Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanawake wamechachamaa chadema wanabwaga wanaume kila kona
Kwani wasukuma hao?UKABILA UKABILA UKABILA
Mrema akagombee Rombo kwanini anakuja mjini?
Mrema akagombee Rombo kwanini anakuja mjini?
UKABILA UKABILA UKABILA
nadhani wanafanya rejea ya waliounga juhudi... wengi wao ni wanaume... so haina haja ya kuwabebaHalafu mbona wanawake wanashinda sana kura za maoni hapo Dar kwa CHADEMA, naona kwa leo tu kuna Agness Lambart ameshinda Segerea, Susan Lymo Kinondoni, na Lucy Magereri huko kigamboni, bado hatujaongelea kawe ambapo mdee lazima atachukua, kuna ukonga alishindaga Asia Msangi dhidi ya Waitara na najua hata this time atashinda. Wanaume wa Dar wa CHADEMA mnakwama wapi?
Hata kama kashindwa ndo apitishwe sioSio ukabila
Ila huyu ni Kati ya icon wa chama.
Nafhani hoja sio jinsia, ila ni ushawishi wa mgombea na namna anavyokubalika mbele za wapiga kura
Icon wapi lazima CHADEMA iheshimu demokrasia, hii tabia ya kuwaona waliomkataa wajinga ndiyo mwisho wa siku tunakosa jimbo tunaanza kulaumu tumeibiwa kura kumbe tumeweka mtu asiyekubalika.Sio ukabila
Ila huyu ni Kati ya icon wa chama.
Kura za maoni ni mchakato wa kidemokrasia , yeyote aweza kuteuliwa kati ya wawili wa juu , Mrema kutokana na kubanwa na majukumu ya Makao Makuu hakupata hata uchochoro wa kupiga kampeni , inashangaza hata hizo kura amepataje .Mmmh, Mrema kapigwa chini
Chadema uchaga unawamaliza na ma Kvant wenu wa mitaroniKwani wasukuma hao?
Naona unapiga debe upate mgao wako, ila ubunge mtausikilizia kwenye bomba chadema mkiendelea na ujinga wenu huoKura za maoni ni mchakato wa kidemokrasia , yeyote aweza kuteuliwa kati ya wawili wa juu , Mrema kutokana na kubanwa na majukumu ya Makao Makuu hakupata hata uchochoro wa kupiga kampeni , inashangaza hata hizo kura amepataje .