Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye Uzinduzi wa Kampeni za Mgombea Urais kupitia CHADEMA Tundu Lissu katika viwanja vya Zakheim Mbagala, TBC Wafukuzwa

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye Uzinduzi wa Kampeni za Mgombea Urais kupitia CHADEMA Tundu Lissu katika viwanja vya Zakheim Mbagala, TBC Wafukuzwa

Niko mubashara.....
20200828_161555.jpg
 
Mbona watu wachache sana? Nmekata matumaini bora enzi za mzee Lowassa palijaa hapa
 
Sasa ni mda wa reality, kama atatikisha 5% ya kura za magufuli aje no wape kiwanja wajenge ofisi
 
TbC kama wekurupushwa hivi kuonyesha, hivi ndo tuseme hawana DRONES au hawajasajiri? Au hawana tripod stand ndefu? Au crane?
 
Back
Top Bottom