Yanayojiri Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti CHADEMA Tundu Lissu, na Mkutano wa Hadhara Temeke Leo Jumatano 25/1/2023

Kwa hiyo analindwa hadi nyumbani kwake na polisi wa selikali? Ndio alivyohakikishiwa?
Hatujui amehakikishiwa kwa namna gani lakini nina uhakika Serikali ya Rais Samia itahakikisha anakuwa salama wakati wote.
 
Hatujui amehakikishiwa kwa namna gani lakini nina uhakika Serikali ya Rais Samia itahakikisha anakuwa salama wakati wote.
Amehakikishiwa asali yake DJ hajaimaliza ndio maana karudi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…