Iblis Bin Shetan
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 1,824
- 2,445
Ndio maana tutacheza super league mwaka huu kwakuwa sisi ni wakubwa hapa AfricaHakuna aliyewauliza mpo wapi
Nyie kaeni huko Kwa Raha zenu
Ila msisahau kikombe cha Robo Fainali hakina Silverware Wala medali