Ijumaa Imefika kukiwa na Baridi asubuhi hii katika jiji la DSM.
View attachment 1882408
Freeman Mbowe aliyebambikwa kesi ya Ugaidi na dola kutokana na vuguvugu la kudai Katiba impya inaendelea Leo baada ya kuahirishwa Jana kutokana na tatizo la kimtandao.
Itakumbukwa mwanzoni mwa wiki hii Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro bila aibu aliitisha Mkutano wa wanahabari bila kujali anaingilia Uhuru wa Mahakama alimshambulia Freeman Mbowe na kumhukumu kwa kesi hii ya kubambikwa. Simon Sirro alienda mbali na kutumia mpaka udini kuhalalisha madai yake ya uongo dhidi ya Mbowe.
Kama ilivyokuwa Jana tunatarajia idadi kubwa ya Wananchi kuhudhuria kesi hii wakiwemo vijana, wanawake na Wazee.
Dunia imesimama na wapigania haki Tanzania na tayari mpaka Jana nchi kadhaa duniani zimetoa matamko ya kufuatilia kesi hii kwa ukaribu ikiwemo Marekani, Canada, Uswiss, Uingereza, European Eunion na Umoja wa Mataifa (UN)
Molemo media tayari tumetinga hapa Kisutu kuripot yanayoendelea mwanzo mwisho.
Updates saa 2.30 Asubuhi
Mpigania haki wa Tanzania Freeman Mbowe amefikishwa Mahakama ya Kisutu chini ya Ulinzi mkali wa Askari wenye silaha.
Mbowe Mara baada ya kushuka amenyoosha ishara ya vidole viwili kusalimia wananchi
View attachment 1882358View attachment 1882359View attachment 1882360View attachment 1882361View attachment 1882367View attachment 1882368View attachment 1882369View attachment 1882403View attachment 1882404View attachment 1882405View attachment 1882406mku