Sio makamo ni makamu au ukishindwa sana sema NAIBU. Sorry for interrupting your message
Susan Lyimo ameshinda katika Kura za Maoni za kumteua mgombea wa Chadema Jimbo la Kinondoni. Amepata kura 71 kati ya 113. Sawa na asilimia 62.8. Amewashinda Moza Ally (Makamo Mwenyekiti Bavicha), Rose Moshi diwani Viti Maalum na Mbezi Mwombeki
This time CHADEMA wanatakiwa kubeba majimbo yote ya Mbeya ibaki Tukuyu tu.Mwanyamaki ametumwa kufanya mambo mengine , safari hii hakugombea
Lakini jiwee wenu anagawa udc kwa papuchWake wa mwenyekiti wanashinda tu
EwaaaAfadhali washinde wanawake,wanaume hawakawii kujiuza/kuuza ushindi wao kwa chama chakavu
Heee mwanri??? Makubwa ,nilijua ameamua kupumzika?Yule chotara toka chadema ajipange.. Siha ina mtu wake.View attachment 1506433
Hapana,kashindaNasikia sosopi nae kapigwa chin hko isman na mwanamana
Hapana, yeye na yule wa Kigoma walipoonyesha nia ya kugombea wakastaafishwaHeee mwanri??? Makubwa ,nilijua ameamua kupumzika?
Duh
JESUS IS LORD[emoji120]
Duh!Hapana, yeye na yule wa Kigoma walipoonyesha nia ya kugombea wakastaafishwa
Ndio, akina Lengai walikusudia kugombea wameufyataDuh!
Ndo maana wengine wamepiga kimya? Wameogopa!
JESUS IS LORD[emoji120]
Duh Mwambigija A.K.A mzee wa upako? Dah asije susa tu na kujiunga CCM huwa namkubali sana huyu jamaa.Mwanyamaki hajagombea ?
Nimeona kule Rungwe Mwambigija kapigwa chini na Sophia Mwakagenda
Ndio, akina Lengai walikusudia kugombea wameufyata
Kwa matumaini makubwa, natega sikio na macho, kama sikuchanganyikiwa! Nimechanganyikiwa?Endelea kutega sikio kutokea hapahapa JF
Nimeshangaa kuona wagombea ubunge kupitia Chadema zaidi ya watano wakiwa wamepitishwa kwa kura za "NDIO" bila uwepo wa wagombea shindani.
Je hii ndio demokrasia ndani ya Chama kinachojiita cha demokrasia??
POVU RUKSA