π€£π€£π€£ ujue inabidi saa nyingine tuungane ili kuepusha huu ukiritimba mana ilipofikia hao tiefuefu wanajiona wako juu ya kila kitu.
Wanasahau mechi ya Simba na Yanga ni mechi kubwa.
Hahahaaa. Salamu zimefika nao wanakusalimu.
Yuko sahihi wapi ina maana serikali ilikuwa haijui kuwa siku hiyo kuna mechiYupo sahihi.
Wewe kama mchezaji kweli kwanini UOGOPE MUDA?
Wewe jamaa kweli mjinga kama hili jina unalotumiaLabda hii ndo itakuwa mechi ya Kwanza kusogezwa mbele muda wake.
Kweli Mimi sijui mpira.
Issue sio kusogeza muda mbele issue hapa ni muda uliotumika kusogeza muda wa mechi mbeleLabda hii ndo itakuwa mechi ya Kwanza kusogezwa mbele muda wake.
Kweli Mimi sijui mpira.
Yaani jamaa kwavile kachagua ID ya ujinga basi anakuwa mjinga kabisa hadi akili mwakeMkuu, kuna mijitu ni mijinga sana.
Angalia na uzito wa game sio unaongea tuu
Bora umeliona yani ni chawa wa fisemu kabisa huyu... Na alivyo kada na kauli yake ya leo sitokuja nimkubali maisha huyu jamaaSimba mna msemaji wa hovyo sana, naona huko fb anasema hata kama TFF watasema mechi ichezwe saa nane usiju wao wapo tayari kwa sababu wanaheshimu mamlaka.
π π π Walijua tunatania.Bravoo that's my team. Msjmamo muhimu natamani wakimaliza hapo waondoke zao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hata mm mkuuMimi ni shabiki wa Simba lialia mpaka kamasi lakini kwa hili Yanga nawaunga mkono 100%.
Game zinachezwa mapema kuepusha fujo kama hiziWamesogeza mbele masaa sio siku.
Hilo NI Jambo la kawaida
Issue sio kusogeza muda mbele issue hapa ni muda uliotumika kusogeza muda wa mechi mbele
π π π Walijua tunatania.
Me nawapongeza mmeonesha msimamo kuwa nyie ni timu ya wanachiBravoo that's my team. Msimamo muhimu natamani wakimaliza hapo waondoke zao
Game zinachezwa mapema kuepusha fujo kama hizi
Haoo wanatoa timu wanasepa zaoView attachment 1777689