Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masatu wasira? ni mtoto wa mzee Tyson wa Bunda au ?Uzi huu ni maalum kwa ajili ya matokeo ya kura za maoni Ubunge kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo.
1. Segerea
Jumla ya kura 144
Agness lambert 76
John Mrema 56
masatu Wasira 7
gango Kidera 3
Andrew 1
Kura zilizo haribika 1
Wenye matokeo karibuni
Huu mfumo umekaa kama wa ki-CCM CCM, mbaya sana.Kudos kwa mwanadada Lamberta naona kambidua Mrema...!!!
Ila kamati kuu najua itampitisha Mrema...hapo tu ndipo napochukizwa na huu utaratibu.
Cdm kila Kona kawekwa mchagaChadema uchaga unawamaliza na ma Kvant wenu wa mitaroni
Huu mfumo umekaa kama wa ki-CCM CCM, mbaya sana.
Hapitishwi anayependwa na wanachama au sivyo?
Chama cha nyumbani atapitishwaKudos kwa mwanadada Lamberta naona kambidua Mrema...!!!
Ila kamati kuu najua itampitisha Mrema...hapo tu ndipo napochukizwa na huu utaratibu.
Icon wapi lazima CHADEMA iheshimu demokrasia, hii tabia ya kuwaona waliomkataa wajinga ndiyo mwisho wa siku tunakosa jimbo tunaanza kulaumu tumeibiwa kura kumbe tumeweka mtu asiyekubalika.
Hao waliopiga kura ni wajumbe wanaotoka jimbo hilo hivyo wanajua nani anafaa na nani hafai na huyo binti ni masikini kachupile labda angekuwa na mapesa tungesema amehonga sasa sahizi atakatwa kwa kutumia sababu gani?
K Vant ni brain child ya Chagga genius mind ndiyo maana unaijua. Sasa nyie mabumunda kwa wingi wenu niambie product(s) gani mmewahi kuileta sokoni ikafikia hata level ya Mtori.Chadema uchaga unawamaliza na ma Kvant wenu wa mitaroni
Siasa ni sayansi bwashee!Naona Lumumba mko busy kufuatili haya matokeo, na nina amini hata mwenyekiti wenu nae atakuwa busy kufuatilia.
Tyson akalee wajukuu. Bunda tupo pamoja na Mh. Esther BulayaChema ni chema tu. Kongole ziende kwa Bulaya na hata wapiga kura wake wakapate kuliona hilo. Tafadhari Mzee Wasira, muda umekutupa mkono, jikite tu kwenye ibada na maombi ya kiroho ili upate kukamilisha siku za uhai wako ulizotengewa na za ubatili hapa duniani.
Kwani wapi wanazuiya?!Hakuna aliyezuiwa kuchukua fomu, walona muziki wa Bulaya mzito wakaamua wenyewe. Nyie Membe mmemfurusha kutaka kugombea, shwaini!
Wassira ameapa safari hii hatakubali kura zake ziibiwe!Tyson akalee wajukuu. Bunda tupo pamoja na Mh. Esther Bulaya
Mwenyekiti anafuatilia lini ndege kutoka Brussels inatua nchiniNaona Lumumba mko busy kufuatili haya matokeo, na nina amini hata mwenyekiti wenu nae atakuwa busy kufuatilia.
Muziki wa Bulaya, hakuna anayeujua kama Mzee Wasira.Hakuna aliyezuiwa kuchukua fomu, walona muziki wa Bulaya mzito wakaamua wenyewe. Nyie Membe mmemfurusha kutaka kugombea, shwaini!