I agree [emoji106] [emoji106]Toka kampeni zianze nimekuwa nikisikia maoni ya watu kuhusu hotuba za Rais Magufuli.
Baadhi ya maoni yalikuwa yanataja mapungufu na kasoro kadhaa katika hotuba zake. Leo nimechukua mda wangu kumsikiliza na nimefurahishwa na ubora wa hotuba yake leo; ama amejifunza kama wakosoaji walikuwa sahihi au wakosoaji walikuwa wanamsingizia.
Au pengine Mwanza ndiyo Game changer ya uchaguzi huu na bahati ya JPM.
Hamna kipya yale yale kapanic sijui Kwanin Kuna sehemu anasema na wagombea ubunge wenzangu kasahau position yake?Toka kampeni zianze nimekuwa nikisikia maoni ya watu kuhusu hotuba za Rais Magufuli.
Baadhi ya maoni yalikuwa yanataja mapungufu na kasoro kadhaa katika hotuba zake. Leo nimechukua mda wangu kumsikiliza na nimefurahishwa na ubora wa hotuba yake leo; ama amejifunza kama wakosoaji walikuwa sahihi au wakosoaji walikuwa wanamsingizia.
Au pengine Mwanza ndiyo Game changer ya uchaguzi huu na bahati ya JPM.
Comte roboti ya Lumumba!!Toka kampeni zianze nimekuwa nikisikia maoni ya watu kuhusu hotuba za Rais Magufuli.
Baadhi ya maoni yalikuwa yanataja mapungufu na kasoro kadhaa katika hotuba zake. Leo nimechukua mda wangu kumsikiliza na nimefurahishwa na ubora wa hotuba yake leo; ama amejifunza kama wakosoaji walikuwa sahihi au wakosoaji walikuwa wanamsingizia.
Au pengine Mwanza ndiyo Game changer ya uchaguzi huu na bahati ya JPM.
Toka kampeni zianze nimekuwa nikisikia maoni ya watu kuhusu hotuba za Rais Magufuli.
Baadhi ya maoni yalikuwa yanataja mapungufu na kasoro kadhaa katika hotuba zake. Leo nimechukua mda wangu kumsikiliza na nimefurahishwa na ubora wa hotuba yake leo; ama amejifunza kama wakosoaji walikuwa sahihi au wakosoaji walikuwa wanamsingizia.
Au pengine Mwanza ndiyo Game changer ya uchaguzi huu na bahati ya JPM.
Huyu Magufuli ameshushwa na Mungu kuja kutumikia Watanzania
Sijaona kipya hapo tayari jiwe ameshagundua watu wameshachoka kusikia maendeleo ya vitu nimemsikia anawaambia wabunge kuwa waongee haraka anasema watu wanataka mzikiToka kampeni zianze nimekuwa nikisikia maoni ya watu kuhusu hotuba za Rais Magufuli.
Baadhi ya maoni yalikuwa yanataja mapungufu na kasoro kadhaa katika hotuba zake. Leo nimechukua mda wangu kumsikiliza na nimefurahishwa na ubora wa hotuba yake leo; ama amejifunza kama wakosoaji walikuwa sahihi au wakosoaji walikuwa wanamsingizia.
Au pengine Mwanza ndiyo Game changer ya uchaguzi huu na bahati ya JPM.
Wajiandae na malimao kabisaaa, maana hata wapinzani muungane wotee Magufuli atawaking'ota wote. Magufuli 5 tenaJPM bado tunamuhitaji sana, Mitano tena mnune au mpasuke, he is there to stay
Wacha kufuru za kijinga.Huyu Magufuli ameshushwa na Mungu kuja kutumikia Watanzania
Kilugha kimetumika tena lakiniToka kampeni zianze nimekuwa nikisikia maoni ya watu kuhusu hotuba za Rais Magufuli.
Baadhi ya maoni yalikuwa yanataja mapungufu na kasoro kadhaa katika hotuba zake. Leo nimechukua mda wangu kumsikiliza na nimefurahishwa na ubora wa hotuba yake leo; ama amejifunza kama wakosoaji walikuwa sahihi au wakosoaji walikuwa wanamsingizia.
Au pengine Mwanza ndiyo Game changer ya uchaguzi huu na bahati ya JPM.
Hii fiesta mbona channel ten wameikatisha tenaHii Fiesta sio ya kukosa [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1561572View attachment 1561573
Hapana aisee,usimuhusishe Mungu na vitu vya ajabu!Huyu Magufuli ameshushwa na Mungu kuja kutumikia Watanzania
Maneno ya mkosaji2Walimu na wanafunzi Leo wamepewa T-shirt na posho kwenda kujaza Ccm kirumba!!
Kweli CCM mmeishiwa!!