Yanga mnapata wapi kiburi cha kujisifu Shirikisho? Kuna timu inashuka daraja kwao lakini imeongoza kundi Shirikisho

Sasa FA Cup na lenyewe si kama kombe la mbuzi tu,

Kombe ambalo club kubwa huchezesha kikosi cha pili sababu halina umuhimu
 
Kweli?

Aisee elimu yako ni ya kidato cha ngapi na ufaulu wako ulikuwaje?

Kabylie anacheza robo fainali klabu bingwa ilihali kwenye msimamo wa ligi yao yupo mkiani.

Na nilikuwa namjibu mleta mada aliyeiponda kuhusu timu za shirikisho
 
UnajitoA ufahamu eti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…