Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Mapokezi ya Tundu Lissu Kongwa na Dodoma Mjini

Mimi ni CCM mwenzako, mwanachama hai na Kada. Sio kila mtu humu akiongea jambo ambalo haliifurahishi CCM na serikali unadhani mpinzani. Kuna mambo tu hatuwezi kuandika kwa sababu mbalimbali
Hakuna CCM wa dizaini yako.
 
Ukiandika ujinga, jitaidi iwe kwa ufupi.
 
Dodoma Mbukwenyiiiii!

Leo Jioni, tarehe 17, Oct 2020 Mgombea Urais JMT kwa tiketi ya Chadema Mh. Tundu Antipas Lissu, Amesimamisha shughuli za Jiji la Dodoma baada ya maelfu ya wakazi kumlaki.

Ujio wake umenogeshwa zaidi na kuwepo kwa Sheikh Ponda, ambaye alipata nafasi kuwasalimu wakazi wa Dodoma kwenye mkutano.

Wakazi wa Jiji hili ambalo ni ngome ya CCM wameonesha hisia Kali kwa LISSU, wameenda mbali hadi kumchangia kwenye shughuli za kampeni.

Hii imekuwa kinyume na matarajio ya watu wengi kwani ngome kuu ya CCM ni Dodoma.

Tupate picha na video za matukio chini.
 
Robert ameoa watu wangapi Mbona anataka kumliza baby L ?
Hhahha kidagaa kimewakaba ssa hivi mnaokoteza machapisho yenu ya kipuuzi tu..


Liberez[emoji3577][emoji2535][emoji3577][emoji2535][emoji1][emoji1]
 
KWA MAENDELEO YA KWELI
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#Magufuli5Tena

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
 
KWA MAENDELEO YA KWELI
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#Magufuli5Tena

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
 
Msukule huo, ni lazima watu wajae kumshangaa. ile kitu mtaipaata hamtakaa muamini.
 
KWA MAENDELEO YA KWELI
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#Magufuli5Tena
We jamaa unapingwa Sana humu sijui tatizo. Eti kijani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…