[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mnatia aibu sana mkuu! Hivi mnafikiri kila mtu hapa ni mbumbumbu?Leta updates za kushikana uchawi huko CCM!! Naona hadi mzee kakodi majeshi kwa mseveni leo
Picha za zamani zinahusiana vipi na mikutano ya leo
Kama si za kweli si ulete picha au video za kweli????[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mnatia aibu sana mkuu! Hivi mnafikiri kila mtu hapa ni mbumbumbu?
Yani jamaa kaokota picha sijui wapi huko alafu ndio anasema eti Lisu Iringa,!
Lisu mwaka huu atapata aibu ambayo hakuitegemea.
Mambo haya ya kufoji picha tumezoea kuyaona huko ccm, lakini siku hizi mambo yamekuwa kinyume chake
Morogoro picha zipo za kutosha tatizo ni wewe mpumbavu utlfuatilii chochoteCCM haijawahi kufutikq Iringa tangu mfumo wa vyama vingi uanze, upinzani umekuwa ukichukuwa Jimbo la Iringa mjini pekee, majimbo yote yaliyobaki hayajawahi kuchukuliwa na upinzani.
Hata hivyo niwapongeze IT wa chadema kwa jinsi wanavyojitahidi kuhariri picha kabla hawajazituma mtandaoni.
Vipi mbona jana hatujapata picha kutoka Morogogoro .
Hatari kubwa mno !Muda huu Iringa.. Usifikiri watu wote ni wajinga Kama wewe kupigania buku 7 daily. View attachment 1568562View attachment 1568563
😂😂😂😂😂😂Usishangae wakazindua tena kampeni
Nisamehe Sana Mkuu Wala sikua na Nia mbaya......nilitaka tu nijue Pumzi yake ya masaa 32 mfululizo kupost MAZURI ya mh.Lissu aliipata kupitia vitu vp?😁😁Acha kumsema vibaya mdogo wangu
Hagombei ubungeKwa Lukuvi hapati kitu anaenda tu kutalii
Haya mafisi maji huyaoniWatu wapo iringa, walihudhuria mikutano hawazidi miambili View attachment 1568597 somba somba inaendelea
Na takataka hizi mnaenda kutupia dampo gani?Makamanda wa Chadema wanasombwa kwenye fuso km nguo za mtumba
Mnakodi mabeberu kuwapigia kampeni sasaWASALITI CCM View attachment 1568574
Jukwaa tu linaonyesha ameshashindwa tayari.Wakati Lissu akiifuta CCM Iringa watu wapo busy eti bomba la mafuta miaka mitano kila siku ni unzinduzi wa bomba la mafuta tu.
Miaka 5 imeisha hakuna kinachoendelea leo ndio uwaambie watu eti bomba la mafuta.
Lissu kamatia hapo hapo mpaka akimbie aende huyu View attachment 1568548View attachment 1568549View attachment 1568550View attachment 1568551
Usishangae wakazindua tena kampeni
Mlizuia drone alafu mnalalamika, na mkiruhusu drone, mtaaibikaPicha zinapigwa kiujanja ujanja sana kampeni za Chadema
Muda huu Iringa.. Usifikiri watu wote ni wajinga Kama wewe kupigania buku 7 daily. View attachment 1568562View attachment 1568563
Mlizuia drone alafu mnalalamika, na mkiruhusu drone, mtaaibika
KabisaUsishangae wakazindua tena kampeni
VIPi Jana ifakaraTundu lissu nilimuona dodoma akihutubia watu wasiozidi 150,kwa mshangao wangu humu zikatoka picha ana bonge la nyomi