Tafuteni kundi la kuhamia bloangu,🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wala hakuna tatizo. Kwanza sisi Yanga kwa msimu huu malengo yetu makuu yalikuwa ni kufika hatua ya makundi.
Hivyo tukiishia hatua hii, poa tu. Tutajipanga vizuri msimu ujao.
Si kwa raha hizi jinsi Kolowizards linavyoteseka namna hii [emoji23]Level yenu ni kucheza shirikisho na lazima uzungumzie shirikisho kwasababu tofauti na hapo hauna cha kumtambia Mwakarobo
Kukusaidia ili uwe na furaha
1. Kajipige picha kwenye bango la Yanga linaonesha Yanga 5 - Simba 1
2. Ongelea medali za shirikisho na mlivyoifunga USM Alger 1-0.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Bado Al Ahly anawasubiri nyumbani. Mtavunja rekodi ya Simba?
Wajinga sana hawa wanatafuta Faraja tu baada ya kuambulia vipigoWanalaumu sana kuwepo kwa hii sheria mpya maana wangekuwa wamekimbilia shirikisho halafu wangekuja kumtambia Simba na medali za shirikisho
Kwani wakati simba anacheza yanga ilikuwa imeshuka daraja huo ndio ilikuwa wakati wa yanga kuchukua Caf champions league ila walitolewa mapema tu.Wakati wa COVID-19 ilikuwa rahisi Simba kuongoza kundi mbele ya Al Ahly.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Wewe shabikia dhumna tu
Huwa wanasababu nyingi sana. Wanambeza Simba aliyeishia robo fainal champion league wakati ndoto yao ni kuishia makundi champion league.Wajinga sana hawa wanatafuta Faraja tu baada ya kuambulia vipigo
😁😁😁😁😁😁😁Si kwa raha hizi jinsi Kolowizards linavyoteseka namna hii [emoji23]View attachment 2832139
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kwani wakati wa COVID nyie mlkuwa wapi,,hamnaga sababu ya msingi itawachukua miaka mingne 25 kufka robo kwenye CLWakati wa COVID-19 ilikuwa rahisi Simba kuongoza kundi mbele ya Al Ahly.
Kwa mechi niliyoiona jana ya Simba dhidi ya Galaxy, na Galaxy ndio anaongoza kundi
Nikacheki tena ile ya Simba dhidi ya Asec, na Asec na Galaxy ndio "wababe" wa kundi
Hakika Yanga angepangwa kundi hili hadi sasa angekuwa na pointi 6 na angemaliza na pointi 18
Na iliongoza kundi halafu Al Ahly akawa bingwa,maana wangesema tulicheza na Al Ahly mbovuSimba ikiwa bora iliongoza kundi mbele ya aly ahly ,,na utopwinyo gongo waz naona mmeweza kuongoza kundi mbele ya aly ahly
Alimfunga Al Ahly kwenye hatua ipi?Yanga tangu kuanzishwa kwake hadi sasa hajawahi kushinda mechi yoyote ya klabu bingwa hatua ya makundiKwani yanga ajawai kumpasua uyo Aly ahly? Goli la cannavaro unalikumbuka wewe?
Yaani kundi la kifo liwe la Medeama na Yanga halafu kundi la Pyramids, Mazembe na Mamelodi, timu tatu zilizo top 10 kwenye rank za CAF utaliitaje?Mwandishi Yuko right sema wewe ndio ujamuelewa unasukumwa na mahaba niue, KUNDI mmepewa mchekea la wakina jwaneng, mwarabu mliyepewa ndio Ivyo anapewa vichapo tu na ni mmoja, yanga Anao mabingwa wa Algeria na mabingwa wa Misri na afrika, wanao mabingwa wa Ghana ivyo wako kwenye KUNDI la kifo tofauti na Simba ambao KUNDI lao ni lakini sana lakini kwakuwa Simba yenyewe imeshakuwa mzoga inaweza Kuona KUNDI lake ni GUMU but yanga ingewaburuza wote hao na kuiongoza KUNDI mapema sanaaa