Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Vikao vya CHADEMA: Tundu Lissu aibuka kidedea kuwania Urais wa Tanzania kwa kupata kura 405 dhidi ya Nyalandu 36 na Dkt. Majige 1

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Vikao vya CHADEMA: Tundu Lissu aibuka kidedea kuwania Urais wa Tanzania kwa kupata kura 405 dhidi ya Nyalandu 36 na Dkt. Majige 1

Sijui kwanini but ningependa zaidi kumuona Lissu bungeni akiibua hoja, haya mambo ya urais yatampoteza kisiasa kwa hii miaka mi 5 mpaka 2025 kwa maoni yangu.

Jamaa kichwa sana kwenye kuibua madudu ya serikali na kujenga hoja, Urais kuishinda CCM kwa mfumo wa siasa ulivyo Tanzania atajipotezea muda tu
Kichwa wa kuibua madudu mwaka huu ndo tunampa nchi sasa. Hakuna tena kuchezea vipaji vyetu Tanzania mwaka huu. Big Brain ndo tunawapa nchi. Vilaza wakae pembeni huko
 
Inaonekana Lissu hatajipigia kura sidhani kama alijiandikisha.... Usishangae akaambiwa hana sifa
 
Hakuna Rais aliye madarakani aliyewahi kuvuruga utaratibu wa kukimbizwa kwa mwenge wa uhuru ama uzao wa tausi wa awali pale ikulu ya Magogoni, yaani "alpha pavo". Nafikiri itafika muda wana JF mtanielewa tu ni kwa nini huwa ninamrejea huyu ndege "tausi" ama kwa lugha ya Kilatino "pavo"
Hakuna, Magufuli tena 2020/2025
 
Tundu Lissu amepata kura - 405
Lazaro Nyalandu amepata kura - 36
Rosemary Majinge amepata kura - 1

Jumla ya waliorodheshwa 453
Waliopiga kura 442
Hakuna kura ilitoharibika

#NiYeye2020 #TunduLissu2020
Mhe. Mgombea kesi yake lini tena?.
 
Tundu Lissu amepata kura - 405
Lazaro Nyalandu amepata kura - 36
Rosemary Majinge amepata kura - 1

Jumla ya waliorodheshwa 453
Waliopiga kura 442
Hakuna kura ilitoharibika

#NiYeye2020 #TunduLissu2020
Maccm wenzangu wamepoteans kama Yanga walivyochapwa mabao na Simba.
 
Sasa ni rasmi. Chama cha Mapinduzi kinaenda kuwa Chama cha upinzani hapo October 2020. Tundu Antipas Lissu anaenda kuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania hapo October 2020.

Yaliyofanyika Malawi sasa Rasmi yanaenda kufanyika Tanzania mwaka huu. Ni nguvu ya umma
Tena nimefurahi sana alivyopitiehwa Lissu kugombea ili tutakavyomfyatua asipate kura hata robo ya kura za JPM msianze kusema angekuwa Lissu angeshinda.

Tukutane tarehe 28/10/2020 tuwafundishe kwanini mtoto hakui kwa mzazi, Et Lissu siyo hivi Lissu ana nini cha ziada zaidi ya kupayukapayuka.
 
Mpaka hapo Nyalandu kashinda, Lisu hana uwezo wa kupambana na Nyalandu, Nyalandu ana pesa za kampeni wakati Lisu kapuku hana kitu
Umekula hela ya mwanaume yuleee, sijui utamdanganya nini usiku, lazima akufumue marinda.
 
Sasa ni rasmi. Chama cha Mapinduzi kinaenda kuwa Chama cha upinzani hapo October 2020. Tundu Antipas Lissu anaenda kuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania hapo October 2020.

Yaliyofanyika Malawi sasa Rasmi yanaenda kufanyika Tanzania mwaka huu. Ni nguvu ya umma
Ndoto za CHADEMA waga zinanipaga moli sana, nakumbuka Zile taarifa za 2009 ati Dr Slaa rais wa mioyo ya watu
 
Back
Top Bottom