n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Kuna watu mnaota mchana. Chadema na tundu Lissu mtaaibika tuSasa ni rasmi. Chama cha Mapinduzi kinaenda kuwa Chama cha upinzani hapo October 2020. Tundu Antipas Lissu anaenda kuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania hapo October 2020.
Yaliyofanyika Malawi sasa Rasmi yanaenda kufanyika Tanzania mwaka huu. Ni nguvu ya umma