Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu kwenye Mikoa ya Manyara na Arusha

angekuwa anahangaika sidhani kama angekuwa kapiga kampeni sehem zote alizotembelea.....kama huna hoja funga domo au cheki cartoon maybe ndio saiz yako na wana lumumba wenzako
We hujui tu anavyochoka na miguu inamuuma,alitakiwa awe na chopa.
 
Weka huu uzi kuhusu hii agenda, ni muda muafaka.

Sio muda muafaka, bali kwa sasa Mbowe ni mwenyekiti wa cdm kimakosa, ils ajenda yetu kuu kwa sasa ni kummwaga kwanza Magufuli. Baada ya uchaguzi regdless matokeo, hilo la uongozi wa cdm tutalifanyia kazi. Kwa sasa wa nenda TBC1 ukasikilize TPSF wakimfanyia kampeni mfu ibilisi wa nchi hii.
 

Katutoa ngama huyo, na sijui ? tarehe 28/10 anaweza akatuvuruga.
Mi husema uhalisia sio mlevi. Michango vipi tuma ina hitajika sana .
 
Kuanzia Nangwa Dareda Kati Dareda mission Bashineti Madunga njia panda, Dongobesh, Vitunguu swaum, Maskaroda, watu wamejipanga barabarani Ni Nyomi hataree Imboru na Karatu watu wamekesha...akoo na Balisee ideroooo

Nasi roaleee
hahahahaahaha laaaa mungu......aniinge?!....
 
Anahusiana vipi na Chadema? Mbowe amekula michango mpaka Lissu anahangaika kufanya kampeni.
Sawa pole sana, lkn kameni si zinafanyika? Kama alikula michango ndio uje kutoa mapovu yako huku mitandaoni?

Ujinga ni kitu kibaya sana.
 
Wakati serikali ina hamasisha watu waende kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi mkuu chadema walikua wakihamasisha watu wasiende kujiandikisha mbaka ipatikane katiba Mpya, Chakushangaza baada ya matokeo ya uchaguzi mkuu chadema watadai wameibiwa kura.
 
Mbulu uwanja umeshafurika watu nyomi kama sisimizi.....stay hapa hapa

Huuu mwaka huuu ....Hiiiiiiiii
 
Tundu lisu hawez kuongoza Tanzania
....
Labda aende ubelgiji

Magufuli = mitano tena
 
Mbowe ni mwenyekiti kimakosa,bwege wewe,alitafuna michango na ruzuku mbona hukusema? Leo Lissu anahangaika kufanya kampeni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…