rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,749
- 7,038
mtakanyagwa na hakuna kitu mtafanya.jana kuna mama alikanywaga na polisi naomba mwenye picha inayoonyesha jina na force number ya askari mmojawapo. No lazima tumburuze kwa pilato. Na leo tuhakikishe tunapiga picha za utambulisho wa askari wanyanyasaji. No lazima tushughulike angle zote. Hakikisha JINA NA FORCE NUMBER YA ASKARI VINAPATIKANA KWENYE MATUKIO
kibongo bongo watu wote wanalipa Kodi acha kujipa umuhimu.Anza na mbwa na majambazi yanavaa sare za kipolisi tulizonunua kwa kodi zetu.
Sheria gani iliyovunjwa?Wapenda amani kote nchini na wazalendo wa nchi popote pale walipo kamwe tusikubali hawa wahuni wachache wanao jifanya wanadai haki kwa kuvunja sheria watuharibie Amani ya nchi yetu.
tuchukue hatua za kuwafichua na kuwa ripoti popote pale walipo.
sio wafuasi wote wa chadema wanafurahia uhuni huu bali wapo wahuni wachache wenye chembe chembe za Ugaidi/uhalifu/ujanbazi/wizi ndio wanafanya vitendo hivi vya kihuni ili wapate sababu.
kesi ipo mahakamani tayar, mahakama pekee ndo itajibu hayo unayosemaKwani Mbowe amepewa charges na Mahakama?
makosa mawili hayafanyi sahihi mojaHapana, kwani IGP tayari alikwisha hitimisha kesi kwa kuthibitisha Mbowe anayo hatia.
Kafanya tukio gani linalokuogopesha?Huyu gaidi wa kuogopa kabisa, hii nchi hatukuzoea haya mambo.
mkumbusheni maushungi kuwa hata meko alikuwa anafurahia hivi hivi ila sasa hivi yuko wapi?Ijumaa Imefika kukiwa na Baridi asubuhi hii katika jiji la DSM.
View attachment 1882408
Freeman Mbowe aliyebambikwa kesi ya Ugaidi na dola kutokana na vuguvugu la kudai Katiba impya inaendelea Leo baada ya kuahirishwa Jana kutokana na tatizo la kimtandao.
Itakumbukwa mwanzoni mwa wiki hii Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro bila aibu aliitisha Mkutano wa wanahabari bila kujali anaingilia Uhuru wa Mahakama alimshambulia Freeman Mbowe na kumhukumu kwa kesi hii ya kubambikwa. Simon Sirro alienda mbali na kutumia mpaka udini kuhalalisha madai yake ya uongo dhidi ya Mbowe.
Kama ilivyokuwa Jana tunatarajia idadi kubwa ya Wananchi kuhudhuria kesi hii wakiwemo vijana, wanawake na Wazee.
Dunia imesimama na wapigania haki Tanzania na tayari mpaka Jana nchi kadhaa duniani zimetoa matamko ya kufuatilia kesi hii kwa ukaribu ikiwemo Marekani, Canada, Uswiss, Uingereza, European Eunion na Umoja wa Mataifa (UN)
Molemo media tayari tumetinga hapa Kisutu kuripot yanayoendelea mwanzo mwisho.
Updates saa 2.30 Asubuhi
Mpigania haki wa Tanzania Freeman Mbowe amefikishwa Mahakama ya Kisutu chini ya Ulinzi mkali wa Askari wenye silaha.
Mbowe Mara baada ya kushuka amenyoosha ishara ya vidole viwili kusalimia wananchi
View attachment 1882358View attachment 1882359View attachment 1882360View attachment 1882361View attachment 1882367View attachment 1882368View attachment 1882369View attachment 1882403View attachment 1882404View attachment 1882405View attachment 1882406mku
Yakubuni ndio hunahaya wwUkisema kubambikwa unaingilia Uhuru wa mahakama
kwakua aliwagomea ruzuku namambo yanaenda kwenye chama basi mkamtaftia jina ugaidiHuyu gaidi wa kuogopa kabisa, hii nchi hatukuzoea haya mambo.
Inakuwaje Mama mliekuwa mnaandika maandiko Hapa Jf Kwamba Anaupiga Mwingi then anawabambikia Tena Kesi za Ugaidi Wakuu [emoji3][emoji3], Lahana ya Magufuli inawatafuna na itawatafuna sana Maana alivyofariki mlimuongelea Mabaya sana Wakati mkijua sio kweli. Metapigwa sana na Bado mbnaYakubambikiwa, tena ugaidi kisa mnaogopa dai pendwa la Wantanzania Katiba mpya.
CCM WANGELETA JESHI LA ULINZI KABISA KUMLINDA MWANAMAPINDUZIIjumaa Imefika kukiwa na Baridi asubuhi hii katika jiji la DSM.
View attachment 1882408
Freeman Mbowe aliyebambikwa kesi ya Ugaidi na dola kutokana na vuguvugu la kudai Katiba impya inaendelea Leo baada ya kuahirishwa Jana kutokana na tatizo la kimtandao.
Itakumbukwa mwanzoni mwa wiki hii Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro bila aibu aliitisha Mkutano wa wanahabari bila kujali anaingilia Uhuru wa Mahakama alimshambulia Freeman Mbowe na kumhukumu kwa kesi hii ya kubambikwa. Simon Sirro alienda mbali na kutumia mpaka udini kuhalalisha madai yake ya uongo dhidi ya Mbowe.
Kama ilivyokuwa Jana tunatarajia idadi kubwa ya Wananchi kuhudhuria kesi hii wakiwemo vijana, wanawake na Wazee.
Dunia imesimama na wapigania haki Tanzania na tayari mpaka Jana nchi kadhaa duniani zimetoa matamko ya kufuatilia kesi hii kwa ukaribu ikiwemo Marekani, Canada, Uswiss, Uingereza, European Eunion na Umoja wa Mataifa (UN)
Molemo media tayari tumetinga hapa Kisutu kuripot yanayoendelea mwanzo mwisho.
Updates saa 2.30 Asubuhi
Mpigania haki wa Tanzania Freeman Mbowe amefikishwa Mahakama ya Kisutu chini ya Ulinzi mkali wa Askari wenye silaha.
Mbowe Mara baada ya kushuka amenyoosha ishara ya vidole viwili kusalimia wananchi
View attachment 1882358View attachment 1882359View attachment 1882360View attachment 1882361View attachment 1882367View attachment 1882368View attachment 1882369View attachment 1882403View attachment 1882404View attachment 1882405View attachment 1882406View attachment 1882413
uhuru wa mahakama uingiliwe mara ngapi, wakati ccm meuingilia mara kibao kama kunajisi vile watoto wa under 15Ukisema kubambikwa unaingilia Uhuru wa mahakama
Kwa akili zako unadhani watoto na familia zao zinasikia raha sana wanapoona ndugu yao amelala mahabusu? Unajua kuna wakina mama walipoteza maisha yao wakati wanao wako mahabusu au jela? Unadhani hao kuku wanakuwa na ladha yeyote ukijua umpendae yuko mahabusu na haujui hatima yao? Hao unaotaka washike mabango wanateseka kuliko unavyoweza kufikiria.jiongeze, wewe unaejifanya unatafuta haki uliwahi kuona watoto wa Mbowe anakamatwa au mke wake uliwahi kumuona amekamatwa?! au amelala mahabusu?!
uliwahi kumuona mtoto wa Mbowe kashika bango? au uliwahi kumuona mke wa Myika, Mrema au Kibatala kashika bango anaandamana?!
jiongeze, tafuta maisha yako.
mnajitofautishaje nao Sasa?uhuru uingiliwe mara ngapi,wakati ccm meuingilia mara kibao kama kunajisi vile watoto wa under 15
Watanzania gani wanadai Katiba mpya? Hayo ni madai ya hao Wanasiasa kwa maslahi yao, sisi vipaumbele vyetu siyo Katiba mpyaYakubambikiwa, tena ugaidi kisa mnaogopa dai pendwa la Wantanzania Katiba mpya.
Sema mwafrika ni Hasara kwa duniaHii kesi ya Mbowe and the same ndizo zinazodhihirisha kuwa Mwafrika ni mtu katili na hana dini
elekeza dishi kisutu utajua kwa mawakili wasomi kuitetea hakimnajitofautishaje nao Sasa?