Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
- Thread starter
-
- #81
Hakuna namna lazima ahadi itekelezekeMkuu chezea vyote ila sio Kuchezwa Simba 🤣🤣
Leo unapigwa BAN, na visa vya Kimasihara vinakupita.
Na ukishapigwa Ban tu, naweka tukio la kumla Kimasihara Mwarabu .
😂Paw njoo hapa boss
Iteni timu nzima ya jfNitahakikisha haubaki salama kwa kumkumbusha JamiiForums moderator
😂
Hapana mkuuNatumaini umeshamaliza kufungua I'd mpya mpaka muda huu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hamna shida mkuu ndio ahadi ilivyo. Fair kabisaSo hadi October??
Lakini kipind cha pili twaaweza fanya jamboHapana...AANZISHE UZI MPYA WA KUOMBA MSAHAMA KABLA KIPINDI CHA PILI HAKIJAANZA.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ad ww Unansagia kunguni mkuu
Basi uje na ID ingine Full American itapendezaHamna shida mkuu ndio ahadi ilivyo. Fair kabisa
Yanini? Ntakua nje kwa muda 😂Basi uje na ID ingine Full American itapendeza
Upuuzi mtupu ,kikiisha ,mtakuja mseme... Bado tunaongoza ligi mamaeee.Lakini kipind cha pili twaaweza fanya jambo
Acha uchokozi mchina wa mchongo wwBasi uje na ID ingine Full American itapendeza
UsijimaliE wewe mzee wa masihara leo itakugeukia weweUpuuzi mtupu ,kikiisha ,mtakuja mseme... Bado tunaongoza ligi mamaeee.
Unasikiaga KATERERO?? Sasa Leo tunawapiga KATERERO ,mrushe maji mpaka tuwaongezee maji
Namuombea msamaha mkuu, hakujua aliwazalo na alisemalo!Sawa mkuu.
Tutazingatia
Sijaona kikosi cha kuizuia yanga isishinde leo
mwanangu ball linadundaSijaona kikosi cha kuizuia yanga isishinde leo
Nitakuwa nje mkuu no new IDdaah mwanetu tunaenda kukupoteza miezi sita
ila fresh tu kama ukija na id mpya usisite kutushitua
Kuna mwamba aliniambia niweke mke au dada 😂 thubuutumwanangu ball linadunda
tunza sana maneno
mi mwenyewe mwananchi ila hizi derby sinaga zaidi ya porojo tu
mechi hazieleweki watu wanatumia sana wachawi kuliko profession zao
Hakuna haja ya msamaha acha nipate stahiki yangu na iwe mfano kwa waeka ahadiNamuombea msamaha mkuu, hakujua aliwazalo na alisemalo!
Bro me mgonjwa ujue 😎Sawa mkuu.
Tutazingatia
All the bestNitakuwa nje mkuu no new ID