Kiwarhoapandenga
JF-Expert Member
- Aug 10, 2019
- 2,078
- 1,805
Dah yaani naona mmemua kujilipua kabisa ndembendembe ccm kifo cha mendeLipumba anaenda kimya kimya ila moto wake Lisu ataujua tarehe 28 october.Kura Atakazopata zaweza kuwa nyingi kuliko za Lisu .Lisu kelele na fix nyingi mitandaoni ,Lipumba mpango huo hana yeye ni moto chini kwenye kampeni tu
Strategically Lipumba yuko vizuri kuliko LIsu na anaenda sehemu zile tu anajua ana nguvu kubwa
mtamjua kwenye sanduku la kura Lipumba ni nani? Huyo ZANZIBAR hahitaji wa kumnadi kama Lisu anavyojikomba kule Lipumba ana matawi hadi vichochoroni pemba na unguja .Kura zikipigwa act wazalendo wasiomtaka Lisu watampigia Lipumba na Membe.Hivyo kura kugawanyika za upinzani Zanzibar furaha kwa CCMHuyo mzee asicheze na maisha ya Watanzania Watu tumepinda yeye analeta mzaha
hamna kitu humo, niambie kingine mkuu nitakuelewa siyo huyu dingi.Lipumba anaenda kimya kimya ila moto wake Lisu ataujua tarehe 28 october.Kura Atakazopata zaweza kuwa nyingi kuliko za Lisu .Lisu kelele na fix nyingi mitandaoni ,Lipumba mpango huo hana yeye ni moto chini kwenye kampeni tu
Strategically Lipumba yuko vizuri kuliko LIsu na anaenda sehemu zile tu anajua ana nguvu kubwa
Post ya Kwanza tu niliposoma ya huyo kamanda feki nikarudia kusoma jina nilivyoona haviendani nikamtafutia jina "Kamanda aliyechoka"Mimi nilijua Mbweha waliovaa ngozi za Kondoo watazidi kuwa wengi kadri Lissu anavyoikaribia Ikulu
Sio shida ndugu yangu. Mchumia juani hulia kivulini.Hapo tujiandae kulipa hadi kodi za matako kufikia huo uchumi
MBONA mliungana naye UKAWA kama si kitu mliungana naye wa nini? Matapeli ninyi ndio maana safari hii vyama vingine vimewagomea ili visambaratishe kura zenu msipate mtelemko ule wa UKAWA tenahamna kitu humo, niambie kingine mkuu nitakuelewa siyo huyu dingi.
Lipumba anaenda kimya kimya ila moto wake Lisu ataujua tarehe 28 october.Kura Atakazopata zaweza kuwa nyingi kuliko za Lisu .Lisu kelele na fix nyingi mitandaoni ,Lipumba mpango huo hana yeye ni moto chini kwenye kampeni tu
Strategically Lipumba yuko vizuri kuliko LIsu na anaenda sehemu zile tu anajua ana nguvu kubwa
hufuatilii nyuzi zangu bila shaka , umezomewa hata na NziTatizo lako ni kwamba huwa hauleti update yaani hapo ni mpaka usiku ndio tunapata update so inakuwa haina maana
MBONA mliungana naye UKAWA kama si kitu mliungana naye wa nini? Matapeli ninyi ndio maana safari hii vyama vingine vimewagomea ili visambaratishe kura zenu msipate mtelemko ule wa UKAWA tena
Mkuu naomba kujua tabora mjini akuwepo saa ngapi na uwanja gani?hufuatilii nyuzi zangu bila shaka , umezomewa hata na Nzi
UnquenchableThis guy is serious.
Mzee dakika za mwisho akavuta mzigo......akaita press eti "dhamiraaaaa imenisutaaaa"....!! Ghafla dhamira ikaisha akalazimisha kurudi....huyu mzee si wa kuaminika kabisa.MBONA mliungana naye UKAWA kama si kitu mliungana naye wa nini? Matapeli ninyi ndio maana safari hii vyama vingine vimewagomea ili visambaratishe kura zenu msipate mtelemko ule wa UKAWA tena
Nafatilia kila nyuzi ya lisuhufuatilii nyuzi zangu bila shaka , umezomewa hata na Nzi
Hivi wewe Wazanzibari unawajua visit I?mtamjua kwenye sanduku la kura Lipumba ni nani? Huyo ZANZIBAR hahitaji wa kumnadi kama Lisu anavyojikomba kule Lipumba ana matawi hadi vichochoroni pemba na unguja .Kura zikipigwa act wazalendo wasiomtaka Lisu watampigia Lipumba na Membe.Hivyo kura kugawanyika za upinzani Zanzibar furaha kwa CCM
Wewe mataga achana na mambo ya kiumeni tuachie wanaume tufanye yetu wewe subiri makombo mezani kwa Chakubanga ule ukalale.Kamanda mwenzangu Lissu anapoteza muda,bora tujenge kwanza chama chetu,hapati hata kura laki 2
Hauna maono wewe mbweha.Post ya Kwanza tu niliposoma ya huyo kamanda feki nikarudia kusoma jina nilivyoona haviendani nikamtafutia jina "Kamanda aliyechoka"
cc Kamanda Asiyechoka
Mataahira tu ndiyo wanaipenda CCMWanaopenda CHADEMA ni wasiojielewa, walevi wengi, mtu mwenye akili zake timamu hawezi kuikubali maana haina democrasia wala mipango, kujijenga wenyewe tu hawawezi unategemea wajenge nchi, mabilion ya Ruzuku hawaeleweki yanaenda wapi
Kuzomewa kwenye siasa ni kawaida