Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu Mikoa ya Kagera na Geita

si mnasemaga hakuna watu chato ila punda na mifugo,hao watu maelfu watatoka wapi???
 
Duuh kumbe Lissu ameamua kwenda kwenye ngome ya jiwe? Ngoja tuone mamboa yatakavyokua
 
Nadhani leo wananchi wa chato watapigwa stop woote. Sipati picha the unknown watakuwa wamemwagwa leo huko
 

Uchocholoni ndio kitu gani ?.Hizi shule za kata zimetuzalishia watu wa ajabu kweli kweli.Kuandika kwenye shinda kujenga hoja taabani.
 
RAIS WA CHAMA CHA SOKA AU MANZESE
 
The real is becoming..!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…