Yaliyojiri Kisutu, Dar: Kesi ya Freeman Mbowe, yaahirishwa hadi 13 Agosti, 2021, Mashtaka yasomwa upya

Yaliyojiri Kisutu, Dar: Kesi ya Freeman Mbowe, yaahirishwa hadi 13 Agosti, 2021, Mashtaka yasomwa upya

jana kuna mama alikanywaga na polisi naomba mwenye picha inayoonyesha jina na force number ya askari mmojawapo. No lazima tumburuze kwa pilato. Na leo tuhakikishe tunapiga picha za utambulisho wa askari wanyanyasaji. No lazima tushughulike angle zote. Hakikisha JINA NA FORCE NUMBER YA ASKARI VINAPATIKANA KWENYE MATUKIO
mtakanyagwa na hakuna kitu mtafanya.
 
Power is not permanent
Mwenye kusoma na aelewe
 
Wapenda amani kote nchini na wazalendo wa nchi popote pale walipo kamwe tusikubali hawa wahuni wachache wanao jifanya wanadai haki kwa kuvunja sheria watuharibie Amani ya nchi yetu.
tuchukue hatua za kuwafichua na kuwa ripoti popote pale walipo.
sio wafuasi wote wa chadema wanafurahia uhuni huu bali wapo wahuni wachache wenye chembe chembe za Ugaidi/uhalifu/ujanbazi/wizi ndio wanafanya vitendo hivi vya kihuni ili wapate sababu.
Sheria gani iliyovunjwa?

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
mkumbusheni ma
Ijumaa Imefika kukiwa na Baridi asubuhi hii katika jiji la DSM.
View attachment 1882408
Freeman Mbowe aliyebambikwa kesi ya Ugaidi na dola kutokana na vuguvugu la kudai Katiba impya inaendelea Leo baada ya kuahirishwa Jana kutokana na tatizo la kimtandao.

Itakumbukwa mwanzoni mwa wiki hii Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro bila aibu aliitisha Mkutano wa wanahabari bila kujali anaingilia Uhuru wa Mahakama alimshambulia Freeman Mbowe na kumhukumu kwa kesi hii ya kubambikwa. Simon Sirro alienda mbali na kutumia mpaka udini kuhalalisha madai yake ya uongo dhidi ya Mbowe.

Kama ilivyokuwa Jana tunatarajia idadi kubwa ya Wananchi kuhudhuria kesi hii wakiwemo vijana, wanawake na Wazee.

Dunia imesimama na wapigania haki Tanzania na tayari mpaka Jana nchi kadhaa duniani zimetoa matamko ya kufuatilia kesi hii kwa ukaribu ikiwemo Marekani, Canada, Uswiss, Uingereza, European Eunion na Umoja wa Mataifa (UN)

Molemo media tayari tumetinga hapa Kisutu kuripot yanayoendelea mwanzo mwisho.

Updates saa 2.30 Asubuhi
Mpigania haki wa Tanzania Freeman Mbowe amefikishwa Mahakama ya Kisutu chini ya Ulinzi mkali wa Askari wenye silaha.

Mbowe Mara baada ya kushuka amenyoosha ishara ya vidole viwili kusalimia wananchi

View attachment 1882358View attachment 1882359View attachment 1882360View attachment 1882361View attachment 1882367View attachment 1882368View attachment 1882369View attachment 1882403View attachment 1882404View attachment 1882405View attachment 1882406mku

mkumbusheni maushungi kuwa hata meko alikuwa anafurahia hivi hivi ila sasa hivi yuko wapi?

mama ana miak 60.. badala ya kutengeneza nchi yenye katiba imara kwa ajili ya wajuu wake .. yeye anadanganyika na madaraka mafupi..
 
Hivi askari wote hao ni kwa sababu wanahofia wakina mama watakuja na makaratasi yaliyoandikwa " Mbowe sio gaidi"? Juhudi zote hizo kuzuia watu kutoa mawazo yao kwa njia ya amani? Inasikitisha sana.

Amandla...
 
Yakubambikiwa, tena ugaidi kisa mnaogopa dai pendwa la Wantanzania Katiba mpya.
Inakuwaje Mama mliekuwa mnaandika maandiko Hapa Jf Kwamba Anaupiga Mwingi then anawabambikia Tena Kesi za Ugaidi Wakuu [emoji3][emoji3], Lahana ya Magufuli inawatafuna na itawatafuna sana Maana alivyofariki mlimuongelea Mabaya sana Wakati mkijua sio kweli. Metapigwa sana na Bado mbna
 
Ijumaa Imefika kukiwa na Baridi asubuhi hii katika jiji la DSM.
View attachment 1882408
Freeman Mbowe aliyebambikwa kesi ya Ugaidi na dola kutokana na vuguvugu la kudai Katiba impya inaendelea Leo baada ya kuahirishwa Jana kutokana na tatizo la kimtandao.

Itakumbukwa mwanzoni mwa wiki hii Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro bila aibu aliitisha Mkutano wa wanahabari bila kujali anaingilia Uhuru wa Mahakama alimshambulia Freeman Mbowe na kumhukumu kwa kesi hii ya kubambikwa. Simon Sirro alienda mbali na kutumia mpaka udini kuhalalisha madai yake ya uongo dhidi ya Mbowe.

Kama ilivyokuwa Jana tunatarajia idadi kubwa ya Wananchi kuhudhuria kesi hii wakiwemo vijana, wanawake na Wazee.

Dunia imesimama na wapigania haki Tanzania na tayari mpaka Jana nchi kadhaa duniani zimetoa matamko ya kufuatilia kesi hii kwa ukaribu ikiwemo Marekani, Canada, Uswiss, Uingereza, European Eunion na Umoja wa Mataifa (UN)

Molemo media tayari tumetinga hapa Kisutu kuripot yanayoendelea mwanzo mwisho.

Updates saa 2.30 Asubuhi
Mpigania haki wa Tanzania Freeman Mbowe amefikishwa Mahakama ya Kisutu chini ya Ulinzi mkali wa Askari wenye silaha.

Mbowe Mara baada ya kushuka amenyoosha ishara ya vidole viwili kusalimia wananchi

View attachment 1882358View attachment 1882359View attachment 1882360View attachment 1882361View attachment 1882367View attachment 1882368View attachment 1882369View attachment 1882403View attachment 1882404View attachment 1882405View attachment 1882406View attachment 1882413
CCM WANGELETA JESHI LA ULINZI KABISA KUMLINDA MWANAMAPINDUZI
 
jiongeze, wewe unaejifanya unatafuta haki uliwahi kuona watoto wa Mbowe anakamatwa au mke wake uliwahi kumuona amekamatwa?! au amelala mahabusu?!
uliwahi kumuona mtoto wa Mbowe kashika bango? au uliwahi kumuona mke wa Myika, Mrema au Kibatala kashika bango anaandamana?!
jiongeze, tafuta maisha yako.
Kwa akili zako unadhani watoto na familia zao zinasikia raha sana wanapoona ndugu yao amelala mahabusu? Unajua kuna wakina mama walipoteza maisha yao wakati wanao wako mahabusu au jela? Unadhani hao kuku wanakuwa na ladha yeyote ukijua umpendae yuko mahabusu na haujui hatima yao? Hao unaotaka washike mabango wanateseka kuliko unavyoweza kufikiria.

Amandla...
 
Back
Top Bottom