Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye Uzinduzi wa Kampeni za Mgombea Urais kupitia CHADEMA Tundu Lissu katika viwanja vya Zakheim Mbagala, TBC Wafukuzwa

Huku akizungumzia masuala ya ajira

Ni baada ya mgombea wa chadema kuanza kumsema Magufuli jinsi alivyoshindwa kuwapandisha mishahara wafanyakazi kwa muda wa miaka 5


My take Tbc wamefata Nini pale kama kazi yao Ni kukata matangazo kisa anasemwa rais Magufuli?.
 
TBC ni wakutimuliwa hapo uwanjani kweli
 
Duuu km nilivyosema wakigonga msumari watangazaji wanaongea
 
Duuh huyu mgombea wa Ilala aisee kumbe ndio mana TBC huwa hawarushi matukio ya CHADEMA sasa nimeelewa chombo Cha habari Cha Taifa hakiwezi kuwa sehemu ya uhuni wa namna hiii.
 
mkuu mbona una mawaya mengi sana hiv
Mkuu siyo kosa langu,hapo kuna waya wa DStv,waya wa cable,na mengineyo,
Kdhia hii ingekwisha kama Serikali ingekuwa na King'amuzi chake chenye channeli zote muhimu
 
Hata polisi sioni hata 1.
Watu siwaoni
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja mkuu bado wapo wanajaribu kuzifanyia multiplication editing..
Maana siyo kwa kupelea huko.
🤣 🤣🤣 wamepwaya sana. Na leo ni fuunguzi mpaka october 28 watu watakuwa hawaendi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…