Uchaguzi 2020 Yanayojiri Matokeo ya CHADEMA kura za maoni kwa Wagombea Ubunge 2020

Basi by these results, tunabadili lugha, WANAUME NI MALAYA, . Ukiacha yote bado wanawake wamekuwa wajengaji hoja wazuri bungeni g, Mdee, Bulaya etc ;wasiwasi wangu ni Je watapata uungwaji mkono katika mfumo dume?
This time Kamati kuu wakizingua tutawaambia waache ujinga mijanaume imetuabisha sana this time pumbaf zao!
 
Utakuwa mpango wa bwana mkubwa wanawake washinde uchaguzi ili apate posho za kutosha. Ila hawatapenya kuingia bungeni.
 
Kwahiyo unapinga kwamba wanaume wengi wa chadema ni Malaya wa kisiasa wanafikiri kwa kutumia utumbo! nani waliongoza kuunga juhudi
 
Silinde na lijualikali wamekuwa mfano mbaya kabisa katika jamii yenye kuamini msimamo wa mwanaume
Siku hizi Kuna wamama wanaota mizuzu.. Wote walokubali kununuliwa inawezekana ni wamama wenye ndevu. Inafaa wahakikiwe
 
Achague ubunge au ukurugenzi
Mtaleta mambo ya Anatropia na Dc mtatiro
Ruzuku imeisha june 2020 mishahara haipo anatafuta tawi la mti la kukamata na uwezekano wa chadema kupata ruzuku haupo tena sababu chaweza kisipate mbunge au diwani .Kwa hiyo anahaha kutafuta ajira ukurugenzi haulipi tena!!
 
Uzuri wa chadema,Sultani Mbowe anawadekshia tuu,mkimaliza kuparurana anaingia kwenye kamati kuu na karatasi zake ambazo tayari ameshateua wagombea ubunge na wale wa viti maalum,kazi yao ni kupitisha tu
Mbowe hawezi kumtosa Mrema,wameiba nae sana tu
Vipi kule ukanda wa mboga mboga mmetoa fomu ngapi za urais
 
Paulina pekee ndiyo aliuza utu wake kwa upande wa wanawake, hata hivyo anapumlia mashine
 
Wanaipiga kura ni wajumbe wa Mkutano husika. Usiendelee kuwa Mbumbumbu
 
Emb ona haya majike takataka na yanatabasamu kabisa. Ona hilo jingine na mtumbo wake. Aisee kuna mjianaume Chadema ilikuwa kama mishoga tuuu kazi kuabudu!
 
Cdm baba lao kwa demokrasia iliyo tukuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…