Mngurimi
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 819
- 790
Sio makamo ni makamu au ukishindwa sana sema NAIBU. Sorry for interrupting your message
Susan Lyimo ameshinda katika Kura za Maoni za kumteua mgombea wa Chadema Jimbo la Kinondoni. Amepata kura 71 kati ya 113. Sawa na asilimia 62.8. Amewashinda Moza Ally (Makamo Mwenyekiti Bavicha), Rose Moshi diwani Viti Maalum na Mbezi Mwombeki