Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Vikao vya CHADEMA: Tundu Lissu aibuka kidedea kuwania Urais wa Tanzania kwa kupata kura 405 dhidi ya Nyalandu 36 na Dkt. Majige 1

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Vikao vya CHADEMA: Tundu Lissu aibuka kidedea kuwania Urais wa Tanzania kwa kupata kura 405 dhidi ya Nyalandu 36 na Dkt. Majige 1

Hakuna mbadala wa sheria hii. Nakwambia Chama Cha Mapinduzi kitaendelea kuwatawala mpaka mnakufa bado CHADEMA hamjaweza kuongoza nchi. Chama chenyewe spana mkononi.
 

Attachments

  • IMG_20200803_162114.png
    IMG_20200803_162114.png
    12 KB · Views: 1
Mbona hawamsikilizi katibu...!? Kuna nidhamu kweli huko.
Kumbe hata mwenyekiti hawamsikilizi!
 
Hiki ni kipimo cha kiccm.
Hata kama atapita kwa kura kadhaa bado lazima ujiulize waliompinga ni ccm au Wanachadema wenzake?.....ndipo ujiulize ni kwa nini?.

Kinyume na hapo basi apate kura 100%.
 
Dr MayRose Kavula Majinge hakujiandaa na hajui ni kwanini anataka kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania....

She's absolutely not ideal candidate for the presidency...

Sijui ni kwanini wasomi kuanzia level ya Udaktari na kuendelea huko hadi maprofesa wanakuwa weupe sana kwa hoja....

Huyu aliwezaje kumshinda Peter Msigwa?
 
Dr MayRose Kavula Majinge hakujiandaa na hajui ni kwanini anataka kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania....

She's absolutely not ideal candidate for the presidency...

Sijui ni kwanini wasomi kuanzia level ya Udaktari na kuendelea huko hadi maprofesa wanakuwa weupe sana kwa hoja....

Huyu aliwezaje kumshinda Peter Msigwa?
Mhe.Msigwa hakuchukua form ya urais bali alitiania tu
 
Back
Top Bottom