Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Maria Nyerere alilala lini mahabusu? Sofia Kawawa alilala lini mahabusu? Umewahi kusikia habari zozote za wake wa wakina Sykes, Dennis Pombeah n.k. ? Kwa sababu hiyo utasema hawakuwa na mchango katika juhudi za waume wao za kudai uhuru wa Tanganyika?Kuna mke wa kiongozi aliye fikia kiwango cha Mke wa Dr. Slaa mama Mushumbuzi?
uliwahi kumuona mke wa Mbowe anakamatwa na polisi na kulala rumande?
uliwahi kumuona mke wa Mnyika au Mrema au Kibatala anakamatwa?! jiongeze wewe acha kupoteza mwelekeo wa maisha yako. nenda katafute acha wahangaike wenye uhakika.
Acha ujinga na ubinafsi wewe, pigania nchi yako acha kupigania tumbo lako. Watu kama nyie mnatupa taabu sana kwenye hii nchiFamilia ya Mbowe, Mnyika, Mrema, Kibatala wote wanao uhakika wa kula vizuri na kusoma lkn wewe ambaye maisha yako ni ya kubangaiza unaishia gerezani unaacha familia yako inateseka. jiongeze, achana na upuuzi tafuta maisha yako uwe na uhakika.
hujajibu swalielekeza dishi kisutu utajua kwa mawakili wasomi kuitetea haki
Ukisema kubambikwa unaingilia Uhuru wa mahakama
Unabaki kujiuliza tu why!?kwanini lakini kumtendea haya mtu asiye na hatia? Kwani kuna mtu ataishi milele? Yuko wapi kayafa leo hii? Why? Kwanini lakini? Whyy[emoji374][emoji19][emoji374][emoji19][emoji374][emoji19]Ijumaa Imefika kukiwa na Baridi asubuhi hii katika jiji la DSM.
View attachment 1882408
Freeman Mbowe aliyebambikwa kesi ya Ugaidi na dola kutokana na vuguvugu la kudai Katiba impya inaendelea Leo baada ya kuahirishwa Jana kutokana na tatizo la kimtandao.
Itakumbukwa mwanzoni mwa wiki hii Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro bila aibu aliitisha Mkutano wa wanahabari bila kujali anaingilia Uhuru wa Mahakama alimshambulia Freeman Mbowe na kumhukumu kwa kesi hii ya kubambikwa. Simon Sirro alienda mbali na kutumia mpaka udini kuhalalisha madai yake ya uongo dhidi ya Mbowe.
Kama ilivyokuwa Jana tunatarajia idadi kubwa ya Wananchi kuhudhuria kesi hii wakiwemo vijana, wanawake na Wazee.
Dunia imesimama na wapigania haki Tanzania na tayari mpaka Jana nchi kadhaa duniani zimetoa matamko ya kufuatilia kesi hii kwa ukaribu ikiwemo Marekani, Canada, Uswiss, Uingereza, European Eunion na Umoja wa Mataifa (UN)
Molemo media tayari tumetinga hapa Kisutu kuripot yanayoendelea mwanzo mwisho.
Updates saa 2.30 Asubuhi
Mpigania haki wa Tanzania Freeman Mbowe amefikishwa Mahakama ya Kisutu chini ya Ulinzi mkali wa Askari wenye silaha.
Mbowe Mara baada ya kushuka amenyoosha ishara ya vidole viwili kusalimia wananchi
View attachment 1882358View attachment 1882359View attachment 1882360View attachment 1882361View attachment 1882367View attachment 1882368View attachment 1882369View attachment 1882403View attachment 1882404View attachment 1882405View attachment 1882406View attachment 1882413
ambayo ndio yaliyomwachia Mdude akashinda piaHakuna mahakama huru hapa Tanzania, bali kuna majengo ya mahakama yanayosimamiwa na Makada wa ccm ili kukomoa wapinzani.
Familia ya Mbowe, Mnyika, Mrema, Kibatala wote wanao uhakika wa kula vizuri na kusoma lkn wewe ambaye maisha yako ni ya kubangaiza unaishia gerezani unaacha familia yako inateseka. jiongeze, achana na upuuzi tafuta maisha yako uwe na uhakika.
Nipo pamoja na weweWapenda amani kote nchini na wazalendo wa nchi popote pale walipo kamwe tusikubali hawa wahuni wachache wanao jifanya wanadai haki kwa kuvunja sheria watuharibie Amani ya nchi yetu.
tuchukue hatua za kuwafichua na kuwa ripoti popote pale walipo.
sio wafuasi wote wa chadema wanafurahia uhuni huu bali wapo wahuni wachache wenye chembe chembe za Ugaidi/uhalifu/ujanbazi/wizi ndio wanafanya vitendo hivi vya kihuni ili wapate sababu.
Amen [emoji1752][emoji1752][emoji1545][emoji1545][emoji1545]Mbowe ni gunia la misumari, kila anayejitwisha lazima atahangaika na kulitua haraka!
Mr Freeman Aikael Mbowe: BWANA akubarikie, na kukulinda; BWANA akuangazie nuru za uso wake, na kukufadhili; BWANA akuinulie uso wake, na kukupa amani; katika jina la Mungu Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu, Amina.
Mbowe uwe na siku njema yenye baraka!
Pangia mama yako usipangie wengine nn cha kufanya na maisha yao-kama watu wameamua kuandamana ni haki yao,That's all.Familia ya Mbowe, Mnyika, Mrema, Kibatala wote wanao uhakika wa kula vizuri na kusoma lkn wewe ambaye maisha yako ni ya kubangaiza unaishia gerezani unaacha familia yako inateseka. jiongeze, achana na upuuzi tafuta maisha yako uwe na uhakika.
Gaidi huyu mbn Hana kanzu wala barakashia?! Mkristo anaweza kua gaidi kweli?!! maana waislamu sie ndio tumekua tukihusishwa na ugaid miaka nenda Rudi.Ijumaa Imefika kukiwa na Baridi asubuhi hii katika jiji la DSM.
View attachment 1882408
Freeman Mbowe aliyebambikwa kesi ya Ugaidi na dola kutokana na vuguvugu la kudai Katiba impya inaendelea Leo baada ya kuahirishwa Jana kutokana na tatizo la kimtandao.
Itakumbukwa mwanzoni mwa wiki hii Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro bila aibu aliitisha Mkutano wa wanahabari bila kujali anaingilia Uhuru wa Mahakama alimshambulia Freeman Mbowe na kumhukumu kwa kesi hii ya kubambikwa. Simon Sirro alienda mbali na kutumia mpaka udini kuhalalisha madai yake ya uongo dhidi ya Mbowe.
Kama ilivyokuwa Jana tunatarajia idadi kubwa ya Wananchi kuhudhuria kesi hii wakiwemo vijana, wanawake na Wazee.
Dunia imesimama na wapigania haki Tanzania na tayari mpaka Jana nchi kadhaa duniani zimetoa matamko ya kufuatilia kesi hii kwa ukaribu ikiwemo Marekani, Canada, Uswiss, Uingereza, European Eunion na Umoja wa Mataifa (UN)
Molemo media tayari tumetinga hapa Kisutu kuripot yanayoendelea mwanzo mwisho.
Updates saa 2.30 Asubuhi
Mpigania haki wa Tanzania Freeman Mbowe amefikishwa Mahakama ya Kisutu chini ya Ulinzi mkali wa Askari wenye silaha.
Mbowe Mara baada ya kushuka amenyoosha ishara ya vidole viwili kusalimia wananchi
View attachment 1882358View attachment 1882359View attachment 1882360View attachment 1882361View attachment 1882367View attachment 1882368View attachment 1882369View attachment 1882403View attachment 1882404View attachment 1882405View attachment 1882406View attachment 1882413
ambayo ndio yaliyomwachia Mdude akashinda pia
Ghaidi Mbowe Ni gunia la kinyesi,kila anayelikumbatia atachafuka mapema sanaMbowe ni gunia la misumari, kila anayejitwisha lazima atahangaika na kulitua haraka!
Mr Freeman Aikael Mbowe: BWANA akubarikie, na kukulinda; BWANA akuangazie nuru za uso wake, na kukufadhili; BWANA akuinulie uso wake, na kukupa amani; katika jina la Mungu Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu, Amina.
Mbowe uwe na siku njema yenye baraka!
Molemo, habari yako inaingilia uhuru wa mahakama piaIjumaa Imefika kukiwa na Baridi asubuhi hii katika jiji la DSM.
View attachment 1882408
Freeman Mbowe aliyebambikwa kesi ya Ugaidi na dola kutokana na vuguvugu la kudai Katiba impya inaendelea Leo baada ya kuahirishwa Jana kutokana na tatizo la kimtandao.
Itakumbukwa mwanzoni mwa wiki hii Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro bila aibu aliitisha Mkutano wa wanahabari bila kujali anaingilia Uhuru wa Mahakama alimshambulia Freeman Mbowe na kumhukumu kwa kesi hii ya kubambikwa. Simon Sirro alienda mbali na kutumia mpaka udini kuhalalisha madai yake ya uongo dhidi ya Mbowe.
Kama ilivyokuwa Jana tunatarajia idadi kubwa ya Wananchi kuhudhuria kesi hii wakiwemo vijana, wanawake na Wazee.
Dunia imesimama na wapigania haki Tanzania na tayari mpaka Jana nchi kadhaa duniani zimetoa matamko ya kufuatilia kesi hii kwa ukaribu ikiwemo Marekani, Canada, Uswiss, Uingereza, European Eunion na Umoja wa Mataifa (UN)
Molemo media tayari tumetinga hapa Kisutu kuripot yanayoendelea mwanzo mwisho.
Updates saa 2.30 Asubuhi
Mpigania haki wa Tanzania Freeman Mbowe amefikishwa Mahakama ya Kisutu chini ya Ulinzi mkali wa Askari wenye silaha.
Mbowe Mara baada ya kushuka amenyoosha ishara ya vidole viwili kusalimia wananchi
View attachment 1882358View attachment 1882359View attachment 1882360View attachment 1882361View attachment 1882367View attachment 1882368View attachment 1882369View attachment 1882403View attachment 1882404View attachment 1882405View attachment 1882406View attachment 1882413
labda ulikuwa na jibu lakohujajibu swali
Sasa nimemuelewa Rais aliposema vijana ni wepesi kutetea kwa mtandao.Hongera sana ila tu ni kwamba yana mwisho haya.Familia ya Mbowe, Mnyika, Mrema, Kibatala wote wanao uhakika wa kula vizuri na kusoma lkn wewe ambaye maisha yako ni ya kubangaiza unaishia gerezani unaacha familia yako inateseka. jiongeze, achana na upuuzi tafuta maisha yako uwe na uhakika.