Mkuu Lissu habari ingine fikiria jana tu alikua Urambo huko leo pamoja na maeneo mengine atakua Kongwa, TL kashaamua kazi kazi he never get tired Mungu amsimamieAisee mimi najiamini ni mchapa kazi sana. Kuna wakati nachapa kazi 48hrs mfululizo bila kulala wala kupumzika lakini huyu Mwamba nimemvukia kofia aisee.
Khaa!!
Anajifariji hadharani huku moyoni anaumia, wanatia huruma sana hawa. Eti uchaguzi mwepesi thubutuVitambulisho vya kupiga kura tunavyo acha kujifariji
Lissu anahangaika wajameni
Mbona anaenda singida kila siku, hawaamini ndugu zake ? Anajua watamfyekelea mbali
Sidhani upo sahihi au statistics nimgogoro ukijanini... 2015 chupuchupu alinusurika kwa mzee gobole tuu Lowassa kwasababu ya bao la mkono kwasasa nijino kwa jino Magu kupata 20% uchaguzi huru na haki basi nyie wote inzi cha kijani ufalme wababa mutauona.Hakuna Uchaguzi rahisi kama huu Mkuu ushindi ni 98%
October 28 unachukua unaweka waaa kwa Rais Magufuli na Ccm
Sidhani upo sahihi au statistics nimgogoro ukijanini... 2015 chupuchupu alinusurika kwa mzee gobole tuu Lowassa kwasababu ya bao la mkono kwasasa nijino kwa jino Magu kupata 20% uchaguzi huru na haki basi nyie wote inzi cha kijani ufalme wababa mutauona.
Huyu jamaa anatapatapa sana,anawaza akishinda itakuwaje?
Hizi picha za mwaka 1958
Yule anaepiga goti na kumlilia gwajiboy vipiLissu anahangaika wajameni
Mbona anaenda singida kila siku, hawaamini ndugu zake ? Anajua watamfyekelea mbali
Potelea mbali mbona maji ya bahari yanachumvi mbona hampikii chakula basiKura yako ni sawa na kuweka sukari ziwa victoria ukitegemea utakunywa chai[emoji3]
Afadhali na vuta bangi lakini wewe unakula mavi[emoji3][emoji3][emoji3]Ndio mnajidanganya mkivuta bangi
Je Ndugai atakimbia au atavumilia mawe ?Jimbo la mgonjwa ghali zaidi duniani aliyeingia kwenye vitabu vya kihistoria
Hivi kongwa ipo singida?Lissu anahangaika wajameni
Mbona anaenda singida kila siku, hawaamini ndugu zake ? Anajua watamfyekelea mbali
Ukweli ndio huo na wanachama pekee wa ccm wenye kadi ni wengi kuliko wa chadema ,pili ccm tayar ina madiwani na wabunge waliopita bila kupingwa na ikiwa chadema na Zambarau walisema watapita nchi nzima kusema ili watu wao warudishwe ila ni wachache tu ndio waliorudi yaani hapa nazungumzia madiwani na wabunge tu vipi iwe kwa Rais kwamba chadema ishinde inaanzaje kwa mfano haina hata mtaji wa wabunge ni kichekesho cha karne katika miaka ya chaguzi hii ni nyepesi kuliko hata za Nccr ya Mrema,Dr Slaa na Lowassa huu wa sasa Lissu kawa mpinzani kwa kusemewa Twitter na JF ila kiuhalisia jamaa atashindwa vibaya sana.Wakati serikali ina hamasisha watu waende kujiandikisha kwa ajili ya uchaguzi mkuu, Chadema walikua wakihamasisha watu wasiende kujiandikisha mbaka ipatikane katiba Mpya. Chakushangaza baada ya matokeo wata lalamika wameibiwa kura.
Hajafanya kampeni kwenye majimbo mengi ya dodomaHii ratiba ya Lisu vp ,anapita pita huko Dom Mara kwa Mara wakati Hana wapigakura wa maana,Kwa nn asipeleke nguvu kubwa Kanda ya Nyasa na Kusini maana eneo Kama Songea au Lindi na Mtwara hajafika wakati Kuna potential kubwa kuliko huko kwa wagogo wasioelewa?
Afu hizi ratiba hazina maana maana yule wa gereji huwa hafuati na hachukuliwi hatua
Lissu anahangaika wajameni
Mbona anaenda singida kila siku, hawaamini ndugu zake ? Anajua watamfyekelea mbali
Hii ndo sampuli ya akili ya wabunge wa maccm, alafu mheshimiwa Samia Suruhu anaweza ku-like comment kama hii.Kura yako ni sawa na kuweka sukari ziwa victoria ukitegemea utakunywa chai[emoji3]
Kalumekenge wewe, Kongwa ni Singida?Lissu anahangaika wajameni
Mbona anaenda singida kila siku, hawaamini ndugu zake ? Anajua watamfyekelea mbali
Unapaswa kushangaa mbona anaenda Chato kila siku na kanda ya ziwa yote anapokelewa kifalme. Lissu ni mtu wa pekee na atawatesa mno na magoti mtapiga sana mwaka huu.Lissu anahangaika wajameni
Mbona anaenda singida kila siku, hawaamini ndugu zake ? Anajua watamfyekelea mbali
Unapaswa kushangaa mbona anaenda Chato kila siku na kanda ya ziwa yote anapokelewa kifalme. Lissu ni mtu wa pekee na atawatesa mno na magoti mtapiga sana mwaka huu.