Dr Bill
JF-Expert Member
- Aug 26, 2020
- 463
- 436
Kilichoteokea Mwanza Leo in Dhahiri Mgombea Wa CCM keshapita Tena kwa kishindo.
Umakini na Kampeni za Kisayansi Zinazofanywa na CCM, ukiwa na Akili Timamu lazima ukubali Rais Magufuli anaendelea kwa miaka mitano TENA.
Hakuna Muujuzi kuwa upinzani utachukua dola ndani ya miaka 20 ijayo..,....CCM umefika muda Wa kumwandaa KABUDI kuchukua kijiti pindi MAGU atakapomaliza Muda wake 2025. NAmwona KABUDI KAMA MZALENDO MWINGINE ANAEENDANA NA MAGUFULI. Kampeni za 2025 Zitakuwa za wabobezi Wa TASINIA YA SHERIA KATI YA MTANZANIA KABUDI NA MBELIGIJI LISSU.
Tukutane 2025
Umakini na Kampeni za Kisayansi Zinazofanywa na CCM, ukiwa na Akili Timamu lazima ukubali Rais Magufuli anaendelea kwa miaka mitano TENA.
Hakuna Muujuzi kuwa upinzani utachukua dola ndani ya miaka 20 ijayo..,....CCM umefika muda Wa kumwandaa KABUDI kuchukua kijiti pindi MAGU atakapomaliza Muda wake 2025. NAmwona KABUDI KAMA MZALENDO MWINGINE ANAEENDANA NA MAGUFULI. Kampeni za 2025 Zitakuwa za wabobezi Wa TASINIA YA SHERIA KATI YA MTANZANIA KABUDI NA MBELIGIJI LISSU.
Tukutane 2025