Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wassira ameapa safari hii hatakubali kura zake ziibiwe!
Magufuli amesema ukishindana na mwanamke lazima akushinde.Halafu mbona wanawake wanashinda sana kura za maoni hapo Dar kwa CHADEMA, naona kwa leo tu kuna Agness Lambart ameshinda Segerea, Susan Lymo Kinondoni, na Lucy Magereri huko kigamboni, bado hatujaongelea kawe ambapo mdee lazima atachukua, kuna ukonga alishindaga Asia Msangi dhidi ya Waitara na najua hata this time atashinda. Wanaume wa Dar wa CHADEMA mnakwama wapi?
Na hii ndio sababu ya mimi kutokuwa na ima n na chademaChadema ukaskazini unawamaliza.
Wamekuwa ngangari kuliko dumezwanawake wamechachamaa chadema wanabwaga wanaume kila kona
Kuunga juhudiHalafu mbona wanawake wanashinda sana kura za maoni hapo Dar kwa CHADEMA, naona kwa leo tu kuna Agness Lambart ameshinda Segerea, Susan Lymo Kinondoni, na Lucy Magereri huko kigamboni, bado hatujaongelea kawe ambapo mdee lazima atachukua, kuna ukonga alishindaga Asia Msangi dhidi ya Waitara na najua hata this time atashinda. Wanaume wa Dar wa CHADEMA mnakwama wapi?
Mmh kwa lipi basi!Naona Lumumba mko busy kufuatili haya matokeo, na nina amini hata mwenyekiti wenu nae atakuwa busy kufuatilia.
Amesema safari hii hatakubali kuibiwa kura!Haya mleteni yule mzee tumtoneshe tena vichomi vya 2015.
Wakuchaguliwa ni wawili tu!Hv mkoa wa Mara ulikuwa na wabunge wanawake wangapi!!?
Mbatia anagombea wapi maana Vunjo wanamtaka Dr Kimei!Mgombea pekee kama JPM. Nae anagombea urais chakula cha mbunge wa kawe?
Kabisa Mtende [emoji109][emoji2534][emoji109][emoji2534][emoji109][emoji2534]
Hakuna aliyezuiwa kuchukua fomu, walona muziki wa Bulaya mzito wakaamua wenyewe. Nyie Membe mmemfurusha kutaka kugombea, shwaini!
Hakuna aliyezuiwa kuchukua fomu, walona muziki wa Bulaya mzito wakaamua wenyewe. Nyie Membe mmemfurusha kutaka kugombea, shwaini!
Samahani kwa unyumbufu Salary Slip hivi ile kapo nani ME na nani KE, aah najua hayakuhusu Ila unaweza nisaidia tu for future useNaona Lumumba mko busy kufuatili haya matokeo, na nina amini hata mwenyekiti wenu nae atakuwa busy kufuatilia.