Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu mkoani Tabora

Dah yaani naona mmemua kujilipua kabisa ndembendembe ccm kifo cha mende
 
Huyo mzee asicheze na maisha ya Watanzania Watu tumepinda yeye analeta mzaha
mtamjua kwenye sanduku la kura Lipumba ni nani? Huyo ZANZIBAR hahitaji wa kumnadi kama Lisu anavyojikomba kule Lipumba ana matawi hadi vichochoroni pemba na unguja .Kura zikipigwa act wazalendo wasiomtaka Lisu watampigia Lipumba na Membe.Hivyo kura kugawanyika za upinzani Zanzibar furaha kwa CCM
 
hamna kitu humo, niambie kingine mkuu nitakuelewa siyo huyu dingi.
 
hamna kitu humo, niambie kingine mkuu nitakuelewa siyo huyu dingi.
MBONA mliungana naye UKAWA kama si kitu mliungana naye wa nini? Matapeli ninyi ndio maana safari hii vyama vingine vimewagomea ili visambaratishe kura zenu msipate mtelemko ule wa UKAWA tena
 



Teh teh umekalia nini hapo?
 
Tatizo lako ni kwamba huwa hauleti update yaani hapo ni mpaka usiku ndio tunapata update so inakuwa haina maana
hufuatilii nyuzi zangu bila shaka , umezomewa hata na Nzi
 
MBONA mliungana naye UKAWA kama si kitu mliungana naye wa nini? Matapeli ninyi ndio maana safari hii vyama vingine vimewagomea ili visambaratishe kura zenu msipate mtelemko ule wa UKAWA tena

Una hasira sana dada
 
MBONA mliungana naye UKAWA kama si kitu mliungana naye wa nini? Matapeli ninyi ndio maana safari hii vyama vingine vimewagomea ili visambaratishe kura zenu msipate mtelemko ule wa UKAWA tena
Mzee dakika za mwisho akavuta mzigo......akaita press eti "dhamiraaaaa imenisutaaaa"....!! Ghafla dhamira ikaisha akalazimisha kurudi....huyu mzee si wa kuaminika kabisa.
 
Hivi wewe Wazanzibari unawajua visit I?
 
Wanaopenda CHADEMA ni wasiojielewa, walevi wengi, mtu mwenye akili zake timamu hawezi kuikubali maana haina democrasia wala mipango, kujijenga wenyewe tu hawawezi unategemea wajenge nchi, mabilion ya Ruzuku hawaeleweki yanaenda wapi
Mataahira tu ndiyo wanaipenda CCM
 
Kwako Kaburu Robert Amsterdam

Anafatananalo, unasema huyu anafatana na lile jitu kwanini?Manake sio heshima huyu kuandamana na yule.

Lakini unagundua anaandama hela. Ni, hii tabia ya kimalaya Malaya hii.

Na tunao wanasiasa wenye tabia ya kimalaya malaya namna hii, wananunulika.Heshima yao inauzwa, inabei.

Anakuuliza, fanya kitendo kadhaa ambacho ni kitendo cha aibu lakini anakuuliza ngapi baba ukitoa bei!ukimlipa!basi anakubali.

Mwanasiasa anatabia ya kimalaya Malaya hii!

Sasa dhahiri mtu mwenyetabia ya umalaya malaya kwasababu yeye ananunulika anafikiriki na wenzie vilevile wananunulika. Kwahiyo anatoka anakwenda kwa watu wengine kuzani watu wengine wanaweza kufanya vilevile mambo ya aibuaibu ambayo hayana heshima, alafu anajuta, anajuta.

Kuna majeshi duniani humu ni majeshi yanaitwa mercenaries walikuwa pale wako wako Congo pale wanaitwa mercenaries, nyinyi nyinyi vijana mnajua.

Itaendelea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…