mrema au Kibatala kashika bango anaandamana?!
jiongeze, tafuta maisha yako.
kwa hiyo umetumwa na mbwa wanaovaa magwanda na kubeba silaha tulizowanunulia uandika haya mavi? Hatudanganyiki karibu roadini sasa hivi
 
Mbowe ni kada wa CCM kama alivyokuwa Marehemu maalim Seif - mikiki mikiki wanayo pitia ni kati ya viapo vyao kwa kazi zao wanazozifanya ili taifa letu lionekane harakati za demokrasia zina endelea na amani inatamalaki!
Ila wafuasi wao hawaabiwi! Mwangalie mzee Mrema kama unabisha. Mbowe ni mpango mzima wa CCM. Wewe danganyika ufate usicho kijua, utalemaa!
Hatudanganyiki karibu bara barani tumalizane mbwa koko wee
 
jiongeze, wewe unaejifanya unatafuta haki uliwahi kuona watoto wa Mbowe anakamatwa au mke wake uliwahi kumuona amekamatwa?! au amelala mahabusu?!
uliwahi kumuona mtoto wa Mbowe kashika bango? au uliwahi kumuona mke wa Myika, Mrema au Kibatala kashika bango anaandamana?!
jiongeze, tafuta maisha yako.
Maisha ndo hayo nahatafuta. Maisha nje ya katiba mpya hayapo. Hii katiba iliyopo ndo imenifanya niwe maskini sasa natafuta unafuu wa maisha kwa kutoka na disaster hii
 
Maisha ndo hayo nahatafuta. Maisha nje ya katiba mpya hayapo. Hii katiba iliyopo ndo imenifanya niwe maskini sasa natafuta unafuu wa maisha kwa kutoka na disaster hii
mbona familia ya Mbowe sio masikini? wanaishi Dubai wanakula bata, wametajirikia hapahapa tz kwa katiba hii hii wewe unayo sema imekufanya kuwa masikini!! acha kudanganywa badilika tafuta maisha yako.
hao kina mnyika, kibatala, Mrema n.k wao maisha ni mazuri sana, jiangalie wewe, wacha kupoteza maisha yako bure.
 
jiongeze, wewe unaejifanya unatafuta haki uliwahi kuona watoto wa Mbowe anakamatwa au mke wake uliwahi kumuona amekamatwa?! au amelala mahabusu?!
uliwahi kumuona mtoto wa Mbowe kashika bango? au uliwahi kumuona mke wa Myika, Mrema au Kibatala kashika bango anaandamana?!
jiongeze, tafuta maisha yako.

Unaonesha una uchungu sana na maisha ya watu. Unaonekana pia kuwa na huruma kuliko hata Yesu Kristo?!
 
mbona familia ya Mbowe sio masikini? wanaishi Dubai wanakula bata, wametajirikia hapahapa tz kwa katiba hii hii wewe unayo sema imekufanya kuwa masikini!! acha kudanganywa badilika tafuta maisha yako.
hao kina mnyika, kibatala, Mrema n.k wao maisha ni mazuri sana, jiangalie wewe, wacha kupoteza maisha yako bure.
Hatuwezi wote kuwa na njia moja ya kuwa matajiri. Unaweza kujiuliza mbona mamansami kawa rais kwa kariba hiihii lakini mbowe kwa nini hajawa raisi!

Hayo ni mawazo ya kijinga. Tunatka tuondokane na ubabe na udictator wa rais kutaka chochote kifanyike bila kupingwa. Nfano hii miamala ya simu waziri anapeleka mswada unapita bila kupingwa halafu anayeumia ni mimi na kunifanya kuwa maskini zaidi.

Tume inaamua kumtangaza yeyote inayemtaka hasa ccm bila hata hata kushinda halafu tunakuwa na bunge la maccm la hovyo.

Kipindi kile cha akina mbowe tulikuwa na rais mwenye akili yaani Nyerere ambaye alisema kabisa kuwa akija rais mwehu kama jpm ataua watu maana nchi imempa mamraka makubwa sana. Na tuliyaona hayo alikuwa anaua tu na kukandamiza ambaye hampendi na ndo chanzo cha umaskini wa watanzani yaani wawekezaji waliokuwa wameajiri vijana wote wakakimbia nchi vijana wakabaki wanarandaranda mtaani tu na umaskini ukaangozeka mara dufu. Hivyo unaweza kuona katiba hii inavyoleta umaskini
 
Hatuwezi wote kuwa na njia moja ya kuwa matajiri. Unaweza kujiuliza mbona mamansami kawa rais kwa kariba hiihii lakini mbowe kwa nini hajawa raisi!

Hayo ni mawazo ya kijinga. Tunatka tuondokane na ubabe na udictator wa rais kutaka chochote kifanyike bila kupingwa. Nfano hii miamala ya simu waziri anapeleka mswada unapita bila kupingwa halafu anayeumia ni mimi na kunifanya kuwa maskini zaidi.

Tume inaamua kumtangaza yeyote inayemtaka hasa ccm bila hata hata kushinda halafu tunakuwa na bunge la maccm la hovyo.

Kipindi kile cha akina mbowe tulikuwa na rais mwenye akili yaani Nyerere ambaye alisema kabisa kuwa akija rais mwehu kama jpm ataua watu maana nchi imempa mamraka makubwa sana. Na tuliyaona hayo alikuwa anaua tu na kukandamiza ambaye hampendi na ndo chanzo cha umaskini wa watanzani yaani wawekezaji waliokuwa wameajiri vijana wote wakakimbia nchi vijana wakabaki wanarandaranda mtaani tu na umaskini ukaangozeka mara dufu. Hivyo unaweza kuona katiba hii inavyoleta umaskini
jiongeze, wewe unaejifanya unatafuta haki uliwahi kuona watoto wa Mbowe anakamatwa au mke wake uliwahi kumuona amekamatwa?! au amelala mahabusu?!
uliwahi kumuona mtoto wa Mbowe kashika bango? au uliwahi kumuona mke wa Myika, Mrema au Kibatala kashika bango anaandamana?!
jiongeze, tafuta maisha yako.
 
Unasema kuwa sirro kaingilia uhuru wa mahakama wewe mlet uzi umeingilia uhuru wa nini unaposema kuwa malaika wenu kabambikiwa kesi!? shame on you.
 
Wapenda amani kote nchini na wazalendo wa nchi popote pale walipo kamwe tusikubali hawa wahuni wachache wanao jifanya wanadai haki kwa kuvunja sheria watuharibie Amani ya nchi yetu.
tuchukue hatua za kuwafichua na kuwa ripoti popote pale walipo.
sio wafuasi wote wa chadema wanafurahia uhuni huu bali wapo wahuni wachache wenye chembe chembe za Ugaidi/uhalifu/ujanbazi/wizi ndio wanafanya vitendo hivi vya kihuni ili wapate sababu.
Sheria ya Sirro na wasiojulikana.
 
jiongeze, wewe unaejifanya unatafuta haki uliwahi kuona watoto wa Mbowe anakamatwa au mke wake uliwahi kumuona amekamatwa?! au amelala mahabusu?!
uliwahi kumuona mtoto wa Mbowe kashika bango? au uliwahi kumuona mke wa Myika, Mrema au Kibatala kashika bango anaandamana?!
jiongeze, tafuta maisha yako.
Siyo lazima wote wawe wanasiasa. Wale wakishiba haimaanishi na mimi nimeshida. Lisu alipigwa lisasai na jpm haimaanishi na mimi nilipigwa

Mi napambana kivyangu bila kuangalia watoto wa mbowe wala mnyika. Maisha yangu siyo ya watoto wa mbowe. Na ujue unombozi huwa unaletwa na watu wachache ambao wamepigika mtaani lakini wana elimu kubwa ila mifumo kamdamizi imewaziba tu.

Hata mbowe na familia yake wakijitoa wakanynuliwa na ccm still bado moto utaendelea kuwaka mana sisi mtaani maskini ninwengi na umaskini wetu umesababishwa na ccm na madictator wachache kama akina magufuli et al
 
Hii kesi ya kijinga inaondolewa muda mfupi ujao.Imeleta fedheha na aibu kubwa kwa taifa letu.Sirrro anastaafu kwa fedheha sana., Tunamtakia maisha mema akalee wajuu zake.
 
Familia ya Mbowe, Mnyika, Mrema, Kibatala wote wanao uhakika wa kula vizuri na kusoma lkn wewe ambaye maisha yako ni ya kubangaiza unaishia gerezani unaacha familia yako inateseka. jiongeze, achana na upuuzi tafuta maisha yako uwe na uhakika.
Tafuta wenzio wa kuwalisha huu upupu wako, elewa kuwa kadiri siku zinavyosonga ndivyo wenye akili za kujiuliza maswali na fikra chanya wanaongezeka. Unahaha sn mkuu. Mungu tunayemuamini ni Mungu was haki.
 
jiongeze, wewe unaejifanya unatafuta haki uliwahi kuona watoto wa Mbowe anakamatwa au mke wake uliwahi kumuona amekamatwa?! au amelala mahabusu?!
uliwahi kumuona mtoto wa Mbowe kashika bango? au uliwahi kumuona mke wa Myika, Mrema au Kibatala kashika bango anaandamana?!
jiongeze, tafuta maisha yako.
Fikra mfu hizi na zilizojaa ubaguzi wa kila aina ,dharau na kiburi.
 
jiongeze, wewe unaejifanya unatafuta haki uliwahi kuona watoto wa Mbowe anakamatwa au mke wake uliwahi kumuona amekamatwa?! au amelala mahabusu?!
uliwahi kumuona mtoto wa Mbowe kashika bango? au uliwahi kumuona mke wa Myika, Mrema au Kibatala kashika bango anaandamana?!
jiongeze, tafuta maisha yako.
Mbowe yupo gerezani inatosha kuonyesha anavyopambania haki mwanae hayatuhusu labda kama mwanae ni.mpuuzi kama wewe
 
Back
Top Bottom