Uchaguzi 2020 Yanayojiri Matokeo ya CHADEMA kura za maoni kwa Wagombea Ubunge 2020

Mbona unatapika km mdada aliye mp?
 
Hii story yako ina msaada hapo Lumumba siyo CHADEMA.
 
Upuuzi mtupu na kizungu cha kukariri et.....i interprete.....loh
 
Ha ha haaa. Kwa hii coment leo utalala njaa. Sijui kama utalipwa
 
Mara nyingi sana utakuta Mbowe na huyo sijui kaka yake ni Maadui, hivyo wamefanyiziana!
 
Unapata wapi muda kuchapisha uharo wote huu!!
 
Sasa wale kenge wanaosema Chama ni Saccoss ya mbowe walete vibamia vyao hapa
 
muda ule wewe ukiwa chooni unaharisha mimi nakuja huku kuuchapisha! kwani wewe ni jamii ya farasi au mbwa mwitu? nauliza tu!
Kwahiyo wewe unajivunia kuharisha jukwaani!!
Farasi au mbwa mwitu wanaingiaje hapa, ndo wewe hula uharo wao.? nauliza tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…