Yaliyojiri Kisutu, Dar: Kesi ya Freeman Mbowe, yaahirishwa hadi 13 Agosti, 2021, Mashtaka yasomwa upya

Yaliyojiri Kisutu, Dar: Kesi ya Freeman Mbowe, yaahirishwa hadi 13 Agosti, 2021, Mashtaka yasomwa upya

unafahamu Mbowe alibangaiza ktk nchi hiii hiii na akafikia kumili biashara nyingi na akawa tajiri kiasi cha kujimudu, sasa makabwela wana jazwa upepo na mwishowe wanaishia selo na maisha yao ovyo.

japo Mbowe yupo gerezani lkn familia yake haiwezi kupata tabu kwa kuwa aliweka misingi, sasa wengine vip?

tusidanganyike ...tuendelee na maisha yetu kama kawa mkono uende kinywani.

tuwachie kina Kibatala waendelee na kazi yao ya kumtetea sisi tuendelee kutafuta riziki, tusipoteze muda tukazidi kuzitesa familia zetu.
Upepo huo unafanana na uliojazwa kuhusu corona na chanjo,kupitia henge lile la kupinga chanjo na uwepo wa corona.
 
Mtoto was juzi Ni wewe unayeandika propaganda mfu zisizo na kichwa Wala miguu!
Fyta mkia Kama huna hoja!
Myahenya sana kutembea Mahakamani, andaa pea za viatu tu. Nyie wenyewe CHADEMA Katiba yenu haifuatwi maana mna Mwenyekiti mmoja yangu 2002, halafu mnakuja hapa nyenyeye Katiba.... pumbavu sana
 
Myahenya sana kutembea Mahakamani, andaa pea za viatu tu. Nyie wenyewe CHADEMA Katiba yenu haifuatwi maana mna Mwenyekiti mmoja yangu 2002, halafu mnakuja hapa nyenyeye Katiba.... pumbavu sana
Mpumbav ni wewe usiyetambua uhitaji wa katiba mpya,bila kujali unatoka chama gani lakini unapaswa kujua umuhimu wa katiba mpya kwa maendeleo ya taifa lake we mpuuzi!Shwain kabisa!
 
Myahenya sana kutembea Mahakamani, andaa pea za viatu tu. Nyie wenyewe CHADEMA Katiba yenu haifuatwi maana mna Mwenyekiti mmoja yangu 2002, halafu mnakuja hapa nyenyeye Katiba.... pumbavu sana
Mtumeee! Wewe si umejitambulisha CDM kindakindaki,sasa imekuwaje tena yakhe ni mwanachama wa CCM ghafla 🤣🤣🤣 kweli mtu huwa hasahau asili yake
 
Mpumbav ni wewe usiyetambua uhitaji wa katiba mpya,bila kujali unatoka chama gani lakini unapaswa kujua umuhimu wa katiba mpya kwa maendeleo ya taifa lake we mpuuzi!Shwain kabisa!
Jamaa huwa anajitambulishaga ni mwanachama wa CDM,sasa naona kapitiwa ghafla kajiumbua
 
Inakuwaje Mama mliekuwa mnaandika maandiko Hapa Jf Kwamba Anaupiga Mwingi then anawabambikia Tena Kesi za Ugaidi Wakuu [emoji3][emoji3], Lahana ya Magufuli inawatafuna na itawatafuna sana Maana alivyofariki mlimuongelea Mabaya sana Wakati mkijua sio kweli. Metapigwa sana na Bado mbna
Hawezi acha laana t
yake nyuma,ameondoka nayo

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Thibitisha Mbowe alitaka kuua kiomgozi gani?

Maana kama ulinzi tu wa mahakama wamejaza hao polisi huyo kiongozi aliyepanga kuuliwa ni nani?


Unaweza kunitajia waliotaka kumuua Lissu yapata miaka 4 sasa hawajajulikana na kesi haizungumzwi je Lissu hakua kiongozi?

Lissu alishambuliwa katika compound ya viongozi mchana kweupe achilia mbali hizo shutuma za Mbowe za kupanga na hapajatokea kitu..

Ifike mahali CCM mjue watanzia wa miaka ya 90 sio hawa wa sasa..
Kuna mengi hufahamu. Mengine ukielewa utaikimbia Chadema leo. Acha mahakama itatoa hukumu ya haki
 
Inapofikia hatua hii tuliyofikia sasa, kurudi nyuma ni ujinga, ni upumbavu.

Njia iliyobaki ni kwenda mbele tu basi, mpaka UHURU na HAKI ipatikane kwa kila mTanzania.
 
Hebu tuache utani, haya ndiyo makosa ya Gaidi au kuna mengine yanatayarishwa?
 
Kama wewe ni la Saba B shauri yako, hakuna namna ya kukusaidia
zandrano upo? Pumzika sasa kwani kapatikana comrade mpya kukaimu nafasi yako. Listi ya michepuko ya mwenge inaongezeka. Katika orodha mweke na huyu mwingine Stuxnet.

Stuxnet, karibu ujiunge na wenzako...
  1. Elitwege
  2. Idugunde
  3. Jumbe Brown
  4. Kamanda Asiyechoka
  5. johnthebaptist
  6. USSR
  7. Magonjwa Mtambuka
  8. Dr Akili
  9. JUMA JUMA
  10. mtanzania1989
  11. Phillipo Bukililo
  12. Mr Dudumizi
  13. digba sowey
  14. IDEGENDA
  15. Niza doyi
  16. Kivumishi Kielezi
  17. Gerald .M Magembe
 
zandrano upo? Pumzika sasa kwani kapatikana comrade mpya kukaimu nafasi yako. Listi ya michepuko ya mwenge inaongezeka. Katika orodha mweke na huyu mwingine Stuxnet.

Stuxnet, karibu ujiunge na wenzako...
  1. Elitwege
  2. Idugunde
  3. Jumbe Brown
  4. Kamanda Asiyechoka
  5. johnthebaptist
  6. USSR
  7. Magonjwa Mtambuka
  8. Dr Akili
  9. JUMA JUMA
  10. mtanzania1989
  11. Phillipo Bukililo
  12. Mr Dudumizi
  13. digba sowey
  14. IDEG[/B]V[B]ENDA
  15. Niza doyi
  16. Kivumishi Kielezi
  17. Gerald .M Magembe
Salaam mkuu....

Pole na hekaheka za kukipambania chama.......

Kesi iko mahakamani let's hope for the best kwani "Vox populi is always in contrary with the dictates of the law...."

Pole tena na "shift ya usiku" hapo mtaa wa ufipa🤣🤣

Nisalimie sana ndugu yangu komredi Yericko Nyerere👍


#NchiKwanzaKablaYaYeyoteNaChochote
#KaziIendelee
#SiempreSerikaliMbiliZaJMT
 
zandrano upo? Pumzika sasa kwani kapatikana comrade mpya kukaimu nafasi yako. Listi ya michepuko ya mwenge inaongezeka. Katika orodha mweke na huyu mwingine Stuxnet.

Stuxnet, karibu ujiunge na wenzako...
  1. Elitwege
  2. Idugunde
  3. Jumbe Brown
  4. Kamanda Asiyechoka
  5. johnthebaptist
  6. USSR
  7. Magonjwa Mtambuka
  8. Dr Akili
  9. JUMA JUMA
  10. mtanzania1989
  11. Phillipo Bukililo
  12. Mr Dudumizi
  13. digba sowey
  14. IDEGENDA
  15. Niza doyi
  16. Kivumishi Kielezi
  17. Gerald .M Magembe
LOooo, sikuwahi kufahamu kwamba kuna orodha mashuhuru kama hii ilishatengenezwa tayari!

Hili wazo liliwahi kuniijia akilini, nikashindwa tu kulitimiza.
 
Mpumbav ni wewe usiyetambua uhitaji wa katiba mpya,bila kujali unatoka chama gani lakini unapaswa kujua umuhimu wa katiba mpya kwa maendeleo ya taifa lake we mpuuzi!Shwain kabisa!
Wafuasi wa CHADEMA wapumbavu sana. Wenye akili waliondoka na Dr Wilbroad Slaa. Nyie mnasema Samia ni DIKTETA, je Mbowe ni nani? Yeye amekuwa Mwenyekiti wenu kuanzia 2002, ni Katiba gani anatumia? Acheni ujinga huo, mnakuwa IRRELEVANT kwa wananchi. Pumbavu kabisa nyinyi.

Mwwnanchi mwwnye akili yuko busy ana hustle kutafuta hela, nyie wajinga mnashinda kwenye Mahakama. Jinga sana
 
Mtumeee! Wewe si umejitambulisha CDM kindakindaki,sasa imekuwaje tena yakhe ni mwanachama wa CCM ghafla 🤣🤣🤣 kweli mtu huwa hasahau asili yake
Sijawahi kuwa CHADEMA, niletee hiyo post niliyosema Mimi ni CDM au CCM
 
zandrano upo? Pumzika sasa kwani kapatikana comrade mpya kukaimu nafasi yako. Listi ya michepuko ya mwenge inaongezeka. Katika orodha mweke na huyu mwingine Stuxnet.

Stuxnet, karibu ujiunge na wenzako...
  1. Elitwege
  2. Idugunde
  3. Jumbe Brown
  4. Kamanda Asiyechoka
  5. johnthebaptist
  6. USSR
  7. Magonjwa Mtambuka
  8. Dr Akili
  9. JUMA JUMA
  10. mtanzania1989
  11. Phillipo Bukililo
  12. Mr Dudumizi
  13. digba sowey
  14. IDEGENDA
  15. Niza doyi
  16. Kivumishi Kielezi
  17. Gerald .M Magembe
Wewe ni mgeni hapa JF. Sisi wengine tuna misimamo SEM umeanza kutujuwa Leo. Hatuwezi kuunga mkono UPUMBAVU wenu.

Tafuta threads na posts zangu utagundua kuwa Mimi ni Mtanzania mwwnye mawazo huru.

Kama CHADEMA mko objective kwenye suala la Katiba Mpya, anzeni na ya kwenu kwanza. Inakuwaje muna Mwenyekiti Mbowe yangu mwaka 2000? Huo ndiyo UDIKTETA.
 
Back
Top Bottom