Uchaguzi 2020 Yanayojiri Matokeo ya CHADEMA kura za maoni kwa Wagombea Ubunge 2020

Uchaguzi 2020 Yanayojiri Matokeo ya CHADEMA kura za maoni kwa Wagombea Ubunge 2020

Chema ni chema tu. Kongole ziende kwa Bulaya na hata wapiga kura wake wakapate kuliona hilo. Tafadhari Mzee Wasira, muda umekutupa mkono, jikite tu kwenye ibada na maombi ya kiroho ili upate kukamilisha siku za uhai wako ulizotengewa na za ubatili hapa duniani.
 
Icon wapi lazima CHADEMA iheshimu demokrasia, hii tabia ya kuwaona waliomkataa wajinga ndiyo mwisho wa siku tunakosa jimbo tunaanza kulaumu tumeibiwa kura kumbe tumeweka mtu asiyekubalika.

Hao waliopiga kura ni wajumbe wanaotoka jimbo hilo hivyo wanajua nani anafaa na nani hafai na huyo binti ni masikini kachupile labda angekuwa na mapesa tungesema amehonga sasa sahizi atakatwa kwa kutumia sababu gani?

Mimi sijasema kamati kuu wamchukue kwa kuwa ni icon

Comment ya Kwanza kabisaa nimesema nachukizwa na kamati kuu kuteua mtu mwingine.

Mbona hivyooo....!!
 
Chema ni chema tu. Kongole ziende kwa Bulaya na hata wapiga kura wake wakapate kuliona hilo. Tafadhari Mzee Wasira, muda umekutupa mkono, jikite tu kwenye ibada na maombi ya kiroho ili upate kukamilisha siku za uhai wako ulizotengewa na za ubatili hapa duniani.
Tyson akalee wajukuu. Bunda tupo pamoja na Mh. Esther Bulaya
 
Back
Top Bottom