Yanayojiri Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti CHADEMA Tundu Lissu, na Mkutano wa Hadhara Temeke Leo Jumatano 25/1/2023

Yanayojiri Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti CHADEMA Tundu Lissu, na Mkutano wa Hadhara Temeke Leo Jumatano 25/1/2023

Kwa hiyo analindwa hadi nyumbani kwake na polisi wa selikali? Ndio alivyohakikishiwa?
Hatujui amehakikishiwa kwa namna gani lakini nina uhakika Serikali ya Rais Samia itahakikisha anakuwa salama wakati wote.
 
Barabara zimefungwa ni mafuriko haijawahi kutokea
20230125_134311.jpg
20230125_134311.jpg
20230125_134307.jpg
 
Back
Top Bottom