Yanga yagomea mechi kupigwa saa 1, mechi yaahirishwa

Yanga yagomea mechi kupigwa saa 1, mechi yaahirishwa

Kumbuka muda wa mwisho kuingia uwanjani iliwekwa saa kumi jioni.

Hivyo mpaka muda huo watu zaidi ya elfu 40 wawepo uwanjani. Mechi kama ndivyo imepelekwa mbele ina maana watu watakaa uwanjani muda mrefu sana.

Muda wa kuisha mpira mpaka kurejea majumbani itakuwaje?

Fikiria pande zote kabla hujahukumu mkuu
na ndo maana kwa kujua yote hayo timu ya yanga inaona tff wamekosea,,,

TFF wamevunja sheria na utu pia ,, wacha yanga waingize timu
 
IMG-20210508-WA0251.jpg
 
Back
Top Bottom