Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jangwani pana kambare wanafugwa , wanaitwa mabasi ya mwendokasiCHADEMA imekuwaje hawajaweka mkutano Jangwani pale. Sasa uwanja utatosha kweli?
Hatujui amehakikishiwa kwa namna gani lakini nina uhakika Serikali ya Rais Samia itahakikisha anakuwa salama wakati wote.Kwa hiyo analindwa hadi nyumbani kwake na polisi wa selikali? Ndio alivyohakikishiwa?
HahahahahhahahJangwani pana kambare wanafugwa , wanaitwa mabasi ya mwendokasi
Barabara gani?Barabara zimefungwa ni mafuriko haijawahi kutokeaView attachment 2495154View attachment 2495155View attachment 2495156
Amehakikishiwa asali yake DJ hajaimaliza ndio maana karudiHatujui amehakikishiwa kwa namna gani lakini nina uhakika Serikali ya Rais Samia itahakikisha anakuwa salama wakati wote.
Unyama mwingi sana💪💪💪💪💪💪
Kama TV zingeruhusiwa kurusha hili tukio ingekuwa majanga maana Mandela na Nyerere road hazifaiTuleteeni Mipicha picha kama ya mbatizaji
Wametoa mkeka wa Madc usiku ili kuzima ujio wa Tundu LisuChuma kinarejea
Kimenuka !
Jf inatoshaKama TV zingeruhusiwa kurusha hili tukio ingekuwa majanga maana Mandela na Nyerere road hazifai
Watasema ni FreemasonKama TV zingeruhusiwa kurusha hili tukio ingekuwa majanga maana Mandela na Nyerere road hazifai