Thread imeanza mapema ili ifikishe page nyingi. Huyo jamaa hauziki
Mapema yote hii umezungukwa na makalio kama yote au sio? Angalizo, hayo maeneo ya Kaloleni ni ngome pinzani lakini..... wazee wa chama mama.Niko picnic free stress zone bado namsubiri...RAISI WANGU
Mkuu hii mbinu ya kishamba ya kulipua ofisi za chadema mmeitoa wapi ?Keep on selling the skin before you have caught the bear!
Yale ya Pakistan na Bhenazir BhutoDaa. Huku mbeleni itakuja tokea mtu jukwaani anapigwa risasi atharani hivi hivi
HaswaaYale ya Pakistan na Bhenazir Bhuto
We fala mbona umeshaambiwa mlinzi hajulikani alipo ama ulitaka uambiwe kipi ndo uelewe? Na pale area D mbona mwana alioga mvua ya risasi licha ya kuwepo walinzi tena mchana kweupe? Acha utoto.Kwa nini chadema wasiweke walinzi kwenye hizi ofisi?ata ccm wao wana walinzi ofisi zao zote,au wanataka zichomwe moto ili walielie kupata huruma za wananchi??jamani chadema kuna wasomi pls onyesheni tofauti kati ya chama chenye vijana wasomi na vyama vingine vinavyotafuta huruma ya magufuli mkate uende tumboni
Kma mliweza kujipiga risasi, kujilipua kwa bomu mtashindwa kuchoma ofisi zenu. Ikulu mtaisikia na kuisoma kwenye maandishi
TAL hajawahi kutangatanga Kama haoHuko kwa Lowassa, Kalanga na Nassari!
Mnampokea rais wenu ambae hatapata zaidi ya asilimia 20
Si ndio vizuri na posho yako iwe kubwaThread imeanza mapema ili ifikishe page nyingi. Huyo jamaa hauziki
tulia wewe acha kimbelembele kama mkoj wa asubuhi shetani mkubwa weweThread imeanza mapema ili ifikishe page nyingi. Huyo jamaa hauziki