Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Vikao vya CHADEMA: Tundu Lissu aibuka kidedea kuwania Urais wa Tanzania kwa kupata kura 405 dhidi ya Nyalandu 36 na Dkt. Majige 1

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Vikao vya CHADEMA: Tundu Lissu aibuka kidedea kuwania Urais wa Tanzania kwa kupata kura 405 dhidi ya Nyalandu 36 na Dkt. Majige 1

Ipo...zipo youtube! Lissu bado mwanaharakati siyo 'presidential material'...mwanzo wa uombaji kura wake tu unaeleza kila kitu. Ngoja niendelee kufuatilia uombaji kura wa wengine.

Una grievances zako binafsi nadhani na Tundu Lissu.

Hujaona kitu kimoja katika hii "very well directed movie" wanayofanya CHADEMA ambayo mimi na naamini na wengine wameona....

Nimemsikiliza Nyalandu Lazaro mwanzo mwisho. Nikamsikiliza Dr MayRose Majinge naye mwanzo mwisho na mwisho nikamtazama na kumsikiliza Tundu Lissu mwanzo mwisho

Kwa hakika kabisa, TUNDU LISSU ameshapita hata kabla ya kura kupigwa. Hii kitu ndivyo ilivyokuwa planned.

Hotuba yake tu inaeleza na kuthibitisha kila kitu hata namna ilivyopokelewa na kuamusha hisia za wajumbe.

Ni hotuba ambayo si ya kunyenyekea kuomba kura kwa wajumbe. Ni hotuba iliyobeba "authority" ndani yake kama vile tayari keshathibitishwa kuwa mgombea rasmi ili hali yuko kwenye mchujo...

Na ni hotuba ambayo moja kwa moja ikishambulia SERA na UTAWALA wa CCM chini ya Bwana John Pombe Magufuli. Ni picha inayoonesha kuwa Bw. Nyalandu na Dr MayRose ni wasindikizaji tu....!!

Nyalandu ni mtu mzuri na anaweza kuwa Rais. Lakini ktk uchaguzi wa mwaka huu 2020 hafai, hatawez. Huyu hawezi purukushani za kupambana na CCM. Ni kwa sababu CCM wenyewe wana mgombea mtukutu na mpenda Shari...

Huyu anapaswa kupambanishwa na mtu wa aina ya Tundu Lissu. Wagombea legelege wasiojiamini hawawezi kupambana na CCM hii na mgombea wao. Tundu kaonja mauti. Haogopi lolote. Huyu anafaa. Ni jasiri sana. Ana uelewa sana wa mambo mengi....!

Hii ndiyo tofauti ya wagombea hawa watatu....

Kwako wewe huyu bwana TL siyo "presidential material". Ni sawa na haki yako kabisa kumtazama na kum - describe kwa jinsi hiyo japo hujatoa sababu zote kuunga mkono hoja yako hiyo....

Lakini watoto wa mjini wanasema " .....usiyempenda kaja, yuko hapo anabisha hodi mlangoni mwako..."
 
Kila la kheri kwenye uchaguzi wao.
 
Wale wote walionde kumpokea. Lisu wakitoa 2000 @ na wale wipengine wasiopenda kuozesha mama zao ...... wakitoa 1000 Mbuyu ashoka moja mbaliiii. Sitanii atiii
Wale mbona ni kidogo sana, wengi hawakuweza kufika kwa vitisho vya polisi. Kampeni yake ilianza kuchangiwa miezi miwili iliyopita. Swala likiwa la Lissu watu watauza kuku, bata, mbuzi, kondoo, ng’ombe ili mradi wachangie.
 
Habari kutoka chanzo cha kuaminika zimethibitisha kuwa LAZARO NYALANDU anaongoza katika kura za maoni.

Mmoja kati ya wanaomuunga mkono NYALANDU amesikika akisema kuwa:-

"Mzee NYALANDU anaongoza lakini Baadhi ya viongozi wa juu wa chama chetu wanahaha kupora kura zake ili tu asiwe mshindi, kinachoonekana hapa wanamtaka LISSU ndo awe mshindi wao lakini Leo ndio tutaudhihirishia umma wa Watanzania na Dunia kuwa sisi ni chama cha Demokrasia au la! Hatuwezi kukubali"


Kuna upotoshaji katika post hii ambayo napata nayo mashaka🙌🏻🙌🏻
 
Naona Chadema hawajaruhusu camera kuingia kwenye uhesabuji kura. Naona wanaogopa wasijepigana ngumi humo halafu tukaona hewani. 😂
Taratibu za kawaida kabisa za kiulinzi!
 
Una grievances zako binafsi nadhani na Tundu Lissu....

Hujaona kitu kimoja katika hii "very well directed movie" wanayofanya CHADEMA ambayo mimi na naamini na wengine wameona....

Nimemsikiliza Nyalandu Lazaro mwanzo mwisho. Nikamsikiliza Dr MayRose Majinge naye mwanzo mwisho na mwisho nikamtazama na kumsikiliza Tundu Lissu mwanzo mwisho...

Kwa hakika kabisa, TUNDU LISSU ameshapita hata kabla ya kura kupigwa. Hii kitu ndivyo ilivyokuwa planned...

Hotuba yake tu inaeleza na kuthibitisha kila kitu hata namna ilivyopokelewa na kuamusha hisia za wajumbe....

Ni hotuba ambayo si ya kunyenyekea kuomba kura kwa wajumbe. Ni hotuba iliyobeba "authority" ndani yake kama vile tayari keshathibitishwa kuwa mgombea rasmi ili hali yuko kwenye mchujo...

Na ni hotuba ambayo moja kwa moja ikishambulia SERA na UTAWALA wa CCM chini ya Bwana John Pombe Magufuli. Ni picha inayoonesha kuwa Bw. Nyalandu na Dr MayRose ni wasindikizaji tu....!!

Nyalandu ni mtu mzuri na anaweza kuwa Rais. Lakini ktk uchaguzi hafai, hataweza purukushani. CCM wenyewe wana mgombea mtukutu na mpenda Shari. Huyu anapaswa kupambanishwa na mtu wa aina ya Tundu Lissu...!

Hii ndiyo tofauti ya wagombea hawa watatu....

Kwako wewe huyu bwana TL siyo "presidential material". Ni sawa na haki yako kabisa kumtazama na kum - describe kwa jinsi hiyo japo hujatoa sababu zote kuunga mkono hoja yako hiyo....

Lakini watoto wa mjini wanasema " .....usiyempenda kaja, yuko hapo anabisha hodi mlangoni mwako..."
Nimependa sn hii👇👇

Nyalandu ni mtu mzuri na anaweza kuwa Rais. Lakini ktk uchaguzi hafai, hataweza purukushani. CCM wenyewe wana mgombea mtukutu na mpenda Shari. Huyu anapaswa kupambanishwa na mtu wa aina ya Tundu Lissu...!
 
Kwa nini hamjaruhusu watu wa habari waingie? Au mnaogopa mtapigana makonde ?Upigaji kura ulipoanza naona live online tv hazionyeshi tena.
Mbona wanaonyesha Onlinetv hata zoezi LA kuhesabu?
 
Slaa alikuwa na pesa za wafadhili ni muandishi mzuri wa miradi kwa wafadhili .UNAONA WAKATI yuko Chadema viongozi wengi wa Chadema walikuwa wakifadhiliwa safari nyingi za kwenda ulaya na marekani na Chadema kilikuwa na marafiki kibao wa nje ambao contact person wao alikuwa Slaa

Nyalandu anao wafadhili wa nje kibao tofauti na Lisu .Lisu hela za ndani hana na za nje hana .Hana wafadhili ni mzigo kwa chama.Slaa alijibeba wakati ule,kabla ya hapo Mbowe aligombea uraisi naye 2005 naye alijibeba kwa pesa zake,Akaja Lowasa 2015 akajibeba kwa pesa zake na safari hii Chadema hawezi weka mtu wa kubebwa wataweka anayejibeba kwa pesa zake.Ambaye hatasumbua chama wala wanachama,Kati ya hao wagombea watatu maskini pekee aliyepo kwenye hiyo list ni Tundu Lisu pekee.Huyo mama mumewe ni tajiri wa kufa mtu.

Nyalandu ubunge tu huendesha kampeni kwa helikopta.

Baraza kuu anashinda mapema asubuhi.Akisimama aweza hata asiongee maneno mengi anasema tu nipeni kura zenu anaenda kukaa kampeni alishamaliza kwa wajumbe alipozunguka nchi nzima kusaka wadhamini hapo wanaenda ku tick tu kuwa tunamtaka Nyalandu

kwenye hizo kura Lisu aweza shika nafasi ya tatu wa kwanza akiwa nyalandu wa pili huyo mama wa tatu akawa Lisu

Nyalandu yuko serious kugombea uraisi alikuwa hashindi facebook,twitter ,youtube na jamii forums kama Lisu alikuwa akienda moja kwa moja kwa wajumbe

Mcheki hapo akikata mbuga kutafuta wadhamini hakuchangiwa na mtu anajibeba mwenyewe hasumbui chama wala wanachama kama ambavyo Tundu LIsu hadi pesa ya fomu alitoa namba watu wachangie!!! Hela ya fomu tu hana ya kampeni atatoa wapi na chama hakina pesa

View attachment 1525564
Wazee wa Lumumba kazi mnayo mwaka huu! Tangu lini CCM mkawatakia mema Chadema wapate mgombea sahihi..
 
Habari kutoka chanzo cha kuaminika zimethibitisha kuwa LAZARO NYALANDU anaongoza katika kura za maoni.

Mmoja kati ya wanaomuunga mkono NYALANDU amesikika akisema kuwa:-

"Mzee NYALANDU anaongoza lakini Baadhi ya viongozi wa juu wa chama chetu wanahaha kupora kura zake ili tu asiwe mshindi, kinachoonekana hapa wanamtaka LISSU ndo awe mshindi wao lakini Leo ndio tutaudhihirishia umma wa Watanzania na Dunia kuwa sisi ni chama cha Demokrasia au la! Hatuwezi kukubali"
Kura zinahesabiwa sasa na ziko live online TV na Nyalandu na yule mama wanahakikisha kura zao huku Heche akimuwakilisha Lissu.
 
Back
Top Bottom