Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Vikao vya CHADEMA: Tundu Lissu aibuka kidedea kuwania Urais wa Tanzania kwa kupata kura 405 dhidi ya Nyalandu 36 na Dkt. Majige 1

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Vikao vya CHADEMA: Tundu Lissu aibuka kidedea kuwania Urais wa Tanzania kwa kupata kura 405 dhidi ya Nyalandu 36 na Dkt. Majige 1

Usijinyime haki... Mama samia alikuwa wa kawaida sana kipindi cha JK lkn leo ni makamu wa Rais. Mawajaliwa alikuwa naibu Waziri tu lkn Leo ni WAZIRI MKUU
Hawajui kama CDM itaongoza kwa mfumo uliowekwa kikatiba na sio itaongozwa na mtu. Hata angechaguliwa mtu yoyote tu angefaa kuwa mgombea mwenza.
 
Mama Suluhu ana lipi la ajabu? Hana anachojua zaidi ya kufunga shungi tu. Ukweli mchungu nje ya cheo mama Suluhu ana umaalumu wowote?
[emoji23][emoji23][emoji23] mama analifunga shungi kiutamu Sana.
 
Sijui kwanini but ningependa zaidi kumuona Lissu bungeni akiibua hoja, haya mambo ya urais yatampoteza kisiasa kwa hii miaka mi 5 mpaka 2025 kwa maoni yangu.

Jamaa kichwa sana kwenye kuibua madudu ya serikali na kujenga hoja, Urais kuishinda CCM kwa mfumo wa siasa ulivyo Tanzania atajipotezea muda tu

Sio kweli, hayupo bungeni na nchini zaidi ya miaka mitatu na bado yuko juu. Slaa hakuwa mbunge 2010-2015, lakini alikuwa onfire. Bungeni lenyewe la yeye kuibana serikali ndio hilo bunge kibogoyo?
 
Kashatangaza kumuunga mkono TL. Tunasubiri ACT kutoa tamko la kuunganisha nguvu za kumtoa mkoloni!
Wapemba wanavompenda Lissu kuliko wanavompenda Seif. Utetezi wake kwa Masheikh na mfumo wa muungano hauna mfano!
 
Maisha ni mapambano, kufumba kufumbua Lissu Rais wa mioyo ya walionewa na utawala/mfumo aliokulia.
Hii ndio sababu ya watu weusi kuota usiku na wazungu/waarabuEast's kuota mchana.
Tanzania inazidi kuimalika siku hadi siku, sisi ni mfano wa kuigwa Africa.
Hata hivyo si vibaya kupunguza matumizi ya gharama za uchaguzi hasa Uraisi kwa wapinzani kuunganisha nguvu za kumpitisha John Magufuri kama mkombozi wa kweli kwa wanyonge.
Utampishahe mtu anayeta ka kumpeleka maendeleo kwa wana CCM tu... Unless unataka waipishe CCM....!!
 
Huyu hawezi na hataweza kuwa rais wa Tanzania labda jua lianze kuchomoza toka kaskazini kwenda kusini

Kwakura uwezo huo anao sana, labda kwa zengwe ya zile kamati za ccm zilizonyuma ya pazia. Mmoja ya hao wageuza meza wa ccm ndio huyo anakaribia kupasuka huko ardhini.
 
Mpaka hapo Nyalandu kashinda, Lisu hana uwezo wa kupambana na Nyalandu, Nyalandu ana pesa za kampeni wakati Lisu kapuku hana kitu

Kama ulikula Pesa ya Nyalandu ya kuja Kumkapenia hapa JF na ulimuahidi kuwa atashinda tu ili ule zingine tafuta sasa namna ya Kumrejeshea tu.
 
Kama kawa kama dawa.

Wajumbe wamekula za Nyalandu kisha akapata 36 tu.

Mnao hama vyama mjifunze.
 
Kama unalijua hilo huyo mtu wenu anagombea ili iweje?kama kila kitu ni ccm atulie tu[emoji3][emoji3]
Awamu hii patachimbika, hakuna kauli ya "tumuachie Mungu". Hata uvumilivu nao una kikomo.

Kama CCM watashinda iwe kwa haki na sio kwa makandokando kama chaguzi zilizopita.

Kama damu itamwagika katika harakati za kupigania haki acha imwagike tu, binafsi niko tayari kwa hilo.
 
Tarehe 28 mtu anapandishwa kizimbani kesi inaonekana mshtakiwa ana kosa la kujibu anahukumiwa miezi kadhaa jela dhamana inapigwa dana dana kwa mda mchache ili mtu kwenye urais ainekane hafai maana tayari katiba inasema mgombea urais asiwe na kosa aú doa lolote ambalo alishafikishwa/kushtakiwa mahamakani hapo tayari doa kwake hafai.hivi mnaijua serikali nyie?
Huo uvumi kauongelea leo, tafta crip uangalie, sio kuvumisha ujinga huo
 
Hivi we kwa akili yako unadhani lissu anaweza kuwa Rais??
Safari hii ninyi WEZI WA KURA tutabanana bampa to bampa, Tundu Lissu sio kama Lowassa alivyokubali zile hujuma za akina LUBUVA.
 
Mbona sijaona viongozi WA dini kwenye mkutano huu wachadema
 
Kwa mujibu wa kauli ya Rais Tundu Lissu..... Chadema hakuna wajumbe mkuu wale walikua viongozi

Wajumbe wapo ccm walikua wananunuliwa kwa pombe na pilau
Kwahiyo walivyo nunuliwa kwa pombe na pilau, hivyo washindi wamechaguliwa na pombe na pilau? [emoji23]
 
Back
Top Bottom