Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Vikao vya CHADEMA: Tundu Lissu aibuka kidedea kuwania Urais wa Tanzania kwa kupata kura 405 dhidi ya Nyalandu 36 na Dkt. Majige 1

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Vikao vya CHADEMA: Tundu Lissu aibuka kidedea kuwania Urais wa Tanzania kwa kupata kura 405 dhidi ya Nyalandu 36 na Dkt. Majige 1

unaijua CHADEMA wewe? muadilifu dr. slaa alitupwa pembeni akateuliwa fisadi lowasa kugombea urais. CHADEMA wanachotaka ni pesa, hayo mambo ya kupendwa na watu sio kipaumbele chao!
Dr slaa ni mwizi hana uadilifu wowote ule alinunuliwa kwa dola million 2 akaikimbia chadema na ukumbuke alipora mke wa mtu , dr mihogo kashenzi sana kale kazee, CCM wote wanamtaka nyalandu ili wamgalagaze wanajua ni dhaifu sana
 
Kamati Kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo imewapitisha Tundu Antipas Lissu Lazaro Nyalandu na Dr Mayrose Majige kusaka nafasi ya kuwania Urais Tanzania.

Katika kikao chake Cha Kamati Kuu kilichomalizika usiku mnene majina hayo Leo yataletwa ndani ya Baraza Kuu ambao watakata mzizi wa Fitna kumpata mgombea mmoja baada ya kupigiwa kura na jina moja kuwasilisha ndani ya Mkutano Mkuu kesho kuidhinishwa.

Yeyote atakayepitishwa na Baraza Kuu anafaa kuwania Urais Kama vigezo vilivyowekwa na kuchambuliwa na chama hicho.

Stay Tuned.
Kwa nini mkutano mkuu usipigie kura hayo majina matatu?
 
Dr slaa ni mwizi hana uadilifu wowote ule alinunuliwa kwa dola million 2 akaikimbia chadema na ukumbuke alipora mke wa mtu , dr mihogo kashenzi sana kale kazee, CCM wote wanamtaka nyalandu ili wamgalagaze wanajua ni dhaifu sana
Angebakije chadema alambe viatu vya mliyemtuhumu ni fisadi kwa miaka 10 mzee Edo?
 
Slaa alikuwa na pesa za wafadhili ni muandishi mzuri wa miradi kwa wafadhili .UNAONA WAKATI yuko Chadema viongozi wengi wa Chadema walikuwa wakifadhiliwa safari nyingi za kwenda ulaya na marekani na Chadema kilikuwa na marafiki kibao wa nje ambao contact person wao alikuwa Slaa

Nyalandu anao wafadhili wa nje kibao tofauti na Lisu .Lisu hela za ndani hana na za nje hana .Hana wafadhili ni mzigo kwa chama.Slaa alijibeba wakati ule,kabla ya hapo Mbowe aligombea uraisi naye 2005 naye alijibeba kwa pesa zake,Akaja Lowasa 2015 akajibeba kwa pesa zake na safari hii Chadema hawezi weka mtu wa kubebwa wataweka anayejibeba kwa pesa zake.Ambaye hatasumbua chama wala wanachama,Kati ya hao wagombea watatu maskini pekee aliyepo kwenye hiyo list ni Tundu Lisu pekee.Huyo mama mumewe ni tajiri wa kufa mtu.

Nyalandu ubunge tu huendesha kampeni kwa helikopta.

Baraza kuu anashinda mapema asubuhi.Akisimama aweza hata asiongee maneno mengi anasema tu nipeni kura zenu anaenda kukaa kampeni alishamaliza kwa wajumbe alipozunguka nchi nzima kusaka wadhamini hapo wanaenda ku tick tu kuwa tunamtaka Nyalandu

kwenye hizo kura Lisu aweza shika nafasi ya tatu wa kwanza akiwa nyalandu wa pili huyo mama wa tatu akawa Lisu

Nyalandu yuko serious kugombea uraisi alikuwa hashindi facebook,twitter ,youtube na jamii forums kama Lisu alikuwa akienda moja kwa moja kwa wajumbe

Mcheki hapo akikata mbuga kutafuta wadhamini hakuchangiwa na mtu anajibeba mwenyewe hasumbui chama wala wanachama kama ambavyo Tundu LIsu hadi pesa ya fomu alitoa namba watu wachangie!!! Hela ya fomu tu hana ya kampeni atatoa wapi na chama hakina pesa

View attachment 1525564
Samahani nje ya mada,hivi Magufuli nae anafadhiliwa na nani au baada ya miaka mitano kishakuwa tajiri?
 
Maswali ya kamati kuu yatakuwa

Lissu una sh ngapi za campaign? 15,000Tsh

Nyalandu una ngapi? 15bnTsh

Nyalandu atapewa tu

And that 15bn italiwa vizuri na mzee wa KIA na Nyagi
Huo uzushi wa kijinga sana, nyalandu ni chaguo la CCM wanajua nyalandu ni dhaifu mno hawezi kumshinda hata Membe, CCM watashukuru sana endapo nyalandu atapewa nafasi ili magufuli asihangaike kuzunguka wilaya zote kupiga kampeni.
 
Nyalandu ana uwezo mkubwa wa kufight na Jiwe japo hawez kumshinda, ana uwezo wa kujenga hoja ,Lissu hawezi aisee ,mpak sasa kuna makundi mawili yenye mtazamo tofaut kwa Lissu , kundi moja linamuona kama msaliti ( miyeyusho) , kundi jingine linamkubali , mi vigumu kwa Lissu kuliaminisha kundi linalomponda ambali ndo wengi .....maoni yangu Lissu na nyalandu watengeneze umoja , wapige kampeni ya kibabe , angalau wanaweza kumtikisa Jiwe pakubwa , ila kumng'oa hiyo haipo
Nyalandu hajui kitu hana uwezo wa kujenga hoja kwa kifupi nyalandu ni dhaifu CCM watachekelea sana endapo atapitishwa kwani watajua wanaepuka gharama ya kufanya kampeni kila sehemu kwa Tanzania.
 
CCM yote wapo kwa nyalandu wapo tayari kutoa pesa nyalandu apite ili wapumzike kufanya kampeni kubwa ya Urais kwani wanajua nyalandu ni dhaifu mno watachukua ushindi Asubuhi pasipo shaka
 
[SUP]mzee Hashim wa chauma anaweza kumshinda nyalandu kwa wingi wa kura licha ya nyalandu kujiandaa na Rushwa [/SUP]
 
Kamati Kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo imewapitisha Tundu Antipas Lissu Lazaro Nyalandu na Dr Mayrose Majige kusaka nafasi ya kuwania Urais Tanzania.

Katika kikao chake Cha Kamati Kuu kilichomalizika usiku mnene majina hayo Leo yataletwa ndani ya Baraza Kuu ambao watakata mzizi wa Fitna kumpata mgombea mmoja baada ya kupigiwa kura na jina moja kuwasilisha ndani ya Mkutano Mkuu kesho kuidhinishwa.

Yeyote atakayepitishwa na Baraza Kuu anafaa kuwania Urais Kama vigezo vilivyowekwa na kuchambuliwa na chama hicho.

Stay Tuned.
Kuchagua Lissu kupeperusha bendera ni sawa na kucheza Kamari, TL hawezi kupita kwenye chujio la Tume ya Uchaguzi kwa vile hakidhi vigezo na masharti ya mgombea Urais JMT
 
unaijua CHADEMA wewe? muadilifu dr. slaa alitupwa pembeni akateuliwa fisadi lowasa kugombea urais. CHADEMA wanachotaka ni pesa, hayo mambo ya kupendwa na watu sio kipaumbele chao!
Kama Lowasa hakuwa na mtaji wa watu alipataje kura milioni sita na usher?.
 
Kama ni kweki- ashindwe na alegee...kutafsiri sheria ni kazi ya mahakama ... Kaijage rudi benchi uendelee na ujaji ukiruhusiwa
Halafu Mahakama ikishatafsiri, yeye anafanyafanyaje sasa baada ya kuwa ameijua tafsiri hiyo?? Na kwa sababu yeye naye pia ni mwanasheria, assuming tafsiri hiyo alikuwa anaijua tayari,... anafanyafanyaje tena sasa kutokea hapo kwenye ujuzi wake wa tafsriri husika na kuendelea mbele?
 
Kamati Kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo imewapitisha Tundu Antipas Lissu Lazaro Nyalandu na Dr Mayrose Majige kusaka nafasi ya kuwania Urais Tanzania.

Katika kikao chake Cha Kamati Kuu kilichomalizika usiku mnene majina hayo Leo yataletwa ndani ya Baraza Kuu ambao watakata mzizi wa Fitna kumpata mgombea mmoja baada ya kupigiwa kura na jina moja kuwasilisha ndani ya Mkutano Mkuu kesho kuidhinishwa.

Yeyote atakayepitishwa na Baraza Kuu anafaa kuwania Urais Kama vigezo vilivyowekwa na kuchambuliwa na chama hicho.

Stay Tuned.
Majina jinsi yalivyojipanga ndio Matokeo yatakavyokuwa
Lissu, Nyalandu, Mayrose
 
Back
Top Bottom