dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,958
- 9,516
Kwanini apewe? anatakiwa ashindane akishinda atasonga unadhani huku ni kama ule ukanda wa mboga mboga mnatoa fomu mojaErythrocyte, Mgombea uraisi pia apewe mwanamke!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini apewe? anatakiwa ashindane akishinda atasonga unadhani huku ni kama ule ukanda wa mboga mboga mnatoa fomu mojaErythrocyte, Mgombea uraisi pia apewe mwanamke!
This time Kamati kuu wakizingua tutawaambia waache ujinga mijanaume imetuabisha sana this time pumbaf zao!Basi by these results, tunabadili lugha, WANAUME NI MALAYA, . Ukiacha yote bado wanawake wamekuwa wajengaji hoja wazuri bungeni g, Mdee, Bulaya etc ;wasiwasi wangu ni Je watapata uungwaji mkono katika mfumo dume?
Wachaga ndo wanaongoza kwa ukabila nchi hii
HakikaKwakweli chadema isifanye uhuni kuwaengua wamama waliopita kura za maoni
Utakuwa mpango wa bwana mkubwa wanawake washinde uchaguzi ili apate posho za kutosha. Ila hawatapenya kuingia bungeni.View attachment 1506003
Uchunguzi wa awali unaonyesha kwamba Wanachama wengi wa Chadema wanawaamini wakina mama kutokana na msimamo wao thabiti wa kutetea chama chao, inaaminika wanaume wengi wanajiuza kwa bei chee.
Mifano ni mingi, James Millya, Joshua Nassari na Mwita Waitara wanawakilisha mamia ya waliojiuza.
Ushamba gani ? Chadema mnazingua mjipange tu. Mana nishawambia Tabia ya umbowelism na Mteilism inawatafuna.Acha ushamba kaka
Tuliza boli, mwanasiasa makini hana papara.Mbatia anagombea wapi maana Vunjo wanamtaka Dr Kimei!
Kwahiyo unapinga kwamba wanaume wengi wa chadema ni Malaya wa kisiasa wanafikiri kwa kutumia utumbo! nani waliongoza kuunga juhudiDogo jifunze kuandika kwa heshima hao wanaume unaosema wanajiuza kuna waliopoteza maisha yao kwa sababu ya CHADEMA.
Kuna waliopoteza kazi zao kwa sababu ya chadema.
Unaandikaje upuuzi kama huu dhidi ya wanachama wa chama chako ?
Au chama siku hizi kinahost wahuni kama yale makopo ya mbogamboga ?
Futa hii kauli yako siyo nzuri kwa wanachama wengine hasa wanaume.
Ushamba gani ? Chadema mnazingua mjipange tu. Mana nishawambia Tabia ya umbowelism na Mteilism inawatafuna.
Siku hizi Kuna wamama wanaota mizuzu.. Wote walokubali kununuliwa inawezekana ni wamama wenye ndevu. Inafaa wahakikiweSilinde na lijualikali wamekuwa mfano mbaya kabisa katika jamii yenye kuamini msimamo wa mwanaume
Ruzuku imeisha june 2020 mishahara haipo anatafuta tawi la mti la kukamata na uwezekano wa chadema kupata ruzuku haupo tena sababu chaweza kisipate mbunge au diwani .Kwa hiyo anahaha kutafuta ajira ukurugenzi haulipi tena!!Achague ubunge au ukurugenzi
Mtaleta mambo ya Anatropia na Dc mtatiro
Vipi kule ukanda wa mboga mboga mmetoa fomu ngapi za uraisUzuri wa chadema,Sultani Mbowe anawadekshia tuu,mkimaliza kuparurana anaingia kwenye kamati kuu na karatasi zake ambazo tayari ameshateua wagombea ubunge na wale wa viti maalum,kazi yao ni kupitisha tu
Mbowe hawezi kumtosa Mrema,wameiba nae sana tu
Paulina pekee ndiyo aliuza utu wake kwa upande wa wanawake, hata hivyo anapumlia mashineView attachment 1506003
Uchunguzi wa awali unaonyesha kwamba Wanachama wengi wa Chadema wanawaamini wakina mama kutokana na msimamo wao thabiti wa kutetea chama chao, inaaminika wanaume wengi wanajiuza kwa bei chee.
Mifano ni mingi, James Millya, Joshua Nassari na Mwita Waitara wanawakilisha mamia ya waliojiuza.
Ongea point acha uchuroNa haya madume suruali mengine VIPI? Kina Lijualikali, Cecil Mwambe, nk. Bado wanastahili kuvaa suruali?
Wanaipiga kura ni wajumbe wa Mkutano husika. Usiendelee kuwa MbumbumbuUchunguzi binafsi nilioufanya ni kuwa chadema imeficha taarifa za ukweli wa kilichotokea
ni hivi matokeo yalitakiwa yaandikwe hivi
1.Idadi ya wajumbe wanaostahili kupiga kura kwenye eneo husika ni kadhaa
2.Waliopiga kura ni kiasi kadhaa
3.kura zilizopigwa kiasi kadhaa
4.Kura zilizoharibika kiasi kadhaa
5.Kura ambazo kila mgombea kapata kiasi kadhaa
Walichoficha chadema ni hiyo namba moja ambayo mimi ndio nimeigundua kuwa wanachadema wengi kwenye maeneo wameisusa chadema hawakwenda kupiga kura kabisa.Waliopiga kura hawafikii hata asilimia kumi ya waliotakiwa kwenda kupiga kura ya maoni!!!!
Pili wanaume walisusa kwenda kura za maoni Akina mama wengi ndio walienda kupiga kura sababu wengi wana vikundi vyao vya akina mama mitaani vya kusaidiana,kitchen party,send off,vicoba nk ( AKINA MAMA SHUGHULI) hivyo walihamasishana kuwa akina mama shime twende tukamsaidie mwanamama mwana kikundi mwenzetu!! wengi walioshinda akina mama wameshinda kupitia akina mama wa vikundi vyao .Na hii ni kazi ya Halima Mdee aliwahamasisha akina mama kutumia mitandao yao ya kivikundi mitaani kushinda
Tatu kuna FEMINIST MOVEMENT ndani ya Chadema iliyo chini ya Halima Mdee na ESTHER BULAYA na inakuwa funded na feminist movement za nje imesaidia kutoa support ya wanawake wengi CHADEMA kushinda
Tutarajie wanawake wengi sana kuwashinda wanaume kura za maoni Chadema
Emb ona haya majike takataka na yanatabasamu kabisa. Ona hilo jingine na mtumbo wake. Aisee kuna mjianaume Chadema ilikuwa kama mishoga tuuu kazi kuabudu!Mkuu kuna mahali kuna mfumo dume kama mkoa wa Mara?
Lakini sasa hivi wamebadilika na kuwajua wanawake mashujaa, ndio maana Bulaya na Matiko walikubalika.
Ila hawa WANAUME MALAYA wanatuondolea kuaminika kabisa hata katika familia. Nasikia kuna familia wanaume wanaambiwa "umekuwa kama Shilinde au Waitara" au pia wanaambiwa "unatuletea tabia za Nassari huoni aibu?"View attachment 1506106
ndio hao hawakufika woteWanaipiga kura ni wajumbe wa Mkutano husika. Usiendelee kuwa Mbumbumbu
View attachment 1506003
Uchunguzi wa awali unaonyesha kwamba Wanachama wengi wa Chadema wanawaamini wakina mama kutokana na msimamo wao thabiti wa kutetea chama chao, inaaminika wanaume wengi wanajiuza kwa bei chee.
Mifano ni mingi, James Millya, Joshua Nassari na Mwita Waitara wanawakilisha mamia ya waliojiuza.
Magu mwenyewe kasema ukishindana na mwanamke lazima akushinde, Chadema ijiandae na ushindi wa kishindo.
Kiukweli kina mama angalau msimamo upo, ukimwangalia ester matiko, Ester Bulaya na Halima Mdee kwa uchache.