Uchaguzi 2020 Yanayojiri Matokeo ya CHADEMA kura za maoni kwa Wagombea Ubunge 2020

Uchaguzi 2020 Yanayojiri Matokeo ya CHADEMA kura za maoni kwa Wagombea Ubunge 2020

Oops kumbe lengo ni malipo, basi jitahidi uwe unatumia ubongo... kama unao.
mkuu mimi mmoja natosha kuwasambaratisha chadema wote!! ubongo wangu ni special!! wewe tu ndo hunijui!! hebu ona hapa mko wangapi mnajibu hoja zangu mimi mmoja tena kwa kejeli bila hoja!! nani kakwambia nalipwa? sihitaji pesa ya chama mimi mzalendo tu nasi wazalendo tunataka wahuni kina DJ Makengeza waache kuhadaa watu warudi night club!!

kinachofanya wana saccoss mchukie ni kuwa nawapa za uso kwa kuwaambia ukweli mchungu kuhusu mkubwa wenu Dj Makengeza who has no value to political activists like me, myself and I!!
 
Kwahiyo wewe unajivunia kuharisha jukwaani!!
Farasi au mbwa mwitu wanaingiaje hapa, ndo wewe hula uharo wao.? nauliza tu!
yaani hata ukitukanwa hujui! kweli we ni punguani, ngoja nikuazime akili kidogo, lete hoja zako sema uharo maana yake nini? yaani sema katika hoja zangu uharo ni nini pale kwa hoja mbadala!! una elimu level gani? nakusihi rudi jukwaani kwako mapenzi na mahusiano!
 
HAPOOOO NAONAA WANAOENDA BUNGENI HAO VITIMAALUM TU WENGINE MPAMBANE KISAIKOLOJIA NA MATOKEO YENU
OTHERWISE NA NYIE VMAALUM MJIANDAE KUKUTANA NA MISHED ..MAALUM HUKO MWENDAKO SIWATISHI HALIHALISI ULIZENI WALIOPPita
 
Mungu ibariki chadema tunaipenda Sana bado tunaiona ndio mkombozi ndio maana wanaonewa na vyombo vya dola ya nchi yetu chini ya mkoloni mweusi CCM.
 
Mungu ibariki chadema tunaipenda Sana bado tunaiona ndio mkombozi ndio maana wanaonewa na vyombo vya dola ya nchi yetu chini ya mkoloni mweusi CCM.
Mkuu amka! chadema is a horse who is making his last kick! huoni wajanja kina Mnyika hawagombei washasoma upepo! bora kubaki na heshima kuliko kugombea na kubwagwa! Bora hata ungesema ACT ina afadhali!
 
Muda
Mkuu amka! chadema is a horse who is making his last kick! huoni wajanja kina Mnyika hawagombei washasoma upepo! bora kubaki na heshima kuliko kugombea na kubwagwa! Bora hata ungesema ACT ina afadhali!
[/QUOu

Muda utaamua mnavyouhujumu hata Mungu anaona
 
Kura nyingi zipo kwa wanawake,.ukiwaweka wao kwenye kinyang'anyiro Ni rahisi kushinda
Halafu mbona wanawake wanashinda sana kura za maoni hapo Dar kwa CHADEMA, naona kwa leo tu kuna Agness Lambart ameshinda Segerea, Susan Lymo Kinondoni, na Lucy Magereri huko kigamboni, bado hatujaongelea kawe ambapo mdee lazima atachukua, kuna ukonga alishindaga Asia Msangi dhidi ya Waitara na najua hata this time atashinda. Wanaume wa Dar wa CHADEMA mnakwama wapi?
 
hoja za kipuuzi ni zipi? how do you examine na kujua huu ni upuuzi? upuuzi ni nini? Je upuuzi unahusiana na DJ Makengeza?
We ni mpuuzi tu...you are completely naive and ruined from natural inclination. Ebu jitazame ulivyo boya mpaka unakosoa uumbaji wa Mungu eti makengeza.....loh huu ni upuuzi wa kukosa hoja
 
Mpakwa mafuta wa Bwana Nabii Daniel Shilla ameshindwa kwenye kura za maoni za kuwania kuteuliwa kuwa mgombea wa ubunge kwa tiketi ya CHADEMA. Amepata kura 45 huku mshindi wa kwanza akipata kura 107
Screenshot_2020-07-20-07-20-27.jpeg
 
Back
Top Bottom